#BAGAMOYO
Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) kupitia Idara ya Uanafunzi na Maandiko na Shule ya Sekondari, Beroya Mission, limetoa mashine ya kudurufu karatasi (Printer) katika Shule ya Msingi Miembe Saba na kufunga viyoyozi viwili (Air Condition) katika Kituo cha Afya Matimbwa kilichopo Bagamoyo, Pwani.
Пікірлер: 2
Mungu awabariki Viongozi wetu wa Idara ya Uanafunzi na maandiko kwa kupeleka Upendo kwa majirani Mungu awabariki ,tunawafuatilia kwa ukaribu sana
Mungu awabariki sana sana