Келесі
- 5:32
- 5 МЛН
- 4:48
- 963 М.
- 00:10
- 4,7 МЛН
- 6 күн бұрын
- 00:18
- 13 МЛН
- Ай бұрын
- 01:00
- 14 МЛН
- 26 күн бұрын
- 00:32
- 32 МЛН
- 7 күн бұрын
- 2:45
- 2,6 М.
- 4:35
- 207 М.
- 7:17
- 47 МЛН
- 3:41
- 787 М.
- 5:16
- 8 М.
- 4:37
- 343 М.
- 3:08
- 2 МЛН
- 2:51
- 8 МЛН
- 2:11
- 1,3 МЛН
- 3:28
- 16 МЛН
Пікірлер: 1 100
2024 still listen this songs ❤
@user-fv1fk9mj4j
3 ай бұрын
Tupo
@MwanaJeffrey
26 күн бұрын
Tupo
@christineogaye830
23 күн бұрын
Still here
Wenye watakuwa live 2080s don't let this song die plz
Hii ni mara yangu ya 10 nikicheki huu wimbo leo 4/6/2024 asanti sana king 🤴 kwa huu ujumbe Gonga like kwa hii comment ili nirudi tena niiskize tafadhali
Nani bado anaangalia hii nyimbo gonga like tujuane tbt
@esmahnguzo8448
4 жыл бұрын
Me
@khamsihamad8407
4 жыл бұрын
Nakukubali sana KINGI
@gracejackson2236
3 жыл бұрын
Kama mimi ivi
@kibabukondo3402
2 жыл бұрын
Jamaa anajua sana
@prettyangel8518
Жыл бұрын
Me
Kama na ww umekuja kuisakaa hii ngoma Gonga like 💗 🔥
@mwalimuchatta4294
5 жыл бұрын
Atari sana
@johnphilipoaugustino6100
4 жыл бұрын
Nmeitafuta sanaaa
@stellamagaya2037
4 жыл бұрын
Big up king
kama wew ni TEAM KIBA mwagaa likes hapa nyingiii ......#KING KIBA kwa mpigooo paaaa paaa 💪💪💪💪
Aliejua kua Karimu wa humu anaeonekana kwa Video ni Abdu Kiba gonga like
Kipindi wimbo unatoka ndy nilikuwa nafika mjin sijui nitafikia wapi Wala sijui nitalala wapi lakin mwanaume nikatimba town blessed for me,,ilove you god❤
2023 leo hii March naiskiliza hii ngoma sa 00:20 Gonga like yako hapo kama bado inabamba kwa moyo hii ngoma...
Kama bado unaiskiliza hii ngoma 2020 gonga like twende pamoja 🔥🔥🙏🏻🙏🏻
@radhiamussa7955
Жыл бұрын
Good brother
@mchaguenimtulia2338
Жыл бұрын
Bado sana Tena sana
@Nancy-gz7is
Жыл бұрын
2023 mko wapi❤
Kama bado uko hapa 2024 ,gonga like tukisonga
Wale wa 2019 kama mimi like twende sawa
@azolichota5469
4 жыл бұрын
sana
@merysharifa8179
4 жыл бұрын
Wangapi bado tunaangalia ngoma king kiba
@abasifundi3129
4 жыл бұрын
King
Nimeimic hii ngomah nmekuja kuichek tena Karim saf 🎸🎸 Gonga like Kama naweh unaipenda,,,,,,,,,,
@user-rd7jt1vi5x
5 жыл бұрын
Karim ni abdu kitu na mdogo wake jamani wajalie maisha marefu alikiba na mdogo wako abdu
Mimi bado naicheki 2019_january_19 hongera kiba 🇰🇪🇰🇪 from 254
@khadijahassan4230
5 жыл бұрын
Agnes Mwikali 3/3/2019
@nimahassen4686
5 жыл бұрын
01.05.2019❤❤❤❤❤
@sangakwahhe5149
5 жыл бұрын
Nima hassen 23/6/2019 bado naisikiliza
@aishaiddi6955
5 жыл бұрын
Mm pia
@francispaul5802
4 жыл бұрын
Ata baki kuwa juu sana
Alikiba the golden voice.
