Azam TV - PROF. HAMO alivyovunja mbavu za watanzania katika mkesha wa mwaka mpya Mlimani City

Спорт

Wasakatonge New Year’s Eve Comedy Gala ni tamasha kubwa la kimataifa la Comedy lililofanyika katika katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam usiku wa mwaka mpya (31/12/2017).
Baadhi ya wasanii waliotikisa jukwaa hilo ni pamoja na Dogo Pepe, MC Pilipili, Kokoro kutoka Mombasa, Prof. Hamo kutoka Nairobi, Basket Mouth kutoka Nigeria pamoja na wasanii saba chipukizi waliopatikana kupitia usaili uliofanywa na Azam TV

Пікірлер: 131

  • @mcmnyalu3123
    @mcmnyalu31236 жыл бұрын

    Hamo! Profesa hamo! Hamo profesa hamo! Nakuelewa sana professor.. I really appreciate you..

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36186 жыл бұрын

    Professor Hamo you are so talented one, tatizo ni lugha tu kwa audience ya bongo otherwise ungekuwa kwa Churchill Show watu wangevunjika mbavu

  • @ahmedmsangi1653
    @ahmedmsangi16536 жыл бұрын

    hamoo (PROFESSOR HAMO)mi huwa cmaliozagi ck2 bila kuangalia clip zake uyu jamaa namuelewa sana

  • @7thestate777
    @7thestate7776 жыл бұрын

    Best Comedian in EA

  • @asueddy1465
    @asueddy14656 жыл бұрын

    The Best Comedian in East Africa

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam36485 жыл бұрын

    Nzuri Sana Prof. Hamo, karibu Tena.. Audience tofauti, changamoto mpya

  • @josephgwandu7085
    @josephgwandu70856 жыл бұрын

    Huyu jamaa namkubali sana......... One of the best stand-up comedians so far East Africa now. Ukiweka na Pastor Kuria hapo, umemaliza

  • @daudishabani9023
    @daudishabani90236 жыл бұрын

    Pamoja kamanda umefanya siku iwe nzuri kwangu,

  • @achienglilian6395
    @achienglilian63956 жыл бұрын

    Hamo you are a great comedian. ..big up bro

  • @auleliamhagama6565
    @auleliamhagama65656 жыл бұрын

    pro amo ni zaid ya talent

  • @samsonkusupa8115
    @samsonkusupa81156 жыл бұрын

    uko deep prof had hawakuelewi

  • @erickossen6378
    @erickossen63786 жыл бұрын

    you glamoured the show

  • @piusmapondo857
    @piusmapondo8576 жыл бұрын

    prof Hamo anaongoza est africa

  • @allanshiflle5911
    @allanshiflle59116 жыл бұрын

    in your book kulikua na george carlin

  • @neziali6992
    @neziali69926 жыл бұрын

    Penda sna prof hamo

  • @rodasengo7771
    @rodasengo77715 жыл бұрын

    Aibu wooooiii!!! Tz tumezubaa tunashangaashangaa mno

  • @sallysarch9441
    @sallysarch94415 жыл бұрын

    Better here than in radio

  • @isacklwechungura6067
    @isacklwechungura60676 жыл бұрын

    I like you Prof aisee be Blessed and keep it up

  • @fredchaki9591

    @fredchaki9591

    4 жыл бұрын

    I understand that man now very talented Kenyan

  • @shabibujabiri9905
    @shabibujabiri99056 жыл бұрын

    Prof harmo nomaaa

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula17916 жыл бұрын

    HAHAHAHAAHAHAH professa harmo you killed it kama kawaida yako...watz wenzangu kama hujawahi panda ndege hiyo joke ya ndege huwezi shikana nayo..sikiza nyingine

