Babu wa TikTok aonesha kipaji cha kuimba | Awajibu wanaomzomea mtandaoni | Mimi siyo mzee

Спорт

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 138

  • @lennylee9789
    @lennylee97892 жыл бұрын

    Babu Tik tok yupo good nimemsalute kwenye Shape of you daah huyoo mzee thumbs up

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy62982 жыл бұрын

    Mungu atuvue na mtihani ya dunia atuepushe masahibu ya dunia

  • @mokojumbe4545

    @mokojumbe4545

    Жыл бұрын

    Usinge Kuja Uku Kaka Ungeenda Kusoma Qur'an Acha Kuish Kinafka Kwann Unafos Ktu Ambach Aukipend

  • @agnettakamugisha4984
    @agnettakamugisha49842 жыл бұрын

    Babu pia mchekeshi na mwenye ELIMU NZITO👌🏿🎓🎓❤❤🙏🏿🙏🏿

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын

    congratulations 👏 I salute you for that 🔥🔥🇰🇪🇪🇺🎷

  • @user-oq7dz5xi4d
    @user-oq7dz5xi4d8 ай бұрын

    Babu upo vizuri nitaongea na kaka YB anilete kwako ni ricod na wwe by Mudy

  • @jennytugara9470
    @jennytugara94702 жыл бұрын

    Nampenda buree he speak his mind alafu Mtu wa furaha yaani sio fake. Alafu jamani umri sio tija kama unapenda dream yako endelea!!!!

  • @rehemahaji4732
    @rehemahaji47322 жыл бұрын

    Asante babu mumewangu kwa kutufurahisha kutuondosha mawazo

  • @mutant__4174
    @mutant__41742 жыл бұрын

    aibu naona mimi mtangazaji hamjui babloom kisauji

  • @mahamudaideed6922
    @mahamudaideed69222 жыл бұрын

    Babu fanya toba nakupenda sana nataka uende janna Insha'Allah

  • @mwanaishazain7985

    @mwanaishazain7985

    2 жыл бұрын

    Uzee ni number tu. Big up. Usisahau ibada na imani yako iwe kwa kwa Allah. Wapo wanafanya mabaya makubwa kuliko na hawaonekani. Wanabaka watoto wao na wa wenzao. Jipe raha wenyewe kufa ni siku moja tu.

  • @anwarambar6141

    @anwarambar6141

    2 жыл бұрын

    @@mwanaishazain7985 Dadangu katika Imani mbona wampa nguvu ,wamtia hima, aendelee kufanya munkar, utafanyaje ibada na huku wafanya maasia, utakuwaje na Imani ya kweli mbele ya Allah , huku unaimba muziki, ,Allah atuongoze sote katika njia yake ilionyoka

  • @mmasipeter4157

    @mmasipeter4157

    2 жыл бұрын

    Itete kwanza imani yako haijakamilika kuliko...

  • @KesheMedia
    @KesheMedia2 жыл бұрын

    Mtangazaji umjue unayemualika kabla ya interview...wanaomjua huyu anatoka Ukoo maarufu Tanga wa Kisauji na ni mwanamuziki anayejulikana kwa wanaojua muziki. Ila mmavyomuuliza ni kama hamumfahamu.Bora huyo aliyeingia kuuliza babloom

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza91132 жыл бұрын

    Umetisha sn mme wangu💕💕💕💕

  • @user-dq9bx1qf9e
    @user-dq9bx1qf9e Жыл бұрын

    Kula raha baba kifa kwaje achana nawajinga wanao kusema watafute kazi wafanye awambia babazao nao wale raha love you dady

  • @unclepwechnov1381
    @unclepwechnov13812 жыл бұрын

    Brother wa Babloom, big up bro.

