AYMAN AL ZAWAHIRI CHAWA MKUU WA BIN LADEN.
Ойын-сауық
Baada ya mauaji ya viongozi hawa wawili wa la qaeda je ugaidi utafika mwisho ?
Kama ulikua unamjua Osama kama msababishaji wa michongo mbalimbali ya kigaidi basi mjue huyu jamaa Ayman zawahir anatajwa kama ndio msababishaji na mchoraji wa mambo yote aliyoyafanya Osama
// madinidotcom
facebook : / madinidotcom. .
PODCAST: www.audiomack.com/madinidotcom
Пікірлер: 8
Ebwanaeeeeehhhh ninawafatilia vizr mko vyema sana 🤝
Lazy mtamaduni best msimulizi nimekubali hadith unavosimulia
MaKn
Hakukua na WhatsApp Acha uwongo
Kama Osama wangemkamata lazma wangemuonyesha kama walivyofanya na kwa Sadam
Wewe unaadisia nawewe umesoma abari mtandaoni usiongee kuwakejili mashekh maana mashekh wamefikia daraja yajuu na wewe utafuka sijui utaenda wapi uko kwaallh
@rehema8074
Жыл бұрын
Ukihadithia usipende kejeli, sipendi mnavohadithia maana mnakejeli
Obama ni muuaji mkuu duniani