  • @rosesalukan4207
    @rosesalukan42076 жыл бұрын

    Prof hammo apriciatte u

  • @barakaelijosephat6655
    @barakaelijosephat66556 жыл бұрын

    nc hamo nakuelewe waga xn

  • @johnmhina4822
    @johnmhina48226 жыл бұрын

    Nakukubali sana Prof. Hamo

  • @kellybaraka7644
    @kellybaraka76446 жыл бұрын

    work on your sound pliz

  • @agerpityswai1555
    @agerpityswai15556 жыл бұрын

    Hii show hamo usingekuwepo ingekua nisingekesha nafuatilia maana wabongo kuchekesha bado aisee

  • @makoriithomas
    @makoriithomas6 жыл бұрын

    nice one

  • @sospeter2919
    @sospeter29196 жыл бұрын

    Love for +254 please,ndio maana tunasema Kenya ni kama New York WA Tz hamtatuelewa sahi.

  • @jahkeyrenson4400

    @jahkeyrenson4400

    6 жыл бұрын

    Hahaha haki wabongo professa amejaribu kiswaili yake yote😂😂😂

  • @sospeter2919

    @sospeter2919

    6 жыл бұрын

    Jackie Renson True

  • @onlinemateustv1925

    @onlinemateustv1925

    6 жыл бұрын

    New York Kenya kwa macho yako lakini

  • @movierecapsswahili1042

    @movierecapsswahili1042

    6 жыл бұрын

    SNA-TV Kenya .... kwenda na ujinga wako.... kama ni Newyork vp kuappriciate most of our things...u always struggle kuwa kama cc halafu nyie watu .. hamnaga lolote.... kwendraaaaaa

  • @movierecapsswahili1042

    @movierecapsswahili1042

    6 жыл бұрын

    SNA-TV Kenya ... Though tunatambua hawa wametuaibisha

  • @raymullah
    @raymullah6 жыл бұрын

    The guy z funny

  • @sidekideo2567
    @sidekideo25676 жыл бұрын

    Kenyan has the best

  • @sultanafashion1190
    @sultanafashion11906 жыл бұрын

    😂😂 duh ilikua noma sana

  • @heriaminiel7153
    @heriaminiel71536 жыл бұрын

    Wakenya bana vilaza mpk coment znaonesha

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    sure

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema045 жыл бұрын

    Nashangaa wakenya waliokomenti hapa wanasema watz hawaelew kingereza wakat Prof, Hamo hapo kaongea Kiswahili mwanzo mwisho hv wakenya mna shida na watz ??

  • @abdisalim971

    @abdisalim971

    5 жыл бұрын

    Tutachoma watz

  • @abdulrazack.a.shemmelarshe228
    @abdulrazack.a.shemmelarshe2285 жыл бұрын

    Sound was mafuriko but the jokes was spectacular

  • @ericstephenm.844
    @ericstephenm.8446 жыл бұрын

    Prof. Harmo ni mkali zaidi ya hapo, Watz bado tupo nyuma sana aisee. English tatizo, hata understanding tu ya mambo ipo chini sana. Audience wanaonekana kabisa hawacatch sawasawa kile Prof anaongea!!!!

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    tokea mwanzo kaongea kiingereza wewe? au unataka usifiwe nawe umetoa comment

  • @brightonsamuel3577

    @brightonsamuel3577

    5 жыл бұрын

    @@hezronaroko6076 kiswahili cha kenya km hujawahi kukutana nayo si rahisi kuelewa....ndo kinachoshusha vybe apo

  • @alfredlimu308

    @alfredlimu308

    5 жыл бұрын

    Upo chini ww kwa mawazo mabovu

  • @mngongotv3810
    @mngongotv38106 жыл бұрын

    kabsa Hamo nomaaaaaa,ila watanzania wamepooza kinoma

  • @Suswaleh
    @Suswaleh5 жыл бұрын

    Haha, wallahi tough crowd!

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu88126 жыл бұрын

    Kama kingereza cha kenya kinawashinda wa Tz ni aibu sana...prof Harmo ni zaid ya mchekeshaji

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    hey buda, remember its not our lg, we were raised in kiswazi unlike u.