  • @herryemmanuel942
    @herryemmanuel9422 жыл бұрын

    Sikupata miss kumsikiliza Babu wa tiktok nimemuelewa sanaaaaa mzee.big up sana una busara

  • @BambinoEnt443
    @BambinoEnt4432 жыл бұрын

    Mzee Wa Tongozo.. Nakukubali sana

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa99364 ай бұрын

    Babu sasa utubu rudi kwa Mungu ufike pahala umuonee aibu Mungu

  • @SaeedAli-kj8zn
    @SaeedAli-kj8zn2 жыл бұрын

    Mwisho wa maji ni matopee, jiielewe babu! jana sio leo, Taka toba urudi kwa mola wako. uwombe mwisho mwema.

  • @safielymchambua6719

    @safielymchambua6719

    2 жыл бұрын

    Kwani kamuambia alimuacha Mola wake

  • @ashaali7154

    @ashaali7154

    2 жыл бұрын

    Si ajabu toba anayofanya yeye ni kubwa kuliko yako ya kudharau wakati wewe mwenyewe hujui kama uko msafi.

  • @ashaali7154
    @ashaali71542 жыл бұрын

    Kipaji ulikuwa nacho hadi sasa unacho endelea na maisha yako usijali hao waongeaji ni kawaida yao ungefulia wangekusimanga leo unajishughulisha pia wanaongea hao ndio binaadam.

  • @shafimuhsin7685
    @shafimuhsin76852 жыл бұрын

    Upo pw sana kipaji unacho hongera sana 👏

  • @hassankhan9932
    @hassankhan99322 жыл бұрын

    Babu la vocals 🔥🔥🔥🔥

  • @bonnycosta3828
    @bonnycosta38282 жыл бұрын

    Uko safiii

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri44552 жыл бұрын

    Mzee harembi alipo ambiwa suu akaua,, safi sana

  • @sharifaanna9288
    @sharifaanna92882 жыл бұрын

    Mume wang mie hap jmnz😂😂😂😂😂atarii xan nakumbali xan

  • @issaissah8832
    @issaissah88322 жыл бұрын

    Mungu ana mchukia mtu mzima anapo tenda zambi so we mzee ludi kwa Molla wako doooh iseeeeeeee

  • @alisenmbambagwa6790

    @alisenmbambagwa6790

    2 жыл бұрын

    Kafanya zambi gani alafu wewe ni nani katika kupanga maamuzi ya mungu

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Wewe kwani Mungu

  • @alisenmbambagwa6790

    @alisenmbambagwa6790

    2 жыл бұрын

    Eti ludi kwa molla viazi kabisa

  • @abuumaryam185

    @abuumaryam185

    2 жыл бұрын

    issa upo sahihi anae kutusi hajui anacho kiongea

  • @rashidramadhani1482

    @rashidramadhani1482

    2 жыл бұрын

    Kuma wew

  • @chozilasamaki5473
    @chozilasamaki54732 жыл бұрын

    Ati Huyo mtume alipigwa mawe! Sababu? Mungu akuongowe

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын

    Mzee, Babu wa tiktok, wewe amesema jina lake ni mume wangu sijui utaweza kusema hivyo ?

  • @omkidgraphix1379
    @omkidgraphix13792 жыл бұрын

    kweli ngombe hazeeki maini, I salute you baba wa kambo

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa38422 жыл бұрын

    Huyo namkubali sana

  • @kijanayaaput8940
    @kijanayaaput89402 жыл бұрын

    *Sanaa ngumu ila ni muhimu kupambana.*

  • @diascookout8270
    @diascookout82702 жыл бұрын

    Ukoo Saawa kabisa Babu Tiktok Naomba jina KZread Yako

  • @alonsobrazzel3011
    @alonsobrazzel30112 жыл бұрын

    👉🇹🇿☻ - Huyu si MZEE ni KENNY ROGERS. Nimesikia "VOICE" yake nani ya kama Kenny Rogers (RIP). Aiweke DEEP tu lakini It is a "REAL VOICE". ❤ LOVE HIS VOICE.👍👏✔ 🇨🇦☻🇰🇪

