BAMBO AMCHANA DIAMOND NI MCHOYO WEWE SIO MUNGU/HAKUTUTAKA SISI ALITUMBANIA/BABALEVO/TULIANO KIDOGO

Ойын-сауық

Tumepiga story na Bambo

Пікірлер: 129

  • @dollsouthtv2136
    @dollsouthtv2136Ай бұрын

    Watoto wa juzi hawawezi muongelea vizuri bambo hawamjui

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036Ай бұрын

    😂😂bambo hata akiwa serious unajikuta unacheka tuu

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981Ай бұрын

    Bambo katoa ya moyoni mwacheni aseme ukweli. Bambo ni Msanii mkubwa,lazima aumie kufanyiwa hivyo na watoto wadogo waliomkuta.

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638Ай бұрын

    Naisubir Hiyo Lugha Mmun'gunyo Inaonekana Itakuwa Balaa Sana

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645Ай бұрын

    Mbona mzee wangu kakasirika

  • @Heisfeisalmwema
    @HeisfeisalmwemaАй бұрын

    Kanumba alikuw ana bumshiti mamaee 😂😂😂

  • @Kushgang-cr4pv
    @Kushgang-cr4pvАй бұрын

    Bambo kakasirika kwasabab dai mabaunsa wake walimzuia aspande kwa stage wakat anaparform.

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373Ай бұрын

    C uandae show zako we kazee😂 eti nae kapiga piano😂😂

  • @suncheafrica
    @suncheafricaАй бұрын

    I love this guy 💪🏿

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913Ай бұрын

    Noma

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556Ай бұрын

    Hahaha eti Bambo kisa mkongwe anamuelekeza mondi kupga show hahahah

  • @subirajohn728
    @subirajohn728Ай бұрын

    Wewe Bambo acha kutafuta kiki zisizo na msingi!

  • @EzekielTv49
    @EzekielTv49Ай бұрын

    Watanzania mtu akifanikiwa wanahisi anatakiwa awasaidie na wao!!!mtu akifanikiwa sio lazima akusaidie na kama unaona ni rahisi kusaidia mtu fanikiwa na wewe awasaidie wengine,,,,sasa mtu anasema diamond hataki wengine wafanikiwe wale wasanii hawajafanikiwa!!,,aliiwaajiri je,, Watanzania wengi ni wapumbavu sana

  • @mudibojaffar9269

    @mudibojaffar9269

    Ай бұрын

    Asante sana,, Nadhani watajifunza kupitia Comment Yao .sasa wanataka Diamond awasaidie Kila mmoja anaye taka Msaada,,alafu kingine nikuwa,,huezi famia show ya mtu bila mpangilio

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    Ай бұрын

    Ukiwemo na wewe

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436Ай бұрын

    Mzee bambo naye kaingia kwenye mapiano 😅 toaizo pigachini mpaka bakuli

  • @salimrashidy3513
    @salimrashidy3513Ай бұрын

    Iyo mmung’unyo na izo akili za Bambo😅😅

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159Ай бұрын

    Sio kila mtu atasaidiwa na mond afu bambo umefilisika vibaya mzee mzima ovyo sana ww hivi huyo unayemsifia katokea wapi mpuz kweli huyu

  • @stevensosipita

    @stevensosipita

    Ай бұрын

    WEWE FARA BAMBO HAKUTAKA MSAADA KWA MOND ISIPOKUWA MTANGA NA BAMBO WALIPATA MWALIKO NA WAZRI AWESU LAKINI MOND KAWABANIA WASIPANDE KUFANYA YAO MJINGA WEWE

  • @ngolocomedian
    @ngolocomedianАй бұрын

    Bambo wala hujakosea mimi mwenyewe yamenikuta hayo ...alikuja kigamboni huku ..ulikuwa mda wangu wa kupanda stagini kupafom comedy wakaanza kupanda wao aisee tangia saa nane hawakushuka mpaka show inaisha

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977Ай бұрын

    Umbea uwo

  • @samirakashililika4223
    @samirakashililika4223Ай бұрын

    Nawewe kua mchoyo

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8Ай бұрын

    Tunalijua hilo kitambo..

