BAHATI BUKUKU AFUNGUKA MAMBO MAZITO SANA SHUHUDIA MWENYEWE | NINASAUTI NZURI

Ойын-сауық

SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Пікірлер: 134

  • @nascmpiri3492
    @nascmpiri3492 Жыл бұрын

    Wah mama yetu usitumie neno watanzania juu tunakutambua sana kenya na dunia nzima kwa kweli❤❤❤❤❤❤ from kenya

  • @jeannettekeza6434
    @jeannettekeza64343 жыл бұрын

    Huyu mama njinsi ninavyo mkubali Mungu tu ndie anae juwa mungu akupe maisha marefu

  • @godfreymathew7870
    @godfreymathew78702 жыл бұрын

    Mimi naomba mtumikieni sana mungu katika kweli maana wachungaji wengi wanamtumia mungu kwa njia ya kujipatia vipato kama biashara bahat mungu akubatiki

  • @salomelisence316
    @salomelisence3163 жыл бұрын

    Wakenya twazipenda nyimbo zako🇰🇪

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba29813 жыл бұрын

    Bahati ,bahati bahati ,Mungu Ni mwema kwako ,nakupenda Sana dada Bahati, una busara Sana ,na unastahili kuitwa Mchungaji ,kwa kweli ukiwafundisha watu kuvumilia Kama ulivyovumilia, wasalimie dada Neema na Amina Debora

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57633 жыл бұрын

    Dimpoz zake na mwanya masha'allah. Aki anapendeza nimurembo Sana😘😘😘😘

  • @Thefavouredelsa
    @Thefavouredelsa2 жыл бұрын

    Napenda jinsi mama bahati bukuku anajibu maswali yake kwa njia ya uastarabu na Hekima zaidi.. Mungu akubariki sana mama

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti2493 жыл бұрын

    Hata mimi naupenda huo wimbo #WARAKA WA HAMAN. Barikiwa sana Bukuku.

  • @fabfab9310
    @fabfab9310 Жыл бұрын

    Bahati Bukuku; I just love this woman of God, her songs are so encouraging, inspiring & uplifting.

  • @twendythomas7072
    @twendythomas70723 жыл бұрын

    Watu wanamtania sana Mungu wamemgeuza Mungu fursa haya siku ya hukumu ije upesi

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania63013 жыл бұрын

    Bahati bukuku anaongea sauti yake kama mama Rwakatale' kama umeona hilo nipe like

  • @johanesherson521

    @johanesherson521

    3 жыл бұрын

    Mama

  • @lucyhusein4043

    @lucyhusein4043

    3 жыл бұрын

    Penda sn

  • @peninahmaina8785
    @peninahmaina8785 Жыл бұрын

    Nakupenda bure bukuku dada bahati...God bless and keep you long

  • @ReverendKanguTv
    @ReverendKanguTv3 жыл бұрын

    Bukuku nalupenda sana kwa nyimbo zako. wanitia nguvu kwenye huduma sana kila nnapozisikoa nyimbo zako. Naomba siku moja nikuone macho kwa macho hapa Kisumu Kenya. Ubarikiwe sana

  • @ashuraalli1561
    @ashuraalli15613 жыл бұрын

    Waraka uliooandikwa wayahudi wauawe, Waraka uliootangazwa modikaye anyongwe,,,, Ester akiwa kwenye nyumba ya mfalme,,, Ester akiwa ni malikia 👍👍👍😁😁 Ndipo modikaye,,,, aliralua mavazi yake.... 👍👍😂😂tatzo hajatoa kingiio 💃💃💃I, m Islamic but I love so much ur song......

  • @marierichard3074
    @marierichard30743 жыл бұрын

    Mungu awahurumie nyinyi watumishi wa sikuzamwisho

  • @hadijaomary2000

    @hadijaomary2000

    3 жыл бұрын

    Hahahaaa 🙆

  • @lepadrechief4642

    @lepadrechief4642

    3 жыл бұрын

    Kweli maana wanajichubua,kucha kupaka rangi,rangi za mdomo...mawigi hahaha dini biashara siku izi.

