BABA YAKE ALLY KAMWE AGOMA KUHAMA NA CHAMA YANGA/ BORA RISASI KULIKO KUISHABIKIA YANGA SC
Жүктеу.....
Пікірлер: 10
@kisinza60774 күн бұрын
Mzee kamwe 100% umenifurahisha, siku moja nilikwambia usipanic mwanao Yanga wewe Simba tutembee na hiyo, utani tu Wala siyo hakuheshimu. Mwanao anakupenda sana na anajivunia sana wewe! Na wewe ujivunie mwanao anafanya vizuri. Big up Mzee Kamwe.
@ChenchiKing4 күн бұрын
Mzee Kamwe Ni Fans Wa Kweli Wa Msimbazii
@marandoruzali19464 күн бұрын
Hongera mzee wetu
@carrenbenson21114 күн бұрын
Mtoto na baba utani lazima uwepo tu
@muhamedjaffar56534 күн бұрын
Leo ndo nimegundua msemaj wa yanga ni mropokaj.mzee smart simba kweli .simba nguv moja
@anithawidambe75434 күн бұрын
MZEE KAMWE UNA AKILI SANA NA UNAMSIMAMO SANA.
@francepeter58084 күн бұрын
.
@HABIBHASSAN-wf5mr4 күн бұрын
MZEE KAMWE KALIBU KWA WANANCHI UWE MJANJA...UJUE KAMA SIMBA WANGEKUWA WAJANJA MGETAMBUA KWAMBA MO TRY AGAIN NA MZEE MANGUNGU WAO LAO MOJA...NA HAO WAZEE KAWAWEKA MO MWENYEWE...HATA HUYO MZEE MANGUNGU SIO ETI ANAGOMA KUJIUDHULU HAPANA HUYO MO HATAKI
@MakunguBujingwa-nh1dh4 күн бұрын
Huyo alli kamwe mwenyewe ni simba tangu anapata akili. Kwanza ilikuwa kabla ya kuajiriwa yanga angetangazaga kuwa haishabikii tena simba. NB: ushabiki ni upendo wa nafsi daima haufi
Пікірлер: 10
Mzee kamwe 100% umenifurahisha, siku moja nilikwambia usipanic mwanao Yanga wewe Simba tutembee na hiyo, utani tu Wala siyo hakuheshimu. Mwanao anakupenda sana na anajivunia sana wewe! Na wewe ujivunie mwanao anafanya vizuri. Big up Mzee Kamwe.
Mzee Kamwe Ni Fans Wa Kweli Wa Msimbazii
Hongera mzee wetu
Mtoto na baba utani lazima uwepo tu
Leo ndo nimegundua msemaj wa yanga ni mropokaj.mzee smart simba kweli .simba nguv moja
MZEE KAMWE UNA AKILI SANA NA UNAMSIMAMO SANA.
.
MZEE KAMWE KALIBU KWA WANANCHI UWE MJANJA...UJUE KAMA SIMBA WANGEKUWA WAJANJA MGETAMBUA KWAMBA MO TRY AGAIN NA MZEE MANGUNGU WAO LAO MOJA...NA HAO WAZEE KAWAWEKA MO MWENYEWE...HATA HUYO MZEE MANGUNGU SIO ETI ANAGOMA KUJIUDHULU HAPANA HUYO MO HATAKI
Huyo alli kamwe mwenyewe ni simba tangu anapata akili. Kwanza ilikuwa kabla ya kuajiriwa yanga angetangazaga kuwa haishabikii tena simba. NB: ushabiki ni upendo wa nafsi daima haufi
@salmamlokela1987
3 күн бұрын
Mmmmh! Nyie kila mtu ni simba