  • @Wamoyothenumberone
    @WamoyothenumberoneАй бұрын

    Bambo nimtu wakale sie vijana wakale namjua saan,toka 99 bambo yupoo anaimba anafanya music pia

  • @sunwizy608
    @sunwizy608Ай бұрын

    ukweli lakini umefika hongera Bambo utuuzima dawa

  • @princebulas737
    @princebulas737Ай бұрын

    Babalevo ni mwanamke

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773Ай бұрын

    Etii mzaziii wetuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @RaphaelZama-ql3eb

    @RaphaelZama-ql3eb

    Ай бұрын

    P0p0ppop0p

  • @Larrytzatza
    @LarrytzatzaАй бұрын

    Hakuna mtu aliyemzuri kwa watu wote.....kila mtu ana story mbaya kwa mtu fulani... that's life.....Bambo n mtu mzima sana hakutakiwa kuongea yote ayo maan pia kuna kesho.....Km yeye anajiona ana roho mzuri atuoneshe vijana wenzake au wazee wenzake aliowashika mkono wakapata ridhiki wakatoboa😂😂maan uyo mwenzake anayemsema kafanya tumeona na yeye atuoneshe......Maisha yako ni jukumu lako....pambana tu anko bambo😂😂😂

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын

    Kibakuri alienda wapi?

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950Ай бұрын

    Duuuh

  • @mugishasteve325
    @mugishasteve325Ай бұрын

    Maisha yanafunza vitu vingi malafiki wanakupenda kwasababu ya kile ulichonacho.wachache wanakuthamini ukiwa hauna kitu.kikubwa ni kupiga moyo konde ukapambana na Mungu anakuwekea wepesi unafanikiwa yeye atakuletea watu sahii

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4jАй бұрын

    Ss wee naye shida minis na dai

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ryАй бұрын

    achausenge bambo tafutamaishamapya basi ww unalonzuli ungepereka uchafu stejini ulitakaufanyenini stejini

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1sАй бұрын

    😂bambuu

  • @j...876
    @j...876Ай бұрын

    Bamboo ahujawayi ku msemeya diamond kizuri hata sisi wa Kongo tuna lifahamu hilo

  • @dannylema3125

    @dannylema3125

    Ай бұрын

    Nyie wakongo si miyayesho amuwezi elewa

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593Ай бұрын

    Kwamba mngepanda siku hile show ingezaraulika au?

  • @ScopionScopion-zj9cd

    @ScopionScopion-zj9cd

    Ай бұрын

    hahaaaaaaa kweli bn show ingechuka thamani kinoma watu wangesema duh mpaka yupo kweli huu niutoto

  • @OnlyRuky
    @OnlyRukyАй бұрын

    8:38 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @michaeljames403
    @michaeljames403Ай бұрын

    Kwani hapo Bambo anafanya comedy ama yuko serious!!? maaana nahisi kucheka

  • @slymsameer5415
    @slymsameer5415Ай бұрын

    Kwani unafuta wapi kwenye KZread au inakuwaje ok sasa hiyo show alipanga yeye ilikuwa yake au nae alialikwa tuu maana mnampango wakuchukia watu

  • @apollolwoga9019
    @apollolwoga9019Ай бұрын

    Sawa umefuta nyimbo zake,umekusaidia nini sasa

  • @ngolocomedian

    @ngolocomedian

    Ай бұрын

    Acha izo ndugu acha aseme ukweli mi mwenyewe yamenikuta Hayo

  • @emiliuskifigo3062

    @emiliuskifigo3062

    Ай бұрын

    We mtoto mdogo humfaham au umechelewa kuingia mjinii diamond kalalamikiwa na Ommy dimpoz kalalamikiaaa na Chidbenz Aya hermonize kama mmerogwa mnatetea ujinga

  • @T-Fellow
    @T-FellowАй бұрын

    We Bambo, wewe kunamtu amekutuma kusema hayo.

  • @simba9563
    @simba9563Ай бұрын

    😂😂😂povu

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ryАй бұрын

    kazizawatu ww ulitakaushukenanini

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234Ай бұрын

    Sasa nyie ikiwa mlimtangulia huyo diamond sasa mna nini?

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373Ай бұрын

    Nawe ushazeeka

  • @PatrickEmanel

    @PatrickEmanel

    Ай бұрын

    Siku baba yako akikukalisha kukushaur mwambie umezeeka ndo utajua ulimwengu ni nini

  • @ramiatebe8373

    @ramiatebe8373

    Ай бұрын

    @@PatrickEmanel sawa babu ushauri

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    Ай бұрын

    ​@@PatrickEmanel😂😂😂😂

  • @ismailisungura3491
    @ismailisungura3491Ай бұрын

    Tafuta pesa yako acha majungu kenge m1 we

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989Ай бұрын

    BAMBO NAE ANATAFUTA KIKI TU

  • @dronemiguel2230

    @dronemiguel2230

    Ай бұрын

    Toka lin bambo akatafuta kiki mapenz yanakuzid na ww kias kwamba kila m2 akizungumza ukwel unaona kama anaonewa

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    Ай бұрын

    @@dronemiguel2230 Ukraine BWA wake wasanaa anatataka kupanda BILA mualiko Kwa stage kwakuwa bamboo noooooo

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    Ай бұрын

    ​@@mashramadhani1989alialikwa na wewe acha chuki za wazi

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    Ай бұрын

    @@agnesjohn9382 simchukii lkn muda wake wa kisanaa sio Mambo anatakiwa kupambana mayo sasa Kwa watoto zake.