  • @mussahussein3583

    @mussahussein3583

    6 жыл бұрын

    Then ivi nyinyi wakenya kweli mbele ya wazungumzaji wa kingereza na nyinyi mnaweza mkajitokeza? nibora tu mkanyamaza ili msitirike. yaani mimi hata sku moja siwezi kumfanya eti mkenya ndo awe Role model wangu kwenye katika Kingereza

  • @allankashoro2077

    @allankashoro2077

    5 жыл бұрын

    We are passive aggressive people who don't understand humor.

  • @iganzeharera4804

    @iganzeharera4804

    4 жыл бұрын

    @@mussahussein3583 ach kuwa hivyo wakenya wanajaribu actually they are mong the best in Africa pengine uko na chuki nawo

  • @jemutaijoy5700
    @jemutaijoy57006 жыл бұрын

    Azam improve story na sauti

  • @fainnamvungi4364
    @fainnamvungi43645 жыл бұрын

    Tatizo sio kiingereza Tz jamaa mbona wa2 wamecheka ama mlitaka hadi wanye...na mbona Yule kutoka Nigeria ngel mwanzo mwisho wa2 wameenda nae sawa...achen hizo

  • @suewakuria2910
    @suewakuria29106 жыл бұрын

    hahahahaha hio ngwang ngwang 😄😄😄😄😄

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange13705 жыл бұрын

    Prof Hamo

  • @janetkerubo6469
    @janetkerubo64696 жыл бұрын

    Haha kwa nini huyo dem amesongeza kitambaa juu

  • @emjay1016
    @emjay10166 жыл бұрын

    manina sound ya kisenge

  • @DreamyRelaxationAmbiance
    @DreamyRelaxationAmbiance6 жыл бұрын

    Hamo mtoto wetu huyu ameweza sana. I say wengi naona hakuwa wanaelewa jokes zingine . lakini alijaribu sana kutochanganya lugha asije akapoteza wasee sana.

  • @kitoijeremia5794
    @kitoijeremia57946 жыл бұрын

    mm ni mpenzi sana wa Churchill. .wenzetu wapo mbali sana.kule pia jamaa shule ipo

  • @dhunnunkatchem9019
    @dhunnunkatchem90194 жыл бұрын

    Nyinyi mnaolalamika sauti, badilisheni Tecno Y3 zenu izo😂

  • @duaneorwasa9593
    @duaneorwasa9593 Жыл бұрын

    Airplane story borrowed from george carlin

  • @sovellohp
    @sovellohp6 жыл бұрын

    Comedy ni ngumu kwa mchekeshaji na mchekeshwaji! Ndio maana Jogoo wa shamba hawiki mjini, sio kwa ubaya!

  • @blessedher
    @blessedher6 жыл бұрын

    Huyu baba mcheshi sana!

  • @bensonwanjohi7111
    @bensonwanjohi71116 жыл бұрын

    watanzania hamuelewi maneno

  • @samir7343

    @samir7343

    5 жыл бұрын

    Kabisa😂😂

  • @Mwalimu_seleman
    @Mwalimu_seleman6 жыл бұрын

    Bongo jibangeni sana kama ndio hivi tutasubiri sana hata sauti haisikiki jamani ni aibu.

  • @crosswonders

    @crosswonders

    6 жыл бұрын

    aisee hii aibu azam hapa wamezingua sana

  • @namelessunknown1377

    @namelessunknown1377

    6 жыл бұрын

    King /Suka vyombo local sana

  • @sidekideo2567

    @sidekideo2567

    6 жыл бұрын

    King /Suka nikiboko sana 👏👏

  • @ogangakhadudu
    @ogangakhadudu6 жыл бұрын

    Sautii

  • @janetkerubo6469
    @janetkerubo64696 жыл бұрын

    Haha hamo

  • @khamisiiddi9321
    @khamisiiddi93215 жыл бұрын

    Hahaha eti kama huna takwimu

  • @julianaconradi853
    @julianaconradi8536 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @saadtz657
    @saadtz6576 жыл бұрын

    watazamaji wanachangamka ila hawasikiki kwa sababu ya mitambo lakini prof anaeleweka tu na yupo vizuri

