Follow B2k on Facebook: / b2kmnyaa Instagram: / b2kmnyaa KZread: / @b2kmnyama Asante kwa kutazama video zangu, Tafadhali subscribe.
Жүктеу.....
Пікірлер: 844
@B2KMnyama Жыл бұрын
mashabiki zang m nawapenda sanaa kiukwel kwanza naomba naomba niseme asanteni kwa kunibebaaa asilimia zote pili weng nkiwa naachia kaz zang pekeyang huwa mnadai collabo sio kwamba siwez kufanya ila changamoto yake ni kama hiii dogo lody alinivimbia kuja location tena sku tatu na week tofaut na ratiba anapanga yeye na badoo hakuja ila tu nasema asantee mung nmefanikisha kushut kwaiyo hata ambapo panamapungufu yeye ndio chanzo maana nmetumia magharama kulipia vtu na hakuja asanten
@nellyy8165
Жыл бұрын
Bg up kaka usimpe ata time yakuanza kumjadili kokote kule onesha ukubwa kwakuto zungumuzia chochote kuhusu kukataa kwake
@updatempyatz7506
Жыл бұрын
pambana Ivo Ivo bro 💪💪💯
@leaderchrisofficiel1876
Жыл бұрын
Hamna tatizo kk 🔥 🔥 🔥
@youngbnine1249
Жыл бұрын
Ndo mziki wa bongo kaka daaah pole sana 🔥🔥
@michaelmganga9180
Жыл бұрын
Daaah😭😭 pole mwamba wetu tupo nawewe MUNGU akuongoze
@Conshamusic Жыл бұрын
Hii ni Goma langu la kufungia Mwaka ambae Yupo Sawa namimi Humu Gonga like hapa🔥🔥🔥🔥🔥💥
@Conshamusic
Жыл бұрын
Mbn lody music hayupo tena kwnye video kheeeeeere.
@alimondbenson1751
Жыл бұрын
Mbona Lody hatumuoni kwa Vidéo teena
@Conshamusic
Жыл бұрын
@@alimondbenson1751 Apo mi mwenyew nikachoka ghafra kwmb hata mtoto mdg yule kashindwa kutoanae video aiseee
@B2KMnyama
Жыл бұрын
alinivimbia
@3malis
Жыл бұрын
@@B2KMnyama 😢😢😢😢pole brother
@branzwacchy Жыл бұрын
Hivi, Lody amekataa kutokea kwenye video ama? ......Hata wakudharau wewe jua kua wewe ni mkali na tutasupporti mziki wako💯💯
@B2KMnyama
Жыл бұрын
keep sapot
@ndonetz6342
Жыл бұрын
lod kazingua
@branzwacchy
Жыл бұрын
@@ndonetz6342 Yule dogo kaniuzi..... yaani goma kali ila akakataa kutokea kwenye shooti aisei
@mbunah255
Жыл бұрын
Usizungumzie dharau zingumzima malipo bro kuna kitu cha kujifunza hapo
@roddyfawaz8167
Жыл бұрын
Point
@mathewdeus9978Ай бұрын
2024 mwezi wa 6 umetisha sana B2K ndio mana jitu limeona litaaibika.