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lxАй бұрын

    Anatafuta Kik kwa pikipik huyo inaonekana mkundu wake unamuwasha huyu mzee

  • @stargalinya5135

    @stargalinya5135

    Ай бұрын

    Unatukana nn wewe Achauchawi

  • @atunselu2401
    @atunselu2401Ай бұрын

    Wakati wako ulishapita,acha makasiriko baba

  • @melki-kabalu759

    @melki-kabalu759

    Ай бұрын

    Wakati wa mtu unapitaje????

  • @nangondoson1367
    @nangondoson1367Ай бұрын

    😂

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806Ай бұрын

    Weee zombi simba la masimba dangote yaani mkimsema ndio mnampa kiki

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ryАй бұрын

    uingiekufanyanini sasa

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012Ай бұрын

    Bambo anaroho mbaya sana

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dyАй бұрын

    mond ana management yake na ni mkubwa, siyo akimuona bambo amwite, futa kwani ukifuta we nani ? peleka njaa zako huko swaini

  • @stevensosipita

    @stevensosipita

    Ай бұрын

    CHAWA KAMA CHAWA MTAFILIKA SIKILIZA NDO UTOWE COMMENT BAMBO HAKUTAKA MSAADA ISIPOKUWA MOND KAWABANIA WASIPANDE JUKWANI KUTOA COMEDY YAO NA MTANGA BOYA WEWE

  • @bonita329
    @bonita329Ай бұрын

    Sijawai kumuona bambo kakasirika kiasi hiki😂😂😂😂

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950Ай бұрын

    Mond jambazi sio wewe tu mulize chidi

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFMАй бұрын

    Diamond platinumz sio mchoyo angalia ajira alizo wapea kwanza watu wengi wasafi 😂

  • @bfofficial1735

    @bfofficial1735

    Ай бұрын

    Acha shobo na wasafi

  • @musiccaentertainment100k8

    @musiccaentertainment100k8

    Ай бұрын

    Hyo ni kazi na biashara tofautisha biashara na kusaidia

  • @pilimwanza8117

    @pilimwanza8117

    Ай бұрын

    Duh we naeee

  • @mbwaralali5049

    @mbwaralali5049

    Ай бұрын

    ​@@bfofficial1735kwaiyo tz mzima mwenye roho mbaya ni mondi. Amuoni wale walio pandishwa kwenye show asubui. Wacheni basi kumuongea mtu abaye hata time na porojo zenu

  • @user-qx8wb1lf1v

    @user-qx8wb1lf1v

    Ай бұрын

    Ametowa Ajira Kwa manufaayake Ili Nayeye Anufaike Wacha Ukuma

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269Ай бұрын

    Huyu Katumwa Na Mataira wenzake kina Konde GIRL

  • @alibachirofficial3939

    @alibachirofficial3939

    Ай бұрын

    Q chief alitumua piya? Mond sio mtu mzuri

  • @mudibojaffar9269

    @mudibojaffar9269

    Ай бұрын

    @@alibachirofficial3939 Udhibitisho unao kama sio mtu mzuri.. Listen in this world not everyone will like you...Wengine wanamchukia kutokana na Wivu...So F*ck them All

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dyАй бұрын

    yani hili zee pumbavu sana, alitaka diamond apite anagawa hela, bola mond kiki haopo linatafuta kiki kwanza hata halichekeshi halina hela njaa inalisumbua saa hz lawama we hela zako ulimpaga nani tuachie mond wetu pumbavù wewe

  • @boniphacejames3356
    @boniphacejames3356Ай бұрын

    😀😀 Futa kabisa mbwaa yule

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299Ай бұрын

    Daimon angekuwa mkristo wangekuwa washamuabudu

  • @cathbetsolomon3151

    @cathbetsolomon3151

    Ай бұрын

    Matako nn unauhakika na unachosema have respect na dini za watu kiande weee

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Ай бұрын

    @@cathbetsolomon3151 ukiambiwa usibitishe ukristo dini unalo andiko aw unasema tu

  • @user-je8iw9jk1v
    @user-je8iw9jk1vАй бұрын

    Mxenge sana huyo domo

  • @DeogratiusMadeje-os5ur
    @DeogratiusMadeje-os5urАй бұрын

    Kwenye ukweli mtu aambiwe ili ajilekebishe, kwan mwambino yeye n MUNGU? Hakuna binadam mkamilifu kwaiyo punguzeni ushabiki

