BAHATI BUKUKU AFUNGUKA MAMBO MAZITO SANA SHUHUDIA MWENYEWE | NINASAUTI NZURI
Ойын-сауық
SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Пікірлер: 134
Wah mama yetu usitumie neno watanzania juu tunakutambua sana kenya na dunia nzima kwa kweli❤❤❤❤❤❤ from kenya
Huyu mama njinsi ninavyo mkubali Mungu tu ndie anae juwa mungu akupe maisha marefu
Mimi naomba mtumikieni sana mungu katika kweli maana wachungaji wengi wanamtumia mungu kwa njia ya kujipatia vipato kama biashara bahat mungu akubatiki
Wakenya twazipenda nyimbo zako🇰🇪
Bahati ,bahati bahati ,Mungu Ni mwema kwako ,nakupenda Sana dada Bahati, una busara Sana ,na unastahili kuitwa Mchungaji ,kwa kweli ukiwafundisha watu kuvumilia Kama ulivyovumilia, wasalimie dada Neema na Amina Debora
Dimpoz zake na mwanya masha'allah. Aki anapendeza nimurembo Sana😘😘😘😘
Napenda jinsi mama bahati bukuku anajibu maswali yake kwa njia ya uastarabu na Hekima zaidi.. Mungu akubariki sana mama
Hata mimi naupenda huo wimbo #WARAKA WA HAMAN. Barikiwa sana Bukuku.
Bahati Bukuku; I just love this woman of God, her songs are so encouraging, inspiring & uplifting.
Watu wanamtania sana Mungu wamemgeuza Mungu fursa haya siku ya hukumu ije upesi
Bahati bukuku anaongea sauti yake kama mama Rwakatale' kama umeona hilo nipe like
@johanesherson521
3 жыл бұрын
Mama
@lucyhusein4043
3 жыл бұрын
Penda sn
Nakupenda bure bukuku dada bahati...God bless and keep you long
Bukuku nalupenda sana kwa nyimbo zako. wanitia nguvu kwenye huduma sana kila nnapozisikoa nyimbo zako. Naomba siku moja nikuone macho kwa macho hapa Kisumu Kenya. Ubarikiwe sana
Waraka uliooandikwa wayahudi wauawe, Waraka uliootangazwa modikaye anyongwe,,,, Ester akiwa kwenye nyumba ya mfalme,,, Ester akiwa ni malikia 👍👍👍😁😁 Ndipo modikaye,,,, aliralua mavazi yake.... 👍👍😂😂tatzo hajatoa kingiio 💃💃💃I, m Islamic but I love so much ur song......
Mungu awahurumie nyinyi watumishi wa sikuzamwisho
@hadijaomary2000
3 жыл бұрын
Hahahaaa 🙆
@lepadrechief4642
3 жыл бұрын
Kweli maana wanajichubua,kucha kupaka rangi,rangi za mdomo...mawigi hahaha dini biashara siku izi.
Nakupenda sana mama bahati bukuku tangu udogo wangu nilitamani kuwa kama wewe au hata kukuona but no huwa nakuona tu kwa tv au cd huwa unanijenga sana ,natamani maishani mwangu niwe mjengaji kama wewe In Kenya
I love bahati bukuku from Kenya
Sister Safi sana nimekuona Ongera
Nampenda sana
Mama barikiwa saana na mungu aliye hai kwa kazi nzuri unyoifanya
Yes Kila mtu amepewa neema yake
Nakupenda sana mamake mungu aku jalie maisha mema🙏🙏
Merci kwanyimbo maman bahati
Eti sasa amekua ni mtumishi wa mungu so alikuaga Ni mtumish wa Nan shka adabu yako mwandishi, huyu Ni bahat bukuku tumpendae mtumishi wa mungu
Mama na kushukuru sana. Umenifungua macho
Mama ahsante. I admired you and God has graced me to join in Gospel music ministry
Ni Wa Mbea Kweli, Hata Biashara Yuaficha Jamani.
Yuko vzr da Bahati tumekumis nyimbo zako
Mgendi namkubali
Na mimi nakupenda sana ♥️
Jah kipez bahati upoooo
I like your encouragement.
Mina mupendaka sana uyu mama!! Je l'aimé beaucoup elle mon artistes préfère, de puis Lubumbashi rdc
My roll model i loooove you mama🙌🙏😘🌹💞
Nakupenda San'a Bahati. Endelea Mama,, Baado safali bado...inaendelea.
Nyimbo songambele naipenda
Bahati l love you so much
Kanisa na biashara ya siri ninayojua Yesu ana okoa na ana badilisha life style ya dunia lazima tue tofauti na dunia
Kwani uligeuza rangi yako Bahati Bukuku. Mbona ulikuwa na rangi nzuri sana!!!
@carolineoyugi7771
Жыл бұрын
Sasa hayo yanakuhusu nini
Namiss sana sauti yako nasubiri wimbo mpya Dada yangu kipenzi
Bahati bukuku ameshukuru wa tanza nia ila sisi wa Congo tunaenda sana nyimbo nzako ila nyimbo za mwanzo hapo ulikuwa umeimba mungu ila leo umeimba sababu ya napitatu sisemi kitu
Nampenda sana bahati bukuku mungu aendelee kukubaliki kila wakat na saa mungu awe pamoja na ww
Some questions are personal, and confidential. Mbona watu mnakerwa na bahati, asipo disclose biashara yake?