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy62982 жыл бұрын

    Mungu akuvue hiyo ndio laana wakti wa toba bado unaitaka dunia

  • @ambaranguathuman4446
    @ambaranguathuman44462 жыл бұрын

    Walahi huyu mzee chenga sana 😃😃😃😃 walahi anachekesha hatar

  • @ahmedkassim6906
    @ahmedkassim69062 жыл бұрын

    Beautiful

  • @bakarhaj9214
    @bakarhaj92142 жыл бұрын

    Wanaokusifu wanakuponza, achana nayo hayo mambo ya mziki kila kitu kina muda wake. Faharika na dini yako na wala sio mziki. Tubu tubu tubu mzee wetu ktk waislam

  • @joakimukenedy3582

    @joakimukenedy3582

    2 жыл бұрын

    Wewe unamazambi magapi koma

  • @bakarhaj9214

    @bakarhaj9214

    2 жыл бұрын

    @@joakimukenedy3582 ni kweli hakuna mkamilifu, ndio tukaambiwa kuwa ss ni ummati bora kwa sababu ya kukatazana maovu na kuamrishana mema. Nikikosea nitakosolewa tu lkn mzee anapoenda sio kuzuri. Cha msingi na uzuri ni kufikisha tu tena kukubal au kukataa ni maamuz yake

  • @Lungtonic
    @Lungtonic2 жыл бұрын

    Mimi najuaga tu hapo kwa shape of you.

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV2 жыл бұрын

    Angalia YANAYOJIRIMITAANI TV pombe Baraka magufuli

  • @salimsaid6275
    @salimsaid62752 жыл бұрын

    Mzee nasaha zangu kwako rud kwa mola wako fanya unavo fanya laki iko siku utakufa umejianda na nini ili kukutana na mola.

  • @babaluxe8626

    @babaluxe8626

    2 жыл бұрын

    Acha kujaji watu fanya yako

  • @uwimanauwimana7692

    @uwimanauwimana7692

    2 жыл бұрын

    @@babaluxe8626 ukweli unauma kila siku ila kuna akhera msijisahah hiyi dunia tu

  • @erikimethod6246

    @erikimethod6246

    2 жыл бұрын

    Achen usenge mwachen babu afanye yake hapo mlipo mna mapungufu kibao

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    Nanyie makafir mnachukia sana kuona watu wanaongozana. Mmekaa km iblis???

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    Anajajiwa au anaongozwa na kukumbushwa? Kujajiwa si atakwenda kuona huko mbele ya Allah mwenye moto na pepo??? Hata hio mahakama inayojaji kuna jela au uraiani. Sasa sie hapa tunakipi hata mnasema tunamjudge? Acheni kushabikia ujinga...huyo mzee kwa umr wake ulivyokwishaenda ni wakuwa mfano mzuri kwa jamii na sio kua mpotoshaji.

  • @Ismakhaty
    @Ismakhaty2 жыл бұрын

    mzee yuko poa sanaa

  • @leonardmayunganyamfanka9623
    @leonardmayunganyamfanka96232 жыл бұрын

    Bg up baba wa kambo

  • @saidkimefu7055
    @saidkimefu70552 жыл бұрын

    Umenifundisha kitu mzeee

  • @TeamKRX
    @TeamKRX2 жыл бұрын

    Anajishauwa tu mtu mzima mpeni msala anasali uko

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11062 жыл бұрын

    Mr. Seif...bora uchukuwe taula ni kitu kimoja cha usafi..kuna watu wanakuwa kwenye interview wanatoka majasho basi...😂😂 hawana tissue wala kitaula...wanajifuta kwa mikono looh..

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji89232 жыл бұрын

    Mzee umenifurahisha yapo mafundisho toka kwako

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Жыл бұрын

    Mwanzo wa mtu siio issue mtihani siku zako za mwisho kwa umri wako rudi kwa m Mola wako usujisufu kwa muziki

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753Ай бұрын

    Babu mimi niko nyuma yako

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын

    Sanaaa kitambo toka tanga bro

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk55432 жыл бұрын

    Mzee smart saana!!!