  • @user-go6hi2pl8o
    @user-go6hi2pl8oАй бұрын

    We mzee punguza shobo wewe na familia yako mkifuta nyimbo za simba sisi na uko wetu wote tuna download 😂😂😂sasa cakufanya aca maneno tuko bize na comment ça va na raha 😛🤪🤪🤪🤪🤪

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190Ай бұрын

    Bambooo kaongea pointi tupuuuu Diamond Platnumz roho mbaya.... Ila bambooo sahizi umerudi kwenye chati SAFI

  • @bfofficial1735

    @bfofficial1735

    Ай бұрын

    SAfi sanaa

  • @Peterchila-un2lx

    @Peterchila-un2lx

    Ай бұрын

    Wewe inaonekana mkundu wako unakuwasha unataka mond akufire

  • @Peterchila-un2lx

    @Peterchila-un2lx

    Ай бұрын

    ​@@bfofficial1735mkundu wa Bibi yako wewe

  • @danrappergangamaa1190

    @danrappergangamaa1190

    Ай бұрын

    @@Peterchila-un2lx matusi tena mbona unatumika kauli chafu hivi

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914Ай бұрын

    Hiyo kauli ya kufeli wewe hataufanyeje diamond atabaki kuwa mkubwa mbwa wewe

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1nАй бұрын

    Huyu d Mond ni umbwa kabisa kama umbwa wengine

  • @chekakizenjyzanzibar4153
    @chekakizenjyzanzibar4153Ай бұрын

    ukute bambo jina lake ni bambi😂

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930Ай бұрын

    Domo ana roho mbaya q chif pia ashalalamika

  • @hoseanobocka7140

    @hoseanobocka7140

    Ай бұрын

    Huwezi kupendwa na Kila mtu hata yesu alikataliwa sembuse, hafu bambo anatafuta kiki anataka Diamond aongee hawezi kumjibu chochote na

  • @jumachacha1439
    @jumachacha1439Ай бұрын

    Acha njaa bambo

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373Ай бұрын

    Kwani bambo ndio nani😂

  • @PatrickEmanel

    @PatrickEmanel

    Ай бұрын

    Wewe motor wa 2ooo huwezi mjua huyu mwwamba tulia

  • @stevensosipita

    @stevensosipita

    Ай бұрын

    UTAJUWA WAPI MTOTO MDOGO WEWE?

  • @luckybarbershop2342
    @luckybarbershop2342Ай бұрын

    Oyawe muzeh mbambo kafanye comedy achana kwongea ushuzzzz www mzehe au do unska kufa

  • @MeenaHassan-fd9vv

    @MeenaHassan-fd9vv

    Ай бұрын

    na wewe kapande minazi ushushe nazi juma lokole wewe

  • @luckybarbershop2342

    @luckybarbershop2342

    Ай бұрын

    Oya mim siyo choko mbwa ww...unafata na chawi BAMBO

  • @user-bv9ce5sd7u

    @user-bv9ce5sd7u

    Ай бұрын

    Na WW km kuma yn

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262Ай бұрын

    Shabiki yangu diamond ila yanayo ongelewa abadilike bamboo kama bambooo ni mkongwe sana hawez kumsemea uongo pltnum abadilike

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181Ай бұрын

    Njaa huleta lawama ⛷️😂

  • @emiliuskifigo3062

    @emiliuskifigo3062

    Ай бұрын

    Ommy dimpoz alimlalamikia Chidi dyna nyange bambo Q chief wote Wana wivu nae?

  • @raphaelmwaura1648
    @raphaelmwaura1648Ай бұрын

    Mjinga wewe wapi kasema yeye mungu ubwa wewe wivu tu una kusubua

  • @Sululumedia

    @Sululumedia

    Ай бұрын

    Acha bamboo aongee

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    Ай бұрын

    Unamtukana bambo we kama babaako heshim

  • @chugaprince

    @chugaprince

    Ай бұрын

    We msenge ww sisi diamond hatumjui

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cdАй бұрын

    ila bambo naww bn hivi kweli mtu andae show ya mamilion watu kibao Naww nae et upande pale sasa ww ukafanye Nini hebu acha utoto mzeee hii ww vp

  • @dollsouthtv2136
    @dollsouthtv2136Ай бұрын

    Tuache unafiki uchoyo sio kwamba sababu kawaajili watu eti sio mchoyo anaweza kuajiri kuizuga Jamii ila ukweli wa nafsi huonekana kwa baadhi ya matendo mi sibishi ila lisemwalo lipo kama halipo laja

  • @KashindeKilovele
    @KashindeKiloveleАй бұрын

    Wewe wakati wako uliwajar wangap mzeee tuoneshe hata nmoja uliyemshika mkono wakati wako

Келесі