BABA LEVO AFICHUA - "NIMEMKUTA ZUCHU NYUMBANI KWA DIAMOND, ANAMLISHA CHAKULA"

Ойын-сауық

BABA LEVO AFICHUA - "NIMEMKUTA ZUCHU NYUMBANI KWA DIAMOND, ANAMLISHA CHAKULA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 99

  • @nostresslyly5454
    @nostresslyly54542 жыл бұрын

    Baba levo wewe nakukubali👌👌👌👌

  • @mnrakishrasheed6629
    @mnrakishrasheed66292 жыл бұрын

    Why can't she be happy..... It's her time...if it's meant to be it would be ..all the best zuchu.

  • @kimah9461
    @kimah9461 Жыл бұрын

    Babalevo anajua kitu🤣😅Sisi tunapenda wakiwa wameowana 🙌🥰

  • @alverztv6272
    @alverztv62722 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 B-Levo mkali wa yote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv67282 жыл бұрын

    Kazuchu kanatumika ipo siku akiondoka WCB atakujaga kusimuliwa.

  • @romakoko2292
    @romakoko22922 жыл бұрын

    Niulize Mimi😂😂😂Baba Levo alokuroga

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын

    Am tz baba Levo toa siri❤😅😅😅 pasua Nice job ZUCHU TUNAMPENDA NA SIMBA TUNAWAPENDA SAWA TU

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official92162 жыл бұрын

    Baba levooooo😃😃😃😃

  • @zamzamabdi5279
    @zamzamabdi52792 жыл бұрын

    Tanzani mtakufa kufatiliya maisha za watu

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani19892 жыл бұрын

    Baba levo anajua anachokisema sababu yuko karibu sana na diamond hawezi kukosakuona ishara za kimapenzi kati ya zuchu na diamond ila jamaa anajua kula na diamond

  • @simeonchui2256
    @simeonchui22562 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian57432 жыл бұрын

    B levo Ba anaemkubali like hapa jamaa hajui kuficha Kbsa 😂🤣🤣🤣🤣

  • @nyirandagijimanashamila6230
    @nyirandagijimanashamila62302 жыл бұрын

    Haya endelea umeniwuwa sana

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Seeeemaaaa baba levooooooooooooo

  • @alainmuhindo2137
    @alainmuhindo21372 жыл бұрын

    Babalevo jamani 🤣🤣🤣🤣

  • @michutv9677
    @michutv96772 жыл бұрын

    Hahahahahaaaa niulize mm😂😂😂

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50152 жыл бұрын

    Yn bbaa levo cjui lipoje utasema yy ndo Lina fanyiwa kipindi

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын

    Simba Diamond Platnumz huyu mtoto Zuchu ni zaidi ya Beyonce. Wanawake aina ya Zuchu akizaa watoto wanakuwa na IQ kubwa sana maana Zuchu ni Msanii pekee wa kike anayeandika mashairi hivyo Ubongo wake ni material.Simba tulia na mtoto huyo ule maisha pia atakusaidia kuendeleza Kampuni ya Wasafi huko mbeleni Inshallah.

  • @omarswaleh6082

    @omarswaleh6082

    2 жыл бұрын

    Mondi aweza kuowa huyu amejaliwa kuza watoto wa haramu ulisikia wapi mtu anae abudu mashetani

  • @omarihamadumetishasanalava4725
    @omarihamadumetishasanalava47252 жыл бұрын

    Nice

  • @shishybaby4524
    @shishybaby45242 жыл бұрын

    Baba levo we noma

  • @birusidesmond3245
    @birusidesmond32452 жыл бұрын

    Chawa 🔥🔥🔥😂😂😂

  • @jacquelinesangu1521
    @jacquelinesangu15212 жыл бұрын

    Diamond kula wote hao

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17622 жыл бұрын

    B levo mastory gd sana

  • @aminakassim7486
    @aminakassim74862 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51312 жыл бұрын

    ss ww chawa wivu umekujaa kwani ulikuwa wataka kuliswa ww kuweni wabunifuu kila siku boss wenu ama Hamo mwaboowesha sana