  • @julliejullieirash1727
    @julliejullieirash17273 жыл бұрын

    Nakupenda sana mama bahati bukuku tangu udogo wangu nilitamani kuwa kama wewe au hata kukuona but no huwa nakuona tu kwa tv au cd huwa unanijenga sana ,natamani maishani mwangu niwe mjengaji kama wewe In Kenya

  • @koigathungu6770
    @koigathungu67703 жыл бұрын

    I love bahati bukuku from Kenya

  • @alubetmwamtombe608
    @alubetmwamtombe608 Жыл бұрын

    Sister Safi sana nimekuona Ongera

  • @pretty_witney8124
    @pretty_witney81243 жыл бұрын

    Nampenda sana

  • @deborasamweli8362
    @deborasamweli83623 жыл бұрын

    Mama barikiwa saana na mungu aliye hai kwa kazi nzuri unyoifanya

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel83233 жыл бұрын

    Yes Kila mtu amepewa neema yake

  • @bellah7467
    @bellah74673 жыл бұрын

    Nakupenda sana mamake mungu aku jalie maisha mema🙏🙏

  • @estherkikwaya6408
    @estherkikwaya6408 Жыл бұрын

    Merci kwanyimbo maman bahati

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta54213 жыл бұрын

    Eti sasa amekua ni mtumishi wa mungu so alikuaga Ni mtumish wa Nan shka adabu yako mwandishi, huyu Ni bahat bukuku tumpendae mtumishi wa mungu

  • @rizikiruwa7116
    @rizikiruwa71162 жыл бұрын

    Mama na kushukuru sana. Umenifungua macho

  • @evevalentine6764
    @evevalentine67643 жыл бұрын

    Mama ahsante. I admired you and God has graced me to join in Gospel music ministry

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын

    Ni Wa Mbea Kweli, Hata Biashara Yuaficha Jamani.

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha16613 жыл бұрын

    Yuko vzr da Bahati tumekumis nyimbo zako

  • @samsonezekiel9232
    @samsonezekiel92323 жыл бұрын

    Mgendi namkubali

  • @hatungimanagilberte3414
    @hatungimanagilberte3414 Жыл бұрын

    Na mimi nakupenda sana ♥️

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.97073 жыл бұрын

    Jah kipez bahati upoooo

  • @MildredNabwireolunga.
    @MildredNabwireolunga.11 ай бұрын

    I like your encouragement.

  • @harmonizemusic5896
    @harmonizemusic58963 жыл бұрын

    Mina mupendaka sana uyu mama!! Je l'aimé beaucoup elle mon artistes préfère, de puis Lubumbashi rdc

  • @lorinemulumba7793
    @lorinemulumba77933 жыл бұрын

    My roll model i loooove you mama🙌🙏😘🌹💞

  • @lovethildah7340
    @lovethildah73403 жыл бұрын

    Nakupenda San'a Bahati. Endelea Mama,, Baado safali bado...inaendelea.

  • @zabibuluvuno9891
    @zabibuluvuno98913 жыл бұрын

    Nyimbo songambele naipenda

  • @uwayisabachantal8474
    @uwayisabachantal84742 жыл бұрын

    Bahati l love you so much

  • @priscaomolo126
    @priscaomolo1263 жыл бұрын

    Kanisa na biashara ya siri ninayojua Yesu ana okoa na ana badilisha life style ya dunia lazima tue tofauti na dunia

  • @dorahy1579
    @dorahy15793 жыл бұрын

    Kwani uligeuza rangi yako Bahati Bukuku. Mbona ulikuwa na rangi nzuri sana!!!

  • @carolineoyugi7771

    @carolineoyugi7771

    Жыл бұрын

    Sasa hayo yanakuhusu nini

  • @dianajoseph6673
    @dianajoseph66733 жыл бұрын

    Namiss sana sauti yako nasubiri wimbo mpya Dada yangu kipenzi

  • @jolemerci2155
    @jolemerci21552 жыл бұрын

    Bahati bukuku ameshukuru wa tanza nia ila sisi wa Congo tunaenda sana nyimbo nzako ila nyimbo za mwanzo hapo ulikuwa umeimba mungu ila leo umeimba sababu ya napitatu sisemi kitu

  • @Wangjuelaoshi
    @Wangjuelaoshi3 жыл бұрын

    Nampenda sana bahati bukuku mungu aendelee kukubaliki kila wakat na saa mungu awe pamoja na ww

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria3 жыл бұрын

    Some questions are personal, and confidential. Mbona watu mnakerwa na bahati, asipo disclose biashara yake?

  • @singidaone5628
    @singidaone56283 жыл бұрын

    Makanisa yamekua biashara mungu anawaona"

  • @joycenyakiha8121

    @joycenyakiha8121

    3 жыл бұрын

    Umeonaee

  • @mimie254official8
    @mimie254official83 жыл бұрын

    Exactly my sister well said

  • @christowajamtinda8667
    @christowajamtinda8667 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂kweli umewazidi wote mpendwa. Wewe ni mama jasiri sana. Mungu akutunze!

