Azam TV - PROF. HAMO alivyovunja mbavu za watanzania katika mkesha wa mwaka mpya Mlimani City
Спорт
Wasakatonge New Year’s Eve Comedy Gala ni tamasha kubwa la kimataifa la Comedy lililofanyika katika katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam usiku wa mwaka mpya (31/12/2017).
Baadhi ya wasanii waliotikisa jukwaa hilo ni pamoja na Dogo Pepe, MC Pilipili, Kokoro kutoka Mombasa, Prof. Hamo kutoka Nairobi, Basket Mouth kutoka Nigeria pamoja na wasanii saba chipukizi waliopatikana kupitia usaili uliofanywa na Azam TV
Пікірлер: 131
Hamo! Profesa hamo! Hamo profesa hamo! Nakuelewa sana professor.. I really appreciate you..
Professor Hamo you are so talented one, tatizo ni lugha tu kwa audience ya bongo otherwise ungekuwa kwa Churchill Show watu wangevunjika mbavu
hamoo (PROFESSOR HAMO)mi huwa cmaliozagi ck2 bila kuangalia clip zake uyu jamaa namuelewa sana
Best Comedian in EA
The Best Comedian in East Africa
Nzuri Sana Prof. Hamo, karibu Tena.. Audience tofauti, changamoto mpya
Huyu jamaa namkubali sana......... One of the best stand-up comedians so far East Africa now. Ukiweka na Pastor Kuria hapo, umemaliza
Pamoja kamanda umefanya siku iwe nzuri kwangu,
Hamo you are a great comedian. ..big up bro
pro amo ni zaid ya talent
uko deep prof had hawakuelewi
you glamoured the show
prof Hamo anaongoza est africa
in your book kulikua na george carlin
Penda sna prof hamo
Aibu wooooiii!!! Tz tumezubaa tunashangaashangaa mno
Better here than in radio
I like you Prof aisee be Blessed and keep it up
@fredchaki9591
4 жыл бұрын
I understand that man now very talented Kenyan
Prof harmo nomaaa
HAHAHAHAAHAHAH professa harmo you killed it kama kawaida yako...watz wenzangu kama hujawahi panda ndege hiyo joke ya ndege huwezi shikana nayo..sikiza nyingine
Prof hammo apriciatte u
nc hamo nakuelewe waga xn
Nakukubali sana Prof. Hamo
work on your sound pliz
Hii show hamo usingekuwepo ingekua nisingekesha nafuatilia maana wabongo kuchekesha bado aisee
nice one
Love for +254 please,ndio maana tunasema Kenya ni kama New York WA Tz hamtatuelewa sahi.
@jahkeyrenson4400
6 жыл бұрын
Hahaha haki wabongo professa amejaribu kiswaili yake yote😂😂😂
@sospeter2919
6 жыл бұрын
Jackie Renson True
@onlinemateustv1925
6 жыл бұрын
New York Kenya kwa macho yako lakini
@movierecapsswahili1042
6 жыл бұрын
SNA-TV Kenya .... kwenda na ujinga wako.... kama ni Newyork vp kuappriciate most of our things...u always struggle kuwa kama cc halafu nyie watu .. hamnaga lolote.... kwendraaaaaa
@movierecapsswahili1042
6 жыл бұрын
SNA-TV Kenya ... Though tunatambua hawa wametuaibisha
The guy z funny
Kenyan has the best
😂😂 duh ilikua noma sana
Wakenya bana vilaza mpk coment znaonesha
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
sure
Nashangaa wakenya waliokomenti hapa wanasema watz hawaelew kingereza wakat Prof, Hamo hapo kaongea Kiswahili mwanzo mwisho hv wakenya mna shida na watz ??
@abdisalim971
5 жыл бұрын
Tutachoma watz
Sound was mafuriko but the jokes was spectacular
Prof. Harmo ni mkali zaidi ya hapo, Watz bado tupo nyuma sana aisee. English tatizo, hata understanding tu ya mambo ipo chini sana. Audience wanaonekana kabisa hawacatch sawasawa kile Prof anaongea!!!!