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 жыл бұрын

    Uwo upuuzi haushitui tena kila ngoma muje na hili

  • @shaneshane4175
    @shaneshane41752 жыл бұрын

    Baba levo🤣🤣👌

  • @markifilberttv9859
    @markifilberttv98592 жыл бұрын

    Acheni Mambo ya kidada wanaume

  • @mwaiphamkuruto1087
    @mwaiphamkuruto10872 жыл бұрын

    Huyo Zuchu kama kweli anatoka na Mond fala tu hivi haoni warembo walikuwa nae saa hii wako ama nataka kuzaa tu na Diamond nje ya ndoa awe analea mtoto haramu upuuzi tu

  • @gracesilayo7670

    @gracesilayo7670

    2 жыл бұрын

    Anajiamini ni mrembo zaidi ya waliopita nae 😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwaiphamkuruto1087

    @mwaiphamkuruto1087

    2 жыл бұрын

    @@gracesilayo7670 yeye na mobeto, na joketi , wema na zari the big boss haingii hata wakifunga macho

  • @mwaiphamkuruto1087

    @mwaiphamkuruto1087

    2 жыл бұрын

    Mbona asiwe kama Nandy mashallah mrembo na ajihifadhi kuliko huyo muislamu Zuhura na sio eti hana mahusiano lakin ni mtulivu saana namkubali saana

  • @gracesilayo7670

    @gracesilayo7670

    2 жыл бұрын

    @@mwaiphamkuruto1087 anaonyesha pajaaaa vimini ndo mitoko yake huenda aliambiwa ndo anapendeza

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    2 жыл бұрын

    Cku moja ataliaaa km paka huyoooo mondiii nomaaa

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Жыл бұрын

    Sasa la ajabu ndio gani hapo huyo zuchu si kahamia kwa mondi Tangu zamani alikuwa akichezea kina wema sepetu n'a kina Aliya, Pia hata tanasha kawachezea mbona hakuthubuti ,kumchezea zari siku ile ya mpira alibaki tu kubinua midomo uwanjani kama kunguru aliyenyeshewa.

  • @abdonkakesiumkakesium5747
    @abdonkakesiumkakesium57472 жыл бұрын

    😄😄😄😄❤️♥️♥️♥️♥️🌸ZucH

  • @deboratv1941
    @deboratv19412 жыл бұрын

    weeee

  • @Vumimakil8102
    @Vumimakil81022 жыл бұрын

    😂😂😭Baba Levo

  • @letisiamakonda3873
    @letisiamakonda38732 жыл бұрын

    KunguniProMax😆😆👐

  • @abdonkakesiumkakesium5747
    @abdonkakesiumkakesium57472 жыл бұрын

    😃😃😃😀😀😀😀😃❤️❤️❤️❤️❤️😍😍

  • @abdulmtausi5590
    @abdulmtausi55902 жыл бұрын

    Adela na baba levo nawapenda sana,akili zao zinaendana

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib46782 жыл бұрын

    Kwani. Kumuekea. Chakulaa. Boss. Wakoo. Mdomoo. Kudety. Naee

  • @jennytugara9470
    @jennytugara94702 жыл бұрын

    Lol Mwanamme umbea sio kazi yaani imefikia mahali umbea umekuwa kazi yaani Mtu analipwa kutangaza umbea duh hatari. Yaani eti tumwambie Diamond akuoe Zuchu hao wengine Baba Levo watu ndio walisema aachane nao???

  • @karasuyazidi8547

    @karasuyazidi8547

    2 жыл бұрын

    We endelea kuamini tu huwezi kujua

  • @ayni193
    @ayni1937 ай бұрын

    B levo chawa

  • @rehemakulwa8331
    @rehemakulwa83312 жыл бұрын

    Baba levoooo hatar

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein42933 сағат бұрын

    Msidangane ukweli hiyo

  • @deboratv1941
    @deboratv19412 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Adela miwanibkama kipof

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu67112 жыл бұрын

    😂😂😂😂😃

  • @zakahusain8184
    @zakahusain81842 жыл бұрын

    Chawa kma chawa...kiroboto yuko wapi jumah😂😂😂

  • @michaeljgruppiii7257
    @michaeljgruppiii72572 жыл бұрын

    Wasafi wanajua kutafuta pesa kweli wameacha bifu sasa ni mambo y’a mahusiano baadaye tutasikia mboso n’a wema sepetu