@homesaickofficial7407 Жыл бұрын
Yani uyo lord kamsanii kajana tuu kanakuvimbia kaka ingekua ni mimi nshazitupilua kule vi vesi vyake kisenge kwanza sura lake kama nungu nungu
@JosephSanga-ri5lq Жыл бұрын
Nakubali xana msanii wa makambsko👍👍
@nurulumwesa5805 Жыл бұрын
Kwanzaa boraa hayumoi piga Kaz b2k Kwanza nyimbo umeifanyia hakiii kaonaa kabomoka sanaa husonii kwahyo kaona dongee
@tatuidrisa8258 Жыл бұрын
Ucjl mwamba ndo changamoto za game ila umeua mwamba bigup
@hitmelody3238 Жыл бұрын
jamaa unajuwa sana mungu akusimamie@b2k
@HbdRadja3 күн бұрын
Very good May super Star
@masakaupdate1488 Жыл бұрын
Kaka B2K pole Sanaa Ila awa watu walioToloka mbuga za wanyama kuja mjini na kuanza kutisha watoto zetu tunawapa mda tyu game kitambo wewe usishindane Kaka kwetu Ni kusini nakukubali Sanaa Ila uyo mwenye sura Kama dubu 🦍 mwache avimbe tuonee anafika wapi
@palasuly26882 ай бұрын
Nasikia ndo changamoto za game ila kaza blod unaweza sanaaa🎉
@omedymyovela1181 Жыл бұрын
Shida anaaza kuvimba mapema xn nae kashaona amaeshakuwa diamond Ila sy vzr b2k pambana brother life yk ni yako tu hakuna wa kukwamisha
@abenizermusic6694 Жыл бұрын
Pigaaaa kelelelelelele 💪💪💪
@yallastv8752 Жыл бұрын
Nakubal sanaaa mzee king musc mwenyewe wa iringa
@tonylaizer3386 Жыл бұрын
Uzuri nikwamba ..msela ..unajuwa ..Sana ..Yani mpaka .raaa yani
@brayanchalamila Жыл бұрын
Pole Sana bro Mungu akutangulie Sana naamini utaifikisha tasinia ya music wa iringa makambako njombe nk tuko nyuma yako
@dicksonkambo1984 Жыл бұрын
Aya bhana dua ngoma Kali kideo uongo sema ubaya mnaangalia hela kuingia bila kuwekeza ufanye mtambo wa kideo kali wekeza kwa madirector wakali sio wa kuwapa hela za mtama wakasagie unga akn unyama upo moto
@hamurabani5386 Жыл бұрын
Jamaaaaaaa mkali kinoma anaomba vinavo sikika love San b2k
@jamesprincealiass Жыл бұрын
The Upcoming Superstars, hii ni kubwa zaidi #Kenya tumeipokea 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ClementJosephat-jc6wz Жыл бұрын
Hahaha,nakubali Sana kazi zako mwamba umetisha Sana mwamba
@MuhamedSharif-lw3zn8 ай бұрын
Anaeye ipenda nyimbo iyi alike hapa
@alexmasinde24714 күн бұрын
Nakubari sana 💪💪💪💪
@paulocharles5601 Жыл бұрын
Kazi bora, kubwa na yenye ufanisi mkubwa sana B2k unaweza. twende pamoja kum-support mwanetu kwa ku-like kama unamkubali ni mwanetu kabisa
@graceutulo852 Жыл бұрын
Bonge la Pini brow dah umetukamata sana
@Directorkizzy_tz Жыл бұрын
Tupee sababu inayoo kubalikaa
@johnndegwa67 Жыл бұрын
B2K kongole, Ngoma kubwa na Kali 😃😃
@makawan_Bway5478 Жыл бұрын
Lody anajiona keki saaana hivi kumbe mbona dharau saaana hizo daaah khaaa kweli ndio maana wasanii wadogo watabaki kuwa wadogo tuuu sema yanamwisho wake na mwisho wake pia huwa mbaya saaana kaboa kaboa kaboa kaboa kishenzi yaaani
@starbea7742
Жыл бұрын
NDIO MAISHAAA
@GibsonWillium2 ай бұрын
Kiukweli me nakukubali San uko fiti jiamini unaweza
@youngbnine1249 Жыл бұрын
Sasa imekuwaje tena kaka lody kavimba au
@starbea7742
Жыл бұрын
NDIOOO
@japhethjohansen7629 Жыл бұрын
Goma hii nimeikubali sana chapa kazi mwamba
@francisbaras664 Жыл бұрын
Nakukubali kwa asili mia bro 💯💯 ..