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
tokea mwanzo kaongea kiingereza wewe? au unataka usifiwe nawe umetoa comment
@brightonsamuel3577
5 жыл бұрын
@@hezronaroko6076 kiswahili cha kenya km hujawahi kukutana nayo si rahisi kuelewa....ndo kinachoshusha vybe apo
@alfredlimu308
5 жыл бұрын
Upo chini ww kwa mawazo mabovu
kabsa Hamo nomaaaaaa,ila watanzania wamepooza kinoma
Haha, wallahi tough crowd!
Kama kingereza cha kenya kinawashinda wa Tz ni aibu sana...prof Harmo ni zaid ya mchekeshaji
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
hey buda, remember its not our lg, we were raised in kiswazi unlike u.
@mussahussein3583
6 жыл бұрын
Then ivi nyinyi wakenya kweli mbele ya wazungumzaji wa kingereza na nyinyi mnaweza mkajitokeza? nibora tu mkanyamaza ili msitirike. yaani mimi hata sku moja siwezi kumfanya eti mkenya ndo awe Role model wangu kwenye katika Kingereza
@allankashoro2077
5 жыл бұрын
We are passive aggressive people who don't understand humor.
@iganzeharera4804
4 жыл бұрын
@@mussahussein3583 ach kuwa hivyo wakenya wanajaribu actually they are mong the best in Africa pengine uko na chuki nawo
Azam improve story na sauti
Tatizo sio kiingereza Tz jamaa mbona wa2 wamecheka ama mlitaka hadi wanye...na mbona Yule kutoka Nigeria ngel mwanzo mwisho wa2 wameenda nae sawa...achen hizo
hahahahaha hio ngwang ngwang 😄😄😄😄😄
Prof Hamo
Haha kwa nini huyo dem amesongeza kitambaa juu
manina sound ya kisenge
Hamo mtoto wetu huyu ameweza sana. I say wengi naona hakuwa wanaelewa jokes zingine . lakini alijaribu sana kutochanganya lugha asije akapoteza wasee sana.
mm ni mpenzi sana wa Churchill. .wenzetu wapo mbali sana.kule pia jamaa shule ipo
Nyinyi mnaolalamika sauti, badilisheni Tecno Y3 zenu izo😂
Airplane story borrowed from george carlin
Comedy ni ngumu kwa mchekeshaji na mchekeshwaji! Ndio maana Jogoo wa shamba hawiki mjini, sio kwa ubaya!
Huyu baba mcheshi sana!
watanzania hamuelewi maneno
@samir7343
5 жыл бұрын
Kabisa😂😂
Bongo jibangeni sana kama ndio hivi tutasubiri sana hata sauti haisikiki jamani ni aibu.
@crosswonders
6 жыл бұрын
aisee hii aibu azam hapa wamezingua sana
@namelessunknown1377
6 жыл бұрын
King /Suka vyombo local sana
@sidekideo2567
6 жыл бұрын
King /Suka nikiboko sana 👏👏
Sautii
Haha hamo
Hahaha eti kama huna takwimu
😂😂😂😂
watazamaji wanachangamka ila hawasikiki kwa sababu ya mitambo lakini prof anaeleweka tu na yupo vizuri
@rwamborwambo1019
6 жыл бұрын
Saad Farahani Hamo yupo vzr Ila ningependa angekuja MCA TRICKY
Huyoo jamaa ni nooma sanaaaaa sema wa tz bado cna ili umuelewe lazma uwe makin nae sanaa tena utumie akili nyingi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍🤣
Aaaaaaih wa tz wako chini mpaka mitambo yao iko chini tena kiingereza n shida aaaaah beta angekua apa kenya
@mapemngumi2820
6 жыл бұрын
Frank Gichia kingereza lugha yako
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
acha ufala, kwani was he talking in English? don't undermine us.