28/8/2022 we still enjoying it 😋 Alikiba is a legend 🙌 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
"We don't search for old songs" "We search for gold memories"🎶🎶 2022 Everlasting masterpiece
@justuswangila7604
Жыл бұрын
You have eleborated it very well 👍,,,,we search gold memories of those days 🙏🙏🎶
Nimeimic nyimbo ya king wetu jomon leo hii 2019
@magreththobias43
2 жыл бұрын
Saudi ya kumtoa nyoka pangoni
kuna jambo mungu amenifanyia leo nkakumbuka hii ngoma....this is my best song so far,it really touches my heart and increase my faith in Allah.
Umenitouch kinoma yanikumbusha mbali Sana mdogo wangu 👍🙌✌
Kama ww umelud 2020 kuchek ngoma hi gonga like twende sawa 😍😍bonge ngoma yaan yenye massage nzur😍
This song reminds us the Goodness of God. No matter the situation He will reveal to His people in a His distinct way but also teaches us to be greatfull to God with everything whether bad or good. Hello milleniums
Uhakika hapa team kiba daah mwamba alitisha atal
broo kiba unajua broo ya siku nyingi lakini old is gold broo
@allykhatibu1268
5 жыл бұрын
Aliy nimekuja kucheki Leo" 4/3/2019
Walio hiangalia 2020 gonga lik
@fizzodizzo5028
3 жыл бұрын
King
@jesiahsamson2297
3 жыл бұрын
I realize I'm pretty randomly asking but do anybody know of a good site to stream newly released series online?
@tatumalexzander7742
3 жыл бұрын
@Jesiah Samson Lately I have been using FlixZone. You can find it by googling =)
@dillontatum8125
3 жыл бұрын
@Tatum Alexzander Definitely, have been using flixzone for months myself =)
@jesiahsamson2297
3 жыл бұрын
@Tatum Alexzander thanks, I went there and it seems like a nice service :) I appreciate it!!
Kama mpya vile. Super song
Whose here 2024 tia like twende sawa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
what a song! whenever nikisikia hii nyimbo lazima machozi yanitoki, is just reminding me kuna watu wanatoka majumbani kwao asubuhi kwenda kutafuta riski na wanarudi nyumbani kawa walivyotoka asubuhi lakini hachoki na hakufuru Mungu.
@hilaryhamis7754
Жыл бұрын
Kabisa ndugu yangu
@degerapius7625
Жыл бұрын
😭
Karim ni Abdu nice mtu na mdgo wake jmn
@mayalamasuka8983
3 жыл бұрын
Uko sahihi
king ni noma sana yaan iyo nyimbo inatoa msongo wa mawazo harara njaa na fikra
ASEE HII 2019 NDO NAGUNDUA HYU CAREEM WA HAII VIDEO NI ABDU KIBA....AAAAHHH KWELI WATU WANATOKA MBALII. BIG UP BRO KWA MZIKI MZURI
@kharfanicnje7660
5 жыл бұрын
Ako sawa
@danieldaniel-lb2on
5 жыл бұрын
Kwl aisee,
@annamgao8371
5 жыл бұрын
ndio namuangalia vzr apa
@afelistmichael4371
5 жыл бұрын
Ahhahaahahaha wee ndo umenishtua asaiv nimerudia kuangalia vzr 😂😂😂😂siku zote naangaliaga tuu
@hanifakimaro2179
4 жыл бұрын
Hata mimi 😂😂😂
ukweli mtupu kama riziki ni yako hakuna atakae zuia
I'm Kenyan and yes this is a beautiful song. Keep it up Ali.
@jaycalliam100
2 жыл бұрын
Atariii
Ali Kiba amekomaa kabisa kwa kuimba nyimbo ambazo zimetungwa na ujumbe mzito badala ya kumbwata kama baadhi ya wanamuziki hufanya siku hizi...
@roselinenerima6881
7 жыл бұрын
mburi nice song
@jomyabuu7889
2 жыл бұрын
bora sana
@user-fb5ef1xh8r
7 ай бұрын
Yeah na bado anaendelea kufanya vizur 2023
Rizki, ipo kabla saa