@shafiirajabu4986 Жыл бұрын
sijawahi kukukataa mwamba wangu b2k
@eddymhelela-yc8gr Жыл бұрын
Unatisha mwamba b2k nakubali Sana
@faimafrank5857 Жыл бұрын
Name nakupenda San nakukubali Sana b2k
@westchugagang5323 Жыл бұрын
Yaani lody katoka juzi leo kaanza kukunza kweli watanzania hatupendani
@FalhatKomba3 ай бұрын
Penda saaan Ngoma zako zote mie ❤❤❤❤
@crishazmwandambo50 Жыл бұрын
Daaaaa kaka mungu akuinue xana sana
@user-ic2zg6hk3w3 ай бұрын
Tunakupenda xn mashabiki zako😘😘😘😘
@bonifacerenatus322 Жыл бұрын
Nyimbo iko pouah sana iko dem moja hiyo ikiniona tu lazma ipige hii wimbo
@shimadosun Жыл бұрын
Yani kaka huyu wimbo unashinda kwa sikio langu daily alaf Umefanya langu penzi na wife linazidi noga #Mombasa tunakukubali sana mwana❤
@devisadamson529 Жыл бұрын
🎉 waache uko uko wanaoringa
@immaboy8153 Жыл бұрын
Mzee ngoma tumeikubali video kali sema imetuondoa kwenye mudi asilimia flan baada ya kipande cha lody music kutoonekana
@matekenya430
Жыл бұрын
Ngoma Kali Sana sijui kwa nn Lod hajaonekana kwny Music,Hata Kama angekuwa Yuko mbali Ni Bora angetuma clip ya kipande chake nae aonekane ingeleta uhalisia wa wimbo,Ila all in all Chupa kali
@B2KMnyama
Жыл бұрын
aligoma
@leaderchrisofficiel1876
Жыл бұрын
Hamnta tatizo
@dnjiwa9413 Жыл бұрын
hongera bro nachokupendea hjawah kata tamaa hata ufelishwe veep na hii ndo maana halisi ya ndoto
@aldinhomkayumba9921 Жыл бұрын
Ngoma kali kabisa...ongera b2k
@halimahleema5165 Жыл бұрын
Waooo god bless vipi vikawe
@nikitakumar6993 Жыл бұрын
Mawimbo zako maranyingi unitoa machozi sababu ziko na message sana... aki mungu akuongeze.. and keep going my dear😇😇🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏
@Steven_msomba Жыл бұрын
Jaman tazam kazi hii nzur
@starbea7742
Жыл бұрын
ASANTEEEEEE
@jumajaphal Жыл бұрын
Nimekubali kaka ngoma iñànig'usa
@BarakaMmari-pf4jw2 ай бұрын
Man ngoma imenyooka mbaya utafika unapotaka
@mpole_african_king Жыл бұрын
@b2kmnyama good jobu semanini lody kazingua
@vjsound4372 Жыл бұрын
Kaza home boy wanajiona wakubwa
@kingimmakelela662 Жыл бұрын
Congratulations brother for good song
@sharifumalisa5198 Жыл бұрын
We b2k tujibu mwenzio yupo wap
@edithajohn9600 Жыл бұрын
Ndio changamoto zenyewe kaka,so,uckate tamaa endelea kupambana utafika mbali,unapotaka kufika🙏🙏
@brianchanzu14989 ай бұрын
Wakenya mko wengine humu ndaniii...
@iangmuzik8 ай бұрын
Nakukubali Sana Kaka nafata nyayo
@Fidelis-st5yy2 ай бұрын
Iko wàaaah you ngoma
@PROFESSIONAL792 Жыл бұрын
Safi lody amezingua kwann hayupo
@juniorcosmas6699 Жыл бұрын
Kama ushawahi kutoa nyimbo basi hii sio wimbo. Ni songgggg bonge la kazi mzee hilo beat kifilimbi iko aaah
@limbomutupeke572 Жыл бұрын
Yaani bet imetulia sna kwakweli
@romyjunior5964 Жыл бұрын
Aisee Yan ni bora hajatokea Maana hata wew show umeiweza Nafikili angekuwepo angaharibu Big up B2k
@shedrackjoshua834 Жыл бұрын
Nimekuta hii nyimbo imekuwa ringtone
@nicelemoTripleFive Жыл бұрын
Director jina la wimbo umeasahau herufi moja umetupiga
@hawasteven1599 Жыл бұрын
Uko vzr sana my brother
@Clever5796 ай бұрын
Unaandik sanaaa broo🎉
@ramadhaniamanimasele1308 Жыл бұрын
Verse ya lody 🔥 sema kwenye kichupa hajatikea
@utvwould1972 Жыл бұрын
Kak b2k ata usiwaze kak ata wakuzarau wewe utafika tu kak nyimb pendwa kwang
@issakanumba5806 Жыл бұрын
Lady ,umetukwaza Sana tena san
@Roundersgang_official Жыл бұрын
Ngoma hii ni kali🇰🇪💯
@polryoba Жыл бұрын
We ni mkali sana B2K
@rukabobugalama2722 Жыл бұрын
Lody never disappoint
@muhibusaid3427 Жыл бұрын
Mkali wangu rody music
@whitevintv9284 Жыл бұрын
Swala la kutoonekana lody hum cjapendaa
@2pacshakuelr3 ай бұрын
tixhaaaa sanaaa B2k
@dechamatatala3101 Жыл бұрын
Hata kama hajatokea ngoma imekaa poa ❤️❤️umeitendea kazi,,usikte tamaa hizo ndio changamoto walikukataa leo kesho watakukubali, na bila wao kukupa changamoto utajiona umemaliza , pambana sana bro
@gphine9302 Жыл бұрын
Kali sanaaa 🔥🔥🔥👊💪💪💪💪
@hilarykingunge1230 Жыл бұрын
Lody music kalala mbele au sio
@chidyprince1357 Жыл бұрын
Lody music kazingua kinoma😌
@allychikoko11 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥unyama mwingi🌹
@jumannekijombi3967 Жыл бұрын
Nakubali mzee wangu
@maikomnyanga6406 Жыл бұрын
Mwamba huyu hapa unajua tena sana
@mariandamu7379 Жыл бұрын
Piga kazi dogo nakukubali sana.