  • @saviomlotwa1047

    @saviomlotwa1047

    2 жыл бұрын

    You bro

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela50162 жыл бұрын

    jaman

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57962 жыл бұрын

    Umaarufu utakusaidia nn mzee hapo ulipo ushapita miaka 60 mguu duniani mguu kaburini. Usorudi kwa Allah kwa kutubia ndio kwanza unatafuta na jukumu la kupoteza wajukuu zako mitandaoni....Km ulifanya ulofanya hapo mwanzo ndio ushafanya, fanya istighfar tena tunakwenda makundi kwa makundi na watto wadogo wanajiondokea sikwambii ww mzee ushavuka 60.

  • @saidmabanga388

    @saidmabanga388

    2 жыл бұрын

    Tulia we kufa hata we utakufa acha ujingaa

  • @mamuumuu4999
    @mamuumuu49992 жыл бұрын

    💕💕💕💕💕💕💕

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13392 жыл бұрын

    Babu we piga tu unaweza

  • @anwarambar6141
    @anwarambar61412 жыл бұрын

    tubia kwa Allah, uache mambo ya kidunia. nyimbo au muxiki ni haramu

  • @ummyshedafa2125
    @ummyshedafa21252 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂mume wangu

  • @hamidhamdan6911
    @hamidhamdan69112 жыл бұрын

    Wewe mzee kuwa na busara usikupuke kuwa mtulivu hayo nimambo ya aibu mtu mzimaa huzima hawashi. Ukifanya hayo vijana wafanye yapi. Simama ufanye mazuri watoto wako na wawenzako wafuate mema. Huoni haya

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza91132 жыл бұрын

    Jmn mm nampenda sn huyu babu wa tik tok

  • @binnagy1497
    @binnagy14972 жыл бұрын

    Tubu mzeee

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48372 жыл бұрын

    Babu 😂🤔

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak87592 жыл бұрын

    Mbona hukuja ukasoma qurani mlanisi makanda weee

  • @amiribakari2528
    @amiribakari25282 жыл бұрын

    Kwa nn hujawa waziri wa utamaduni maana umepita kwingi..

  • @azzasalti6124
    @azzasalti6124 Жыл бұрын

    Mzee ana hikma sanaa

  • @muhammadhaji9022
    @muhammadhaji90222 жыл бұрын

    Tuubu ila llah

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak87592 жыл бұрын

    Mzee fala sana hujioni aibu tupuuu hii

  • @liliankessy1255

    @liliankessy1255

    2 жыл бұрын

    Anajua kuimba we Una NN?si ajabu zambi ulizo nazo znamzidi

  • @kiatu

    @kiatu

    2 жыл бұрын

    Hili ni tatizo la mtu kujidhani yeye ndio “standard” , hatuwezi kuendelea.

  • @fadhiliomary8517
    @fadhiliomary85172 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja3622 жыл бұрын

    Mzee ni mkali kinomanoma.

  • @mwaka308said7
    @mwaka308said72 жыл бұрын

    Mademu sio,,,,ahahahaa babu unipunga kwelii

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza91132 жыл бұрын

    Banyamlenge siyo tusi ni kabila fulani from congo

  • @chiefmosabifrancis7923
    @chiefmosabifrancis79232 жыл бұрын

    Mimi naomba no yake

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak87592 жыл бұрын

    Mzee mlanisi sana waonekana zumparrr

  • @LoloLolo-xj2nc
    @LoloLolo-xj2nc2 жыл бұрын

    Ninakupenda xna mzee ongeyayakotu

  • @mgalamohamed6956
    @mgalamohamed6956 Жыл бұрын

    Fanya yako kaka hao wakojoe wakalale

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi78692 жыл бұрын

    🤣😂🤣😂

  • @aminaseif7237
    @aminaseif72372 жыл бұрын

    Baba achana na famaa dunia funapifa2

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    Mwambie aimbe brainwash ya bob kama kweli anajua kuimba hizo za mbele Au atupe Ting a ling ting a ling ya shabba ranks. Au bam bam ya Chaka Demus. 😀😀😀😀😀😀

  • @29WavesTV
    @29WavesTV2 жыл бұрын

    Baba wa kambo ni 🔥🔥🔥

  • @shabanihamisimchaga9850
    @shabanihamisimchaga98502 жыл бұрын

    Mkali sana

  • @hamissuche6576
    @hamissuche65762 жыл бұрын

    Mtu mzima oyo

  • @protaspessa8615
    @protaspessa86152 жыл бұрын

    mzee unajua knoma

  • @mayengamabulambuzah1795
    @mayengamabulambuzah17952 жыл бұрын

    Page zake hujilikana kwa majina yapi?