  • @rwamborwambo1019

    @rwamborwambo1019

    6 жыл бұрын

    Saad Farahani Hamo yupo vzr Ila ningependa angekuja MCA TRICKY

  • @mpajiramadhan3507
    @mpajiramadhan35075 жыл бұрын

    Huyoo jamaa ni nooma sanaaaaa sema wa tz bado cna ili umuelewe lazma uwe makin nae sanaa tena utumie akili nyingi

  • @amirmenza4241
    @amirmenza42412 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍🤣

  • @frankgichia7685
    @frankgichia76856 жыл бұрын

    Aaaaaaih wa tz wako chini mpaka mitambo yao iko chini tena kiingereza n shida aaaaah beta angekua apa kenya

  • @mapemngumi2820

    @mapemngumi2820

    6 жыл бұрын

    Frank Gichia kingereza lugha yako

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    acha ufala, kwani was he talking in English? don't undermine us.

  • @lilianleonard8106

    @lilianleonard8106

    5 жыл бұрын

    Wakenya wana shida sana

  • @nurulight2074
    @nurulight20745 жыл бұрын

    aaah so disappointed in you kenyans who tald u knwing english language means ur very educated ??english is just a language like other language u knw after all learn to value ur own things we r Tanzanian we value our language so much and to us swahili is the best of all languages

  • @johnmaza8721

    @johnmaza8721

    5 жыл бұрын

    Hicho kiswahili hakisaidii kabisa

  • @momboi2

    @momboi2

    3 жыл бұрын

    Kiingereza muhimu pia

  • @kitoijeremia5794
    @kitoijeremia57946 жыл бұрын

    utaona watu hapo hawamwelewi jamaa ila jamaa show zao nyingi ni hatari..hata walioandaa show hawajabalance....Churchill show ni most creative market kwa comedian..ni house of talent ya comedins..wameona muziki hawawezi ila comedian wamekamatia..check mtu kama prof harm.zedii,njoro, na wwngine wengi

  • @asafu_tz8960
    @asafu_tz89606 жыл бұрын

    nihatar

  • @mercyzephania5507
    @mercyzephania55076 жыл бұрын

    tatizo apa ilikua lugha...ila prof..you killed it...!!!

  • @abuuiddi9110

    @abuuiddi9110

    5 жыл бұрын

    Mercy Zephania nicheki pliz +97477053859

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn51626 жыл бұрын

    hapa watz walienda kutoa mimacho tu

  • @mussahussein3583

    @mussahussein3583

    6 жыл бұрын

    Emmanuel John. Kumbe ulitaka tuende kufanya nini pale wee mjinga? kweli wee unaonekana mshamba ulopitiliza.

  • @mnatishaggyshaggy9762
    @mnatishaggyshaggy97626 жыл бұрын

    hamo hao watz hawaelewi kaa rada hawajaelewa

  • @rachellerachealrakela5938
    @rachellerachealrakela59386 жыл бұрын

    Omg My Tanzanian brothers and sisters you need to pull up honestly,you guys just look soo slow and lost with your understanding capacity plus language barrier oops shida,!!!!

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    nyie watu shida sana, hv hapo ako anaongea kiingereza? au unataka kiki tu

  • @mussahussein3583

    @mussahussein3583

    6 жыл бұрын

    Then nyinyi wakenya mnaonekana hamna lugha yeyote, kwasababu kiengereza hamjui na kiswahili kinawashinda pia.

  • @alleytz1059

    @alleytz1059

    4 жыл бұрын

    We unashida kwenye ndoa yako

  • @okulld
    @okulld5 жыл бұрын

    Language barrrier. That audience missed a lot of the humor. The guy is witty.