@barutithedoni9538 Жыл бұрын
B2k we mkali kuliko ata lody mwenyew mbn nakubali sana ile kaz yako inaitwa wala sikuping damu yang niite baruti the doni kigoma log
@evetecramagateway-gf9up Жыл бұрын
Much love from samburu Kenya
@habibahusein3883 Жыл бұрын
Ngoma ni 🔥🔥👌
@StimaOfficial Жыл бұрын
Bro unajua Sana Usimwaze Lody Ustaa na pesa huisha mkuu
@hamicylikawaga3 ай бұрын
Nakukubali sana mwana
@pedemavoice Жыл бұрын
Kwanin lody aypo umu video imekuwa mbaya sana afu muwe mnashilikiana na watu ambao wanajuwa kutenga md
@bravonize2094 Жыл бұрын
Akuna kazi apooo coz unatumia asilia snaaa
@Issa414 Жыл бұрын
Tunaisubir hii kaka hakika tunaenda kuweka historia kubwa katika industry yetu ya mziki
@starbea7742
Жыл бұрын
TAYAR
@NeemaRichard-ct3xw Жыл бұрын
Amini we fire bro
@GamiTVOnline Жыл бұрын
Mr Udevu Tisha Sana
@silvernayzer4107 Жыл бұрын
Na ngoma imeingia trending huyu MUNGU HUYU 🙌🙌🙏 @B2k mnyama
@mericklusinde1739 Жыл бұрын
Loddy music kazingua kinoma
@oliverngimba-gp5iq Жыл бұрын
Unyama saana b2k
@annanalompa-mr3bn Жыл бұрын
Unajua sana kaka kuimba ndio maana siachagi kukoment na kusubuscribe
Пікірлер: 844
mashabiki zang m nawapenda sanaa kiukwel kwanza naomba naomba niseme asanteni kwa kunibebaaa asilimia zote pili weng nkiwa naachia kaz zang pekeyang huwa mnadai collabo sio kwamba siwez kufanya ila changamoto yake ni kama hiii dogo lody alinivimbia kuja location tena sku tatu na week tofaut na ratiba anapanga yeye na badoo hakuja ila tu nasema asantee mung nmefanikisha kushut kwaiyo hata ambapo panamapungufu yeye ndio chanzo maana nmetumia magharama kulipia vtu na hakuja asanten
@nellyy8165
Жыл бұрын
Bg up kaka usimpe ata time yakuanza kumjadili kokote kule onesha ukubwa kwakuto zungumuzia chochote kuhusu kukataa kwake
@updatempyatz7506
Жыл бұрын
pambana Ivo Ivo bro 💪💪💯
@leaderchrisofficiel1876
Жыл бұрын
Hamna tatizo kk 🔥 🔥 🔥
@youngbnine1249
Жыл бұрын
Ndo mziki wa bongo kaka daaah pole sana 🔥🔥
@michaelmganga9180
Жыл бұрын
Daaah😭😭 pole mwamba wetu tupo nawewe MUNGU akuongoze
Hii ni Goma langu la kufungia Mwaka ambae Yupo Sawa namimi Humu Gonga like hapa🔥🔥🔥🔥🔥💥
@Conshamusic
Жыл бұрын
Mbn lody music hayupo tena kwnye video kheeeeeere.
@alimondbenson1751
Жыл бұрын
Mbona Lody hatumuoni kwa Vidéo teena
@Conshamusic
Жыл бұрын
@@alimondbenson1751 Apo mi mwenyew nikachoka ghafra kwmb hata mtoto mdg yule kashindwa kutoanae video aiseee
@B2KMnyama
Жыл бұрын
alinivimbia
@3malis
Жыл бұрын
@@B2KMnyama 😢😢😢😢pole brother
Hivi, Lody amekataa kutokea kwenye video ama? ......Hata wakudharau wewe jua kua wewe ni mkali na tutasupporti mziki wako💯💯
@B2KMnyama
Жыл бұрын
keep sapot
@ndonetz6342
Жыл бұрын
lod kazingua
@branzwacchy
Жыл бұрын
@@ndonetz6342 Yule dogo kaniuzi..... yaani goma kali ila akakataa kutokea kwenye shooti aisei
@mbunah255
Жыл бұрын
Usizungumzie dharau zingumzima malipo bro kuna kitu cha kujifunza hapo
@roddyfawaz8167
Жыл бұрын
Point
2024 mwezi wa 6 umetisha sana B2K ndio mana jitu limeona litaaibika.
