Baraza la mawaziri la Kenya Kwanza lilihudumu kwa muda mfupi zaidi

Hatua ya Kuvunjwa kwa baraza la mawaziri la serikali ya kenya Kwanza imejiri baada ya muda mfupi zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya taifa hili..Mawaziri hao ambao waliteuliwa na Rais William Ruto baada ya ushindi wake katika uchaguzi wa mwaka 2022 walianza kukabiliwa na misukosuko ya hapa na pale muda mfupi tu baada ya kutangazwa...Madai ya ufisadi na utepetevu kazini yakiwaandama baadhi yao

Пікірлер: 24

  • @DrRinDing-pq8fy
    @DrRinDing-pq8fy21 күн бұрын

    Ruto must go

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa995421 күн бұрын

    Asha usi like,kumbuka Baba atukanwi

  • @januariffsammy1149
    @januariffsammy114921 күн бұрын

    The country is rumbling at a lightening speed....

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia638021 күн бұрын

    Huyoo msee aliona mbele akasema Acha tupee Ruto cabinet yake

  • @kamasalothi1040
    @kamasalothi104021 күн бұрын

    Ruto even said his ministers were incompetent.

  • @beautylightoyaro8104
    @beautylightoyaro810421 күн бұрын

    Matiagi awe our president now

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz760721 күн бұрын

    Waachie baba RAILA ushindi wake 2022

  • @MouseleyMarshals-fm5vr
    @MouseleyMarshals-fm5vr21 күн бұрын

    This cabinet was a total joke with people who have completely no idea of what their docket entails..sasa mtu kama Murkomen, what the fck is a lawyer doing in a docket headed by engineers??how will a lawyer head and lead engineers..next ni Aisha a criminal with cases of corruption and murder now heading gender..kwani Ruto never learnt anything from How Uhuru was making his cabinet ..that cabinet was the strngest with competent individuals who knew what they were doing...RUTO jaribu tu kufanya makosa urudisha ama to reshuffle any of those incompetent goons in the cabinet..TUNARUDI STREETS

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz21 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @josephnduva-n1d
    @josephnduva-n1d21 күн бұрын

    Maziri waandikwa tena mpya

  • @francismeeme3693
    @francismeeme369321 күн бұрын

    Matiagi kwa afya

  • @danielmnuvi7
    @danielmnuvi721 күн бұрын

    Wachawi wowote wenye wakokwa serekari handi hunyu bichi ruto watoroke kutokaserekari

  • @johnkamau50
    @johnkamau5021 күн бұрын

    John badi

  • @JbBroMusic
    @JbBroMusic21 күн бұрын

    How would they know more than you when you've put there novices and incompetent cabinet secretaries.....you and your fellow failures must go!!

  • @Emily11-11
    @Emily11-1121 күн бұрын

    Baraza la thugs..conmen na dimwits

  • @CatherineMutuku-hd9vv
    @CatherineMutuku-hd9vv21 күн бұрын

    Washa iba za kutosha maubwa but we need matingi come back

Келесі