  • @hankabeEhub
    @hankabeEhub2 жыл бұрын

    This people don’t understand jokes wah

  • @zenahhussein9318
    @zenahhussein93186 жыл бұрын

    English is aproblem in tanzania

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    ameteta kiingereza????

  • @abuuiddi9110

    @abuuiddi9110

    6 жыл бұрын

    Zenah Kagai +97477053859 pliz nicheki whatsap

  • @joramnjihia2928

    @joramnjihia2928

    5 жыл бұрын

    This man is very funny

  • @timezonlinemedia2665

    @timezonlinemedia2665

    4 жыл бұрын

    Yes it is, kama vle pussy ako inavonuka ilvyo problem in your house😂😂😂😂😂

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel6 жыл бұрын

    Tz tuko na problems ya vifaa au LA sivyo waratibu wako na shida.

  • @fredrickonchoka7152
    @fredrickonchoka71526 жыл бұрын

    Language barrier.....

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    he talked in English or Kiswazi. au unafaindi tu kiki. acheni ubwege wenu

  • @jayjay4313
    @jayjay43136 жыл бұрын

    English tangu lini ikachekesha. Ndio mana Mr.Been anausugua tu bora mara mia. Lete kiswaz tukanyage kama fataki mazee.

  • @evansandrew8778
    @evansandrew87786 жыл бұрын

    people are hanging THERE...too bad for them LOL!

  • @joakimbrivasitati8911
    @joakimbrivasitati89115 жыл бұрын

    Watanzania jamani gai that kasimple english n blunder huh

  • @marygithua
    @marygithua5 жыл бұрын

    Boring audience 👎

  • @josphatwaqtmgenge8102
    @josphatwaqtmgenge81026 жыл бұрын

    Watanzania bana!!!!!!.. Hamoo.....hao watu hawaelewi na kingereza.... Boring

  • @charlownomasanamathew5682
    @charlownomasanamathew56826 жыл бұрын

    Tatizo watanzania ni vilanza hawaelewi kingereza so mm naona prof:Hamoo analost tu time yake huko

  • @heriaminiel7153

    @heriaminiel7153

    6 жыл бұрын

    Charlow noma sana Mathew acha unanga ww kwan kngereza ni hela

  • @Alex-ls4hh

    @Alex-ls4hh

    6 жыл бұрын

    hamo ukienda pale Dar tena.. kiswahili kitukuzwe. You have to meet your audience halfway

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    we know more than u think

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    from the begining ameongea kiingereza acha ufala

  • @onlinemateustv1925

    @onlinemateustv1925

    6 жыл бұрын

    Charlow noma sana Mathew mmmmh wa Kenya bwana toka mshindwe kuwa na akili mpaka leo hamtaki kuwa nazo mbona mnaongea upuuuzi

  • @tomchania5262
    @tomchania52625 жыл бұрын

    boring audience Hamo is tough

  • @mosesetsabo4718
    @mosesetsabo47185 жыл бұрын

    Wa TZ ni wagumu kuchekeshwa sana.. Kai 🤔🤔

  • @megmimi3410
    @megmimi34106 жыл бұрын

    Hawa mafala hakuna kitu wanaelewa

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    bwege ww

  • @megmimi3410

    @megmimi3410

    6 жыл бұрын

    Whatever that means

  • @hezronaroko6076

    @hezronaroko6076

    6 жыл бұрын

    let it be as the way u think, was he talking in English? kwani.

  • @saidmanjuti7441

    @saidmanjuti7441

    5 жыл бұрын

    nan fala mbwa ww

  • @luganojacob
    @luganojacob5 жыл бұрын

    Watanzania sio wajinga atuwezi kuchekacha ovyo Kama wakenya

  • @vincentcherutich291

    @vincentcherutich291

    4 жыл бұрын

    Si koza lako tunawaelewa

Келесі