Yani uyo lord kamsanii kajana tuu kanakuvimbia kaka ingekua ni mimi nshazitupilua kule vi vesi vyake kisenge kwanza sura lake kama nungu nungu
Nakubali xana msanii wa makambsko👍👍
Kwanzaa boraa hayumoi piga Kaz b2k Kwanza nyimbo umeifanyia hakiii kaonaa kabomoka sanaa husonii kwahyo kaona dongee
Ucjl mwamba ndo changamoto za game ila umeua mwamba bigup
jamaa unajuwa sana mungu akusimamie@b2k
Very good May super Star
Kaka B2K pole Sanaa Ila awa watu walioToloka mbuga za wanyama kuja mjini na kuanza kutisha watoto zetu tunawapa mda tyu game kitambo wewe usishindane Kaka kwetu Ni kusini nakukubali Sanaa Ila uyo mwenye sura Kama dubu 🦍 mwache avimbe tuonee anafika wapi
Nasikia ndo changamoto za game ila kaza blod unaweza sanaaa🎉
Shida anaaza kuvimba mapema xn nae kashaona amaeshakuwa diamond Ila sy vzr b2k pambana brother life yk ni yako tu hakuna wa kukwamisha
Pigaaaa kelelelelelele 💪💪💪
Nakubal sanaaa mzee king musc mwenyewe wa iringa
Uzuri nikwamba ..msela ..unajuwa ..Sana ..Yani mpaka .raaa yani
Pole Sana bro Mungu akutangulie Sana naamini utaifikisha tasinia ya music wa iringa makambako njombe nk tuko nyuma yako
Aya bhana dua ngoma Kali kideo uongo sema ubaya mnaangalia hela kuingia bila kuwekeza ufanye mtambo wa kideo kali wekeza kwa madirector wakali sio wa kuwapa hela za mtama wakasagie unga akn unyama upo moto
Jamaaaaaaa mkali kinoma anaomba vinavo sikika love San b2k
The Upcoming Superstars, hii ni kubwa zaidi #Kenya tumeipokea 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hahaha,nakubali Sana kazi zako mwamba umetisha Sana mwamba
Anaeye ipenda nyimbo iyi alike hapa
Nakubari sana 💪💪💪💪
Kazi bora, kubwa na yenye ufanisi mkubwa sana B2k unaweza. twende pamoja kum-support mwanetu kwa ku-like kama unamkubali ni mwanetu kabisa
Bonge la Pini brow dah umetukamata sana
Tupee sababu inayoo kubalikaa
B2K kongole, Ngoma kubwa na Kali 😃😃
Lody anajiona keki saaana hivi kumbe mbona dharau saaana hizo daaah khaaa kweli ndio maana wasanii wadogo watabaki kuwa wadogo tuuu sema yanamwisho wake na mwisho wake pia huwa mbaya saaana kaboa kaboa kaboa kaboa kishenzi yaaani
@starbea7742
Жыл бұрын
NDIO MAISHAAA
Kiukweli me nakukubali San uko fiti jiamini unaweza
Sasa imekuwaje tena kaka lody kavimba au
@starbea7742
Жыл бұрын
NDIOOO
Goma hii nimeikubali sana chapa kazi mwamba
Nakukubali kwa asili mia bro 💯💯 ..
