Baraza la mawaziri la Kenya Kwanza lilihudumu kwa muda mfupi zaidi
Hatua ya Kuvunjwa kwa baraza la mawaziri la serikali ya kenya Kwanza imejiri baada ya muda mfupi zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya taifa hili..Mawaziri hao ambao waliteuliwa na Rais William Ruto baada ya ushindi wake katika uchaguzi wa mwaka 2022 walianza kukabiliwa na misukosuko ya hapa na pale muda mfupi tu baada ya kutangazwa...Madai ya ufisadi na utepetevu kazini yakiwaandama baadhi yao
Пікірлер: 24
Ruto must go
Asha usi like,kumbuka Baba atukanwi
The country is rumbling at a lightening speed....
Huyoo msee aliona mbele akasema Acha tupee Ruto cabinet yake
Ruto even said his ministers were incompetent.
Matiagi awe our president now
Waachie baba RAILA ushindi wake 2022
This cabinet was a total joke with people who have completely no idea of what their docket entails..sasa mtu kama Murkomen, what the fck is a lawyer doing in a docket headed by engineers??how will a lawyer head and lead engineers..next ni Aisha a criminal with cases of corruption and murder now heading gender..kwani Ruto never learnt anything from How Uhuru was making his cabinet ..that cabinet was the strngest with competent individuals who knew what they were doing...RUTO jaribu tu kufanya makosa urudisha ama to reshuffle any of those incompetent goons in the cabinet..TUNARUDI STREETS
❤❤❤❤❤
Maziri waandikwa tena mpya
Matiagi kwa afya
Wachawi wowote wenye wakokwa serekari handi hunyu bichi ruto watoroke kutokaserekari
John badi
How would they know more than you when you've put there novices and incompetent cabinet secretaries.....you and your fellow failures must go!!
Baraza la thugs..conmen na dimwits
Washa iba za kutosha maubwa but we need matingi come back