  • @abdonkakesiumkakesium5747
    @abdonkakesiumkakesium57472 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄😄😄🥰😍🥰

  • @brantarry4585
    @brantarry45852 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊

  • @luciametuselah5164
    @luciametuselah51642 жыл бұрын

    Yan uyu baba levu

  • @VicKi-ot7pq
    @VicKi-ot7pq10 ай бұрын

    Zuchu na diamond tuna subiri doa

  • @rugerfamily8577
    @rugerfamily85772 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala9272 жыл бұрын

    Kazuri kametembea km chache kuliko ile mi mazaa

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn75562 жыл бұрын

    Adele be intelligent not subsequent

  • @beatriceaoko3947
    @beatriceaoko39472 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln10 ай бұрын

    Kwani hata wakiwa wapenzi si wameridhiana kuna ubaya gan

  • @stevewesco6669
    @stevewesco66692 жыл бұрын

    😂😂😂niulize mm

  • @zainabakida3125
    @zainabakida31252 жыл бұрын

    😜

  • @hoseajeremia9181
    @hoseajeremia91812 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwambarock2562
    @mwambarock25622 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂ila baleo daaa

  • @bmk4482
    @bmk44822 жыл бұрын

    Hawa wote kelele tu.

  • @jafarrashid6536
    @jafarrashid65362 жыл бұрын

    kama wanakulana si waseme tu kila siku maneno ushuzi 😂😂

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana2352 жыл бұрын

    Mhh kumlisha bosi?

  • @reuben_phone_accessories1686
    @reuben_phone_accessories16862 жыл бұрын

    Hapa hamtoki🤣🤣

  • @sirallantoiske6250
    @sirallantoiske62502 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 chawa pro max no 🧢

  • @albelikane7005
    @albelikane70052 жыл бұрын

    Baba levo naee anaongea sana Aki ila ni ngpn

  • @rosemkumbwa3508
    @rosemkumbwa35082 жыл бұрын

    .

  • @lydiahmartinz925
    @lydiahmartinz9252 жыл бұрын

    Ameamua kukula his own stock. Si mbaya

  • @hadijahope8632
    @hadijahope86322 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 levolevo

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri73222 жыл бұрын

    Yan ndio mmeamua kuuwa Kiki ya harmonise na kajala🤣🤣🤣

  • @broka_genius3615
    @broka_genius36152 жыл бұрын

    Balev

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz50042 жыл бұрын

    B_Levo ba

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames79502 жыл бұрын

    Unaongea ukweli.

  • @franklinmganga736
    @franklinmganga7362 жыл бұрын

    Baba levo utauponza

  • @munirahmed7753
    @munirahmed77532 жыл бұрын

    Kaa jamaa mbea huyu duh

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii90892 жыл бұрын

    😂😂😂😂 *Chawa*

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh60822 жыл бұрын

    Baba levo wewe huna bibi au watoto mtu mzima kama wewe mbona ovyo sana mwana mume hatakikani kuwa hivyo hizo nitabia za kishoga

  • @anthonysindabaha7517

    @anthonysindabaha7517

    2 жыл бұрын

    Wabongo bhnaa mwenzako anaingiza pesa kutumia domo lake ww unabaki makasiriko daahh

  • @nanaleetz
    @nanaleetz2 жыл бұрын

    😹😹😹😹😹 dah

  • @halimaamani4095
    @halimaamani40952 жыл бұрын

    Studio mbovu mno, hongeeeni mamba ya maana

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Жыл бұрын

    Kila mtu anakufa kwa ugonjwa wake hakuna atakae kufa kwa ugonjwa wa mwenzake kwa hivyo huyu mondi ugonjwa. Wake ni kucheat wala hato pona huyo

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul32122 жыл бұрын

    Zuchu Aache kutuchezea na kiki zenu Shenzi nyinyi hakuna cha mausiano hapo ni Drama tupu! Yote nikuzima mausiano ya Hamonize hakuna mvuto.

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Жыл бұрын

    Kaji fanya ATI mondi ni boss Léo fyuuuuuuuu vile alivyomchukua ndio hivyo hivyo atakavyo toroka tuuu

  • @philimonmtwale2273
    @philimonmtwale22732 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

Келесі