sijawahi kukukataa mwamba wangu b2k
Unatisha mwamba b2k nakubali Sana
Name nakupenda San nakukubali Sana b2k
Yaani lody katoka juzi leo kaanza kukunza kweli watanzania hatupendani
Penda saaan Ngoma zako zote mie ❤❤❤❤
Daaaaa kaka mungu akuinue xana sana
Tunakupenda xn mashabiki zako😘😘😘😘
Nyimbo iko pouah sana iko dem moja hiyo ikiniona tu lazma ipige hii wimbo
Yani kaka huyu wimbo unashinda kwa sikio langu daily alaf Umefanya langu penzi na wife linazidi noga #Mombasa tunakukubali sana mwana❤
🎉 waache uko uko wanaoringa
Mzee ngoma tumeikubali video kali sema imetuondoa kwenye mudi asilimia flan baada ya kipande cha lody music kutoonekana
@matekenya430
Жыл бұрын
Ngoma Kali Sana sijui kwa nn Lod hajaonekana kwny Music,Hata Kama angekuwa Yuko mbali Ni Bora angetuma clip ya kipande chake nae aonekane ingeleta uhalisia wa wimbo,Ila all in all Chupa kali
@B2KMnyama
Жыл бұрын
aligoma
@leaderchrisofficiel1876
Жыл бұрын
Hamnta tatizo
hongera bro nachokupendea hjawah kata tamaa hata ufelishwe veep na hii ndo maana halisi ya ndoto
Ngoma kali kabisa...ongera b2k
Waooo god bless vipi vikawe
Mawimbo zako maranyingi unitoa machozi sababu ziko na message sana... aki mungu akuongeze.. and keep going my dear😇😇🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏
Jaman tazam kazi hii nzur
@starbea7742
Жыл бұрын
ASANTEEEEEE
Nimekubali kaka ngoma iñànig'usa
Man ngoma imenyooka mbaya utafika unapotaka
@b2kmnyama good jobu semanini lody kazingua
Kaza home boy wanajiona wakubwa
Congratulations brother for good song
We b2k tujibu mwenzio yupo wap
Ndio changamoto zenyewe kaka,so,uckate tamaa endelea kupambana utafika mbali,unapotaka kufika🙏🙏
Wakenya mko wengine humu ndaniii...
Nakukubali Sana Kaka nafata nyayo
Iko wàaaah you ngoma
Safi lody amezingua kwann hayupo
Kama ushawahi kutoa nyimbo basi hii sio wimbo. Ni songgggg bonge la kazi mzee hilo beat kifilimbi iko aaah
Yaani bet imetulia sna kwakweli
Aisee Yan ni bora hajatokea Maana hata wew show umeiweza Nafikili angekuwepo angaharibu Big up B2k
Nimekuta hii nyimbo imekuwa ringtone
Director jina la wimbo umeasahau herufi moja umetupiga
Uko vzr sana my brother
Unaandik sanaaa broo🎉
Verse ya lody 🔥 sema kwenye kichupa hajatikea
Kak b2k ata usiwaze kak ata wakuzarau wewe utafika tu kak nyimb pendwa kwang
Lady ,umetukwaza Sana tena san
Ngoma hii ni kali🇰🇪💯
We ni mkali sana B2K
Lody never disappoint
Mkali wangu rody music
Swala la kutoonekana lody hum cjapendaa
tixhaaaa sanaaa B2k
Hata kama hajatokea ngoma imekaa poa ❤️❤️umeitendea kazi,,usikte tamaa hizo ndio changamoto walikukataa leo kesho watakukubali, na bila wao kukupa changamoto utajiona umemaliza , pambana sana bro
Kali sanaaa 🔥🔥🔥👊💪💪💪💪
Lody music kalala mbele au sio
Lody music kazingua kinoma😌
🔥🔥🔥🔥unyama mwingi🌹
Nakubali mzee wangu
Mwamba huyu hapa unajua tena sana
Piga kazi dogo nakukubali sana.
B2k we mkali kuliko ata lody mwenyew mbn nakubali sana ile kaz yako inaitwa wala sikuping damu yang niite baruti the doni kigoma log
Much love from samburu Kenya
Ngoma ni 🔥🔥👌
Bro unajua Sana Usimwaze Lody Ustaa na pesa huisha mkuu
Nakukubali sana mwana
Kwanin lody aypo umu video imekuwa mbaya sana afu muwe mnashilikiana na watu ambao wanajuwa kutenga md
Akuna kazi apooo coz unatumia asilia snaaa
Tunaisubir hii kaka hakika tunaenda kuweka historia kubwa katika industry yetu ya mziki
@starbea7742
Жыл бұрын
TAYAR
Amini we fire bro
Mr Udevu Tisha Sana
Na ngoma imeingia trending huyu MUNGU HUYU 🙌🙌🙏 @B2k mnyama
Loddy music kazingua kinoma
Unyama saana b2k
Unajua sana kaka kuimba ndio maana siachagi kukoment na kusubuscribe
Hili goma Kali kinoma
sanaa mkalii wetuuuuuu
Big up dogo unajituma sana