@lilianleonard8106
5 жыл бұрын
Wakenya wana shida sana
aaah so disappointed in you kenyans who tald u knwing english language means ur very educated ??english is just a language like other language u knw after all learn to value ur own things we r Tanzanian we value our language so much and to us swahili is the best of all languages
@johnmaza8721
5 жыл бұрын
Hicho kiswahili hakisaidii kabisa
@momboi2
3 жыл бұрын
Kiingereza muhimu pia
utaona watu hapo hawamwelewi jamaa ila jamaa show zao nyingi ni hatari..hata walioandaa show hawajabalance....Churchill show ni most creative market kwa comedian..ni house of talent ya comedins..wameona muziki hawawezi ila comedian wamekamatia..check mtu kama prof harm.zedii,njoro, na wwngine wengi
nihatar
tatizo apa ilikua lugha...ila prof..you killed it...!!!
@abuuiddi9110
5 жыл бұрын
Mercy Zephania nicheki pliz +97477053859
hapa watz walienda kutoa mimacho tu
@mussahussein3583
6 жыл бұрын
Emmanuel John. Kumbe ulitaka tuende kufanya nini pale wee mjinga? kweli wee unaonekana mshamba ulopitiliza.
hamo hao watz hawaelewi kaa rada hawajaelewa
Omg My Tanzanian brothers and sisters you need to pull up honestly,you guys just look soo slow and lost with your understanding capacity plus language barrier oops shida,!!!!
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
nyie watu shida sana, hv hapo ako anaongea kiingereza? au unataka kiki tu
@mussahussein3583
6 жыл бұрын
Then nyinyi wakenya mnaonekana hamna lugha yeyote, kwasababu kiengereza hamjui na kiswahili kinawashinda pia.
@alleytz1059
4 жыл бұрын
We unashida kwenye ndoa yako
Language barrrier. That audience missed a lot of the humor. The guy is witty.
This people don’t understand jokes wah
English is aproblem in tanzania
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
ameteta kiingereza????
@abuuiddi9110
6 жыл бұрын
Zenah Kagai +97477053859 pliz nicheki whatsap
@joramnjihia2928
5 жыл бұрын
This man is very funny
@timezonlinemedia2665
4 жыл бұрын
Yes it is, kama vle pussy ako inavonuka ilvyo problem in your house😂😂😂😂😂
Tz tuko na problems ya vifaa au LA sivyo waratibu wako na shida.
Language barrier.....
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
he talked in English or Kiswazi. au unafaindi tu kiki. acheni ubwege wenu
English tangu lini ikachekesha. Ndio mana Mr.Been anausugua tu bora mara mia. Lete kiswaz tukanyage kama fataki mazee.
people are hanging THERE...too bad for them LOL!
Watanzania jamani gai that kasimple english n blunder huh
Boring audience 👎
Watanzania bana!!!!!!.. Hamoo.....hao watu hawaelewi na kingereza.... Boring
Tatizo watanzania ni vilanza hawaelewi kingereza so mm naona prof:Hamoo analost tu time yake huko
@heriaminiel7153
6 жыл бұрын
Charlow noma sana Mathew acha unanga ww kwan kngereza ni hela
@Alex-ls4hh
6 жыл бұрын
hamo ukienda pale Dar tena.. kiswahili kitukuzwe. You have to meet your audience halfway
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
we know more than u think
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
from the begining ameongea kiingereza acha ufala
@onlinemateustv1925
6 жыл бұрын
Charlow noma sana Mathew mmmmh wa Kenya bwana toka mshindwe kuwa na akili mpaka leo hamtaki kuwa nazo mbona mnaongea upuuuzi
boring audience Hamo is tough
Wa TZ ni wagumu kuchekeshwa sana.. Kai 🤔🤔
Hawa mafala hakuna kitu wanaelewa
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
bwege ww
@megmimi3410
6 жыл бұрын
Whatever that means
@hezronaroko6076
6 жыл бұрын
let it be as the way u think, was he talking in English? kwani.
@saidmanjuti7441
5 жыл бұрын
nan fala mbwa ww
Watanzania sio wajinga atuwezi kuchekacha ovyo Kama wakenya
@vincentcherutich291
4 жыл бұрын
Si koza lako tunawaelewa