  • @yusufjuma3773
    @yusufjuma37732 жыл бұрын

    Na mm Niko ndani ya 98%

  • @Ismakhaty
    @Ismakhaty2 жыл бұрын

    hahaha mwite basi

  • @idrisatv5540
    @idrisatv55402 жыл бұрын

    Nikweli hata KZread wakoivyo unaweza ukaiyacha vidio uliyo aplodi ikikaa mdamlefu unajikuta siku inatembea sana viws

  • @clintonjoas9020
    @clintonjoas90202 жыл бұрын

    Ha haaaa,babuu uko vizuriii sana

  • @mbaroukkhalfani9244
    @mbaroukkhalfani92442 жыл бұрын

    Mtoto wa kitaa wa Barbara ya 6 tanga

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak87592 жыл бұрын

    Wawaibisha watoto wako

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын

    Rudia nyimbo zenu bhana

  • @yasminhamud2575
    @yasminhamud25752 жыл бұрын

    Ya Rabi , Allah akuongoe,, usi angalie pesa, angalia Akhera yako, umetumia ujana wako na mziki hadi saa hizi fanya toba, you are no longer young,

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57962 жыл бұрын

    Wazee wa mfano km hawa ndio wanaokufa macho yamewatoka hata yakifumbwa hayafumbiki kwa kuzitazama roho zao zikitolewa namna wanavyokua hawajamaliza bado starehe za dunia na mauti yameshawafikia. Allah atupe mwisho mwema sote na atuepushe na ujinga wa kuipenda dunia mpaka uzeeni na mauti kutukuta, amiin.

  • @ashaali7154

    @ashaali7154

    2 жыл бұрын

    Wewe ulipata habari kuwa unakwenda peponi? Kazi ya Mungu usiifanye wewe si ajabu anayo ya kheri anayoyafanya ambayo yatamfikisha pema kuliko wewe unaejifanya unajua hukumu za watu wakati yako huyajui. Acha kuhukumu na wewe utahukumiwa.

  • @khadijamahmoud4365

    @khadijamahmoud4365

    2 жыл бұрын

    Ww Asha ni Asha gan ww usiejitambua? Au ndio muislam jina? Maana ss waislam tuko umma bora sababu ya kupeana nasaha, mziki ni kharam hilo pia mpaka umri huo hujalitambua hilo

  • @indiatredings7005
    @indiatredings70052 жыл бұрын

    Jamn hiyo nyimbo inaitwaje aliyoimba ha kiingereza ni ipi

  • @henryabisalami4646

    @henryabisalami4646

    2 жыл бұрын

    Ed sheeran shape of you

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak87592 жыл бұрын

    Mshamba wewe mzee umri huo sio wa usanii wajichora zumparrr

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57962 жыл бұрын

    Hv unafikiria wanaokutusi watakutusi maisha? Wanaokushangiria ndio watakushangiria maisha kwa sabbu wanakufatilia ati lkn anaekutusi bila ya shaka video zako kishaziona hazina maana na nipuuzi mtupu kwake yy kuangalia haangalii tena...na ndio unaona yanapungua tu!

  • @TeamKRX

    @TeamKRX

    2 жыл бұрын

    Fanya na wewe

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV2 жыл бұрын

    pombe baraka magufuli kzread.info/dash/bejne/hXyc2Limqc_WqqQ.html

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Жыл бұрын

    Mwanzo wa mtu siio issue mtihani siku zako za mwisho kwa umri wako rudi kwa m Mola wako usujisufu kwa muziki

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy15622 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy15622 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @situmayasmin6737
    @situmayasmin67372 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Келесі