BABY MAMA | FULL MOVIE
Ойын-сауық
Follow Bravoo Genius on Instagram / bravoogenius
Follow Bravoo Genius on Facebook / bravoogx
Follow Bravoo Genius on TikTok www.tiktok.com/@bravoogenius?...
#harmonize
#nandy
#keshoyangu
#juxbado
#zuchu
#hemedychande
#clamvevo
#wakewenza
#nimekoma
#bongohits
#mswahiliwasafitv
#mrmkazi
#mariooyanga
#moskobodocomedy
#moyomashine
#babalao
#latestnollywoodmovies2022
#wasafifestival
#diamondi
#tokamwanzodiamond
Пікірлер: 46
Yan mwanao aumwe kutoa pesa ya matibabu mpaka mm ndo nimlete kwako, nyoo utasubir sana , n bora nikaingia maden kea sabab ya mwanangu kuliko kufanya hiki alichofanya huyu dada
Uyu mwamba nitaanza kumfatilia naona ana kanzi nzuri sana👏👏
@HAWAMAULIDI-zl5xd
3 ай бұрын
Umechelewa mbona
Bravo nakumbuka nilisha kuambiaga ww Ni fundi sana unauliza kichwa ukiachia kitu binafsi kinanikosha piga Kaz mwamba utatoboa ❤❤❤❤
@bravoogenius
4 ай бұрын
Shukrani sana 🙌🏽🙏🏽
@AmisseBuraimoCanamo
4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 bravo from mozambiq
@user-rt6fd1fv9i
3 ай бұрын
@@bravoogenius bravo uyo dada sofia anatumia jina gani na ww unatumia jina gani
@user-rt6fd1fv9i
3 ай бұрын
@@bravoogeniusfb na inta uyo dada sofi anatumia jina gani na ww unatumia jina gani
Nakufuatilia sana bravoo mwendo wa kupambana
@bravoogenius
4 ай бұрын
Yeah, Asante sana 🙌🏽🙏🏽
Bravoo baba yani wewe u genius wako unautumia vizur kwakila kitu movie zako nzur broo nikupe maua yako from USA nakukubali sn
@bravoogenius
3 ай бұрын
Shukrani sana 🙌🏽
Much love from Kenya Safi kaka Bravo
@bravoogenius
4 ай бұрын
Thank you
Nzuri sana
@bravoogenius
3 ай бұрын
Asante sana
Kali sana director Bravoo natazama from kenya...
@bravoogenius
4 ай бұрын
Thank you
Unaweza
@bravoogenius
3 ай бұрын
Shukran sana
Wafula Comedian from Kenya 🇰🇪 Good job bravo
@bravoogenius
3 ай бұрын
Thank you
Daah nimefulahi sana nimemuona mwanangu gama 🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾🕺🏾tukwa bai mwamba gairo
Yan hii move inanihusu kabsaaa
Bravo we ni kiboko 🎉🎉🎉🎉🎉
Usiamini mke hata kama ulimuowa atakusaliti second yyte 😊😊😊
Hawa kina mohamed sijui wana nini😂😂 eti king’ang’anizi😂😂😂😂😂😂
Nzuri❤
@bravoogenius
4 ай бұрын
Asante sana
Gama boy Gairo boy
Unyama nimwingi sana😢😢
Safi Sanaa
@bravoogenius
4 ай бұрын
Asante sana
Kama mm mkenya niko nawe bega kwa bega. Hadi mwisho wa mchezo😋na sitachoka kufatilia movie zako
Good job broo😊
Bravo genius unaweza kaka
@bravoogenius
4 ай бұрын
Shukrani sana
Akili mingi❤❤❤
🇹🇿🇹🇿❤❤❤
Nice🎉🎉❤❤
@bravoogenius
3 ай бұрын
Thanks
🎉
Hiyo nikawaida kwa mwanamke alie zaaa na mwanaume mwingine hapo kuchomoka ningum sn
@ppendo3611
4 ай бұрын
Sio ngumu kuachana na mzazi mwenza endapo hutahitaji msaada wowote kweke beba majukumu kama mama na usihusishe babake akitaka kumuona mtoto si hata ndugu wapo watampeleka akamuone na arudishwe sio lazima mumeet
@ppendo3611
4 ай бұрын
Na akitaka kumuhudumia si anaeza lipa ada direct shule sio kila mwezi uongee naye mtoto hivi mara hivi kama ni vitabu uniform aambiwe shule ili kuepuka mambo kama haya learn how to move on
@hamischubwajumanne2269
3 ай бұрын
Duuh😂