Makanisa yamekua biashara mungu anawaona"
@joycenyakiha8121
3 жыл бұрын
Umeonaee
Exactly my sister well said
😂😂😂😂😂😂😂😂kweli umewazidi wote mpendwa. Wewe ni mama jasiri sana. Mungu akutunze!
Pesapesa ni mbaya sana uwii mungu tuhurumie jamani tunamchezea sana mungu
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Magugu na ngano vinaruhusiwa kukua pamoja
Mungu hazihakiwi
Naipenda hekimazako maman
There's just one thing about Rose Muhando and Bahati Bukuku's speech👏
Twaisubiri kwa hamu.. Album..
Kweli
My mantor love u mamaaaa
Walipo legeza waongeze hahaha,nimependa mama
Mwaka rombo kiukweli limekupendeza mnoo
Amen amen mama wetu
Nic sana
Amen 🙏🏾
Kalombo umetulia hapo
Hongerakwahuduma
This woman i like her than normal
Kujipaka.... Jezebel
Nice
Sasa mnataka kujua biashara yake kwani lazima 😅ili mgundue nn mengine n private
@christianchando7041
3 жыл бұрын
Mchungaji hawezi akafanya biashara, asiyoweza kushirikisha wengine
Nakupenda buree tu
🙏🙏
Ongerakwauduma
Mbona ujamtaja Matha dada anaomba vizr
mama ulienda wapi umepotew sana
Mchungajii wa kuficha biashara?mungu akusamee
@naamohamed1042
3 жыл бұрын
😃😃
I'm from Rwanda
👀👀
Mchungaj unaficha biashara yako hutaki watu wajue roho mbayaaa
Love you bahat bukuku
Sasa hivi amekuwa mtumishi wa Mungu kwan Alikuwa mtumishi wanan mtanga zaji
✌✌✌✌
Anajua Sanaa❤️❤️
Hahahahahaha penda San ma bahati bukuku
Je suis bien OK ok
@noelalaurent9175
2 жыл бұрын
Sema bas nakupenda burr
Mbona hataki kutuambia kuhusu biashara kwani ni mihadarati.
G9goodjob
@janetnafula6963
Жыл бұрын
Mamawetukujaleta wimbosasa
JENNIFER MGENDI
Muss u sana
Kweli pesa ndo kila kitu,zamani wakati Bahati anaanza kuimba alikuwa ana kidevu kirefu,pia alikuwa mweusi,.lakini sasa hivi sioni kidevu,wala weusi hakuna .mmh dunia simama mi nishuke
@neimaweigolo4613
3 жыл бұрын
Hahahaaa kumbe naww umemuona nimweupe zaid saivi nikajua mimi
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
😂😂😂😂Hauwez kushuka acha tuendeleee na safari tu my dear
Mumewe alikua malayaa...mwe..sijui kama mzima yule Dany
@hadijaomary2000
3 жыл бұрын
Mmmh !!! Mmeanza ovyooooo
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
@@hadijaomary2000 namjua ndani.nje..ovyo mwenyewe
@hadijaomary2000
3 жыл бұрын
Heee samahani mpendwa
@jacksonamos2008
3 жыл бұрын
Duu
@priscahnyawera2569
3 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 kuliko mungu wako hiyo kuhukumu mtu sio vizuri
❤😂🎉
Kafufuka simlisema amefariki jamani
Mwakalombo 😅😅😅😅
Umesha kuwa tapel SKU hizi
Nabii prophet shillah.......???
Hiyo biashara ya nje ya kamera ni ya kuuza papa nini!
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Mbona anaficha
@amachildofGod
3 жыл бұрын
Sio lazima
@paulopetro5207
3 жыл бұрын
Mb
Mwakalombo
Ni mjamzito nini?.
Dadadume
🇰🇪🙏
Pacha wa neema,Neema yuwapi?
@innocentshitindi4933
3 жыл бұрын
Mdogo wa bukuku anaitwa Neema
Huyu Mama niaje' anapata fursa yakujitangaza biashara' analeta mbwembwe
@highvoltages4169
3 жыл бұрын
TRA waanze kumfuatiliiiia kabla ya kamtaji hakajakomaa By the way ni kuandaa movies GOSPEL MOVIES
@lawrencehezronmwakalebela2738
3 жыл бұрын
Mmh mchungaji gani sasa huyo muongo tu. Biashara matangazo ye anaficha
Hana uchungaji hana ukwaju kwan mchungaj haez ficha jmbo ilo bure kbx heri ungeimba tu
Bahati x10, kumbuka zamani kuke mbeya,ulikuwa unauza mchicha kupeleks kwa majumba yatu,Leo hii mtumikie Mungu kwa uaminifu mno,ucmdhulumu MTU,au ucmtukane MTU mbona ulitembeza mchicha umevaa malapa na vumbi tele,usidharau wauza vitumbua.
@Carollembi123
3 жыл бұрын
Hapana,Soo dharau mbali ni mfano.. Challenges zinakua kubwa na Mingi kulingana na kiwango
xxxlav