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani31693 жыл бұрын

    Pesapesa ni mbaya sana uwii mungu tuhurumie jamani tunamchezea sana mungu

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Magugu na ngano vinaruhusiwa kukua pamoja

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын

    Mungu hazihakiwi

  • @zabibuluvuno9891
    @zabibuluvuno98913 жыл бұрын

    Naipenda hekimazako maman

  • @easternyiha7407
    @easternyiha74073 жыл бұрын

    There's just one thing about Rose Muhando and Bahati Bukuku's speech👏

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo14013 жыл бұрын

    Twaisubiri kwa hamu.. Album..

  • @user-nq2ol8ev8q
    @user-nq2ol8ev8q3 ай бұрын

    Kweli

  • @selinakioko3085
    @selinakioko30853 жыл бұрын

    My mantor love u mamaaaa

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel83233 жыл бұрын

    Walipo legeza waongeze hahaha,nimependa mama

  • @saranasser542
    @saranasser5423 жыл бұрын

    Mwaka rombo kiukweli limekupendeza mnoo

  • @estherwafula6932
    @estherwafula69323 жыл бұрын

    Amen amen mama wetu

  • @emaklathamichael-sg6vy
    @emaklathamichael-sg6vy Жыл бұрын

    Nic sana

  • @agneskadzo9087
    @agneskadzo90873 жыл бұрын

    Amen 🙏🏾

  • @naamohamed1042
    @naamohamed10423 жыл бұрын

    Kalombo umetulia hapo

  • @joshuamwambene9516
    @joshuamwambene95163 жыл бұрын

    Hongerakwahuduma

  • @kadogogibore5435
    @kadogogibore54353 жыл бұрын

    This woman i like her than normal

  • @marykamau6760
    @marykamau67603 жыл бұрын

    Kujipaka.... Jezebel

  • @sadasalum8778
    @sadasalum87783 жыл бұрын

    Nice

  • @sheillhamarow8371
    @sheillhamarow83713 жыл бұрын

    Sasa mnataka kujua biashara yake kwani lazima 😅ili mgundue nn mengine n private

  • @christianchando7041

    @christianchando7041

    3 жыл бұрын

    Mchungaji hawezi akafanya biashara, asiyoweza kushirikisha wengine

  • @maayiwachoffuri3925
    @maayiwachoffuri39253 жыл бұрын

    Nakupenda buree tu

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog67523 жыл бұрын

    🙏🙏

  • @AbayaMAMa
    @AbayaMAMa3 жыл бұрын

    Ongerakwauduma

  • @hussainsajin9915
    @hussainsajin99153 жыл бұрын

    Mbona ujamtaja Matha dada anaomba vizr

  • @peaceboyke
    @peaceboyke3 жыл бұрын

    mama ulienda wapi umepotew sana

  • @marierichard3074
    @marierichard30743 жыл бұрын

    Mchungajii wa kuficha biashara?mungu akusamee

  • @naamohamed1042

    @naamohamed1042

    3 жыл бұрын

    😃😃

  • @uwayisabachantal8474
    @uwayisabachantal84742 жыл бұрын

    I'm from Rwanda

  • @habibaa9503
    @habibaa95033 жыл бұрын

    👀👀

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana81353 жыл бұрын

    Mchungaj unaficha biashara yako hutaki watu wajue roho mbayaaa

  • @andersonmasala5741
    @andersonmasala57412 жыл бұрын

    Love you bahat bukuku

  • @emmanuelmajele9681
    @emmanuelmajele96813 жыл бұрын

    Sasa hivi amekuwa mtumishi wa Mungu kwan Alikuwa mtumishi wanan mtanga zaji

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma63333 жыл бұрын

    ✌✌✌✌

  • @aishamsemo5154
    @aishamsemo51543 жыл бұрын

    Anajua Sanaa❤️❤️

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli69263 жыл бұрын

    Hahahahahaha penda San ma bahati bukuku

  • @justinlosa1575
    @justinlosa15753 жыл бұрын

    Je suis bien OK ok

  • @noelalaurent9175

    @noelalaurent9175

    2 жыл бұрын

    Sema bas nakupenda burr

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa72483 жыл бұрын

    Mbona hataki kutuambia kuhusu biashara kwani ni mihadarati.

