BABA LEVO AFICHUA - "NIMEMKUTA ZUCHU NYUMBANI KWA DIAMOND, ANAMLISHA CHAKULA"
Ойын-сауық
BABA LEVO AFICHUA - "NIMEMKUTA ZUCHU NYUMBANI KWA DIAMOND, ANAMLISHA CHAKULA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 99
Baba levo wewe nakukubali👌👌👌👌
Why can't she be happy..... It's her time...if it's meant to be it would be ..all the best zuchu.
Babalevo anajua kitu🤣😅Sisi tunapenda wakiwa wameowana 🙌🥰
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 B-Levo mkali wa yote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazuchu kanatumika ipo siku akiondoka WCB atakujaga kusimuliwa.
Niulize Mimi😂😂😂Baba Levo alokuroga
Am tz baba Levo toa siri❤😅😅😅 pasua Nice job ZUCHU TUNAMPENDA NA SIMBA TUNAWAPENDA SAWA TU
Baba levooooo😃😃😃😃
Tanzani mtakufa kufatiliya maisha za watu
Baba levo anajua anachokisema sababu yuko karibu sana na diamond hawezi kukosakuona ishara za kimapenzi kati ya zuchu na diamond ila jamaa anajua kula na diamond
🔥🔥🔥🔥
B levo Ba anaemkubali like hapa jamaa hajui kuficha Kbsa 😂🤣🤣🤣🤣
Haya endelea umeniwuwa sana
Seeeemaaaa baba levooooooooooooo
Babalevo jamani 🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaaaa niulize mm😂😂😂
Yn bbaa levo cjui lipoje utasema yy ndo Lina fanyiwa kipindi
Simba Diamond Platnumz huyu mtoto Zuchu ni zaidi ya Beyonce. Wanawake aina ya Zuchu akizaa watoto wanakuwa na IQ kubwa sana maana Zuchu ni Msanii pekee wa kike anayeandika mashairi hivyo Ubongo wake ni material.Simba tulia na mtoto huyo ule maisha pia atakusaidia kuendeleza Kampuni ya Wasafi huko mbeleni Inshallah.
@omarswaleh6082
2 жыл бұрын
Mondi aweza kuowa huyu amejaliwa kuza watoto wa haramu ulisikia wapi mtu anae abudu mashetani
Nice
Baba levo we noma
Chawa 🔥🔥🔥😂😂😂
Diamond kula wote hao
B levo mastory gd sana
😀😀😀
ss ww chawa wivu umekujaa kwani ulikuwa wataka kuliswa ww kuweni wabunifuu kila siku boss wenu ama Hamo mwaboowesha sana
Uwo upuuzi haushitui tena kila ngoma muje na hili
Baba levo🤣🤣👌
Acheni Mambo ya kidada wanaume
Huyo Zuchu kama kweli anatoka na Mond fala tu hivi haoni warembo walikuwa nae saa hii wako ama nataka kuzaa tu na Diamond nje ya ndoa awe analea mtoto haramu upuuzi tu
@gracesilayo7670
2 жыл бұрын
Anajiamini ni mrembo zaidi ya waliopita nae 😂😂😂😂😂😂😂
@mwaiphamkuruto1087
2 жыл бұрын
@@gracesilayo7670 yeye na mobeto, na joketi , wema na zari the big boss haingii hata wakifunga macho
@mwaiphamkuruto1087
2 жыл бұрын
Mbona asiwe kama Nandy mashallah mrembo na ajihifadhi kuliko huyo muislamu Zuhura na sio eti hana mahusiano lakin ni mtulivu saana namkubali saana
@gracesilayo7670
2 жыл бұрын
@@mwaiphamkuruto1087 anaonyesha pajaaaa vimini ndo mitoko yake huenda aliambiwa ndo anapendeza
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Cku moja ataliaaa km paka huyoooo mondiii nomaaa
Sasa la ajabu ndio gani hapo huyo zuchu si kahamia kwa mondi Tangu zamani alikuwa akichezea kina wema sepetu n'a kina Aliya, Pia hata tanasha kawachezea mbona hakuthubuti ,kumchezea zari siku ile ya mpira alibaki tu kubinua midomo uwanjani kama kunguru aliyenyeshewa.
😄😄😄😄❤️♥️♥️♥️♥️🌸ZucH
weeee
😂😂😭Baba Levo
KunguniProMax😆😆👐
😃😃😃😀😀😀😀😃❤️❤️❤️❤️❤️😍😍
Adela na baba levo nawapenda sana,akili zao zinaendana
Kwani. Kumuekea. Chakulaa. Boss. Wakoo. Mdomoo. Kudety. Naee
Lol Mwanamme umbea sio kazi yaani imefikia mahali umbea umekuwa kazi yaani Mtu analipwa kutangaza umbea duh hatari. Yaani eti tumwambie Diamond akuoe Zuchu hao wengine Baba Levo watu ndio walisema aachane nao???
@karasuyazidi8547
2 жыл бұрын
We endelea kuamini tu huwezi kujua
B levo chawa
Baba levoooo hatar
Msidangane ukweli hiyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Adela miwanibkama kipof
😂😂😂😂😃
Chawa kma chawa...kiroboto yuko wapi jumah😂😂😂
Wasafi wanajua kutafuta pesa kweli wameacha bifu sasa ni mambo y’a mahusiano baadaye tutasikia mboso n’a wema sepetu
😄😄😄😄😄😄😄🥰😍🥰
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊
Yan uyu baba levu
Zuchu na diamond tuna subiri doa
😂😂😂
Kazuri kametembea km chache kuliko ile mi mazaa
Adele be intelligent not subsequent
🤣🤣🤣
Kwani hata wakiwa wapenzi si wameridhiana kuna ubaya gan
😂😂😂niulize mm
😜
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂ila baleo daaa
Hawa wote kelele tu.
kama wanakulana si waseme tu kila siku maneno ushuzi 😂😂
Mhh kumlisha bosi?
Hapa hamtoki🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂 chawa pro max no 🧢
Baba levo naee anaongea sana Aki ila ni ngpn
.
Ameamua kukula his own stock. Si mbaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 levolevo
Yan ndio mmeamua kuuwa Kiki ya harmonise na kajala🤣🤣🤣
Balev
B_Levo ba
Unaongea ukweli.
Baba levo utauponza
Kaa jamaa mbea huyu duh
😂😂😂😂 *Chawa*
Baba levo wewe huna bibi au watoto mtu mzima kama wewe mbona ovyo sana mwana mume hatakikani kuwa hivyo hizo nitabia za kishoga
@anthonysindabaha7517
2 жыл бұрын
Wabongo bhnaa mwenzako anaingiza pesa kutumia domo lake ww unabaki makasiriko daahh
😹😹😹😹😹 dah
Studio mbovu mno, hongeeeni mamba ya maana
Kila mtu anakufa kwa ugonjwa wake hakuna atakae kufa kwa ugonjwa wa mwenzake kwa hivyo huyu mondi ugonjwa. Wake ni kucheat wala hato pona huyo
Zuchu Aache kutuchezea na kiki zenu Shenzi nyinyi hakuna cha mausiano hapo ni Drama tupu! Yote nikuzima mausiano ya Hamonize hakuna mvuto.
Kaji fanya ATI mondi ni boss Léo fyuuuuuuuu vile alivyomchukua ndio hivyo hivyo atakavyo toroka tuuu
🤣🤣🤣