  • @janetnafula6963
    @janetnafula6963 Жыл бұрын

    G9goodjob

  • @janetnafula6963

    @janetnafula6963

    Жыл бұрын

    Mamawetukujaleta wimbosasa

  • @clementinajory7927
    @clementinajory79272 жыл бұрын

    JENNIFER MGENDI

  • @Werema3760
    @Werema37603 жыл бұрын

    Muss u sana

  • @pieremchome5202
    @pieremchome52023 жыл бұрын

    Kweli pesa ndo kila kitu,zamani wakati Bahati anaanza kuimba alikuwa ana kidevu kirefu,pia alikuwa mweusi,.lakini sasa hivi sioni kidevu,wala weusi hakuna .mmh dunia simama mi nishuke

  • @neimaweigolo4613

    @neimaweigolo4613

    3 жыл бұрын

    Hahahaaa kumbe naww umemuona nimweupe zaid saivi nikajua mimi

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂Hauwez kushuka acha tuendeleee na safari tu my dear

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa76013 жыл бұрын

    Mumewe alikua malayaa...mwe..sijui kama mzima yule Dany

  • @hadijaomary2000

    @hadijaomary2000

    3 жыл бұрын

    Mmmh !!! Mmeanza ovyooooo

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    3 жыл бұрын

    @@hadijaomary2000 namjua ndani.nje..ovyo mwenyewe

  • @hadijaomary2000

    @hadijaomary2000

    3 жыл бұрын

    Heee samahani mpendwa

  • @jacksonamos2008

    @jacksonamos2008

    3 жыл бұрын

    Duu

  • @priscahnyawera2569

    @priscahnyawera2569

    3 жыл бұрын

    @@masalakulwa7601 kuliko mungu wako hiyo kuhukumu mtu sio vizuri

  • @Owuor-gg4so
    @Owuor-gg4so11 ай бұрын

    ❤😂🎉

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani31693 жыл бұрын

    Kafufuka simlisema amefariki jamani

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51933 жыл бұрын

    Mwakalombo 😅😅😅😅

  • @gloryisaac1477
    @gloryisaac14773 жыл бұрын

    Umesha kuwa tapel SKU hizi

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma30453 жыл бұрын

    Nabii prophet shillah.......???

  • @nrwawanndeny7394
    @nrwawanndeny73943 жыл бұрын

    Hiyo biashara ya nje ya kamera ni ya kuuza papa nini!

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    Mbona anaficha

  • @amachildofGod

    @amachildofGod

    3 жыл бұрын

    Sio lazima

  • @paulopetro5207

    @paulopetro5207

    3 жыл бұрын

    Mb

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu67303 жыл бұрын

    Mwakalombo

  • @valenakomba4453
    @valenakomba44533 жыл бұрын

    Ni mjamzito nini?.

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca60583 жыл бұрын

    Dadadume

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon39863 жыл бұрын

    🇰🇪🙏

  • @happynyamwanji4563
    @happynyamwanji45633 жыл бұрын

    Pacha wa neema,Neema yuwapi?

  • @innocentshitindi4933

    @innocentshitindi4933

    3 жыл бұрын

    Mdogo wa bukuku anaitwa Neema

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29833 жыл бұрын

    Huyu Mama niaje' anapata fursa yakujitangaza biashara' analeta mbwembwe

  • @highvoltages4169

    @highvoltages4169

    3 жыл бұрын

    TRA waanze kumfuatiliiiia kabla ya kamtaji hakajakomaa By the way ni kuandaa movies GOSPEL MOVIES

  • @lawrencehezronmwakalebela2738

    @lawrencehezronmwakalebela2738

    3 жыл бұрын

    Mmh mchungaji gani sasa huyo muongo tu. Biashara matangazo ye anaficha

  • @mkosakuumbwamwendazake4254
    @mkosakuumbwamwendazake42543 жыл бұрын

    Hana uchungaji hana ukwaju kwan mchungaj haez ficha jmbo ilo bure kbx heri ungeimba tu

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92393 жыл бұрын

    Bahati x10, kumbuka zamani kuke mbeya,ulikuwa unauza mchicha kupeleks kwa majumba yatu,Leo hii mtumikie Mungu kwa uaminifu mno,ucmdhulumu MTU,au ucmtukane MTU mbona ulitembeza mchicha umevaa malapa na vumbi tele,usidharau wauza vitumbua.

  • @Carollembi123

    @Carollembi123

    3 жыл бұрын

    Hapana,Soo dharau mbali ni mfano.. Challenges zinakua kubwa na Mingi kulingana na kiwango

  • @saidmwendo6338
    @saidmwendo63383 жыл бұрын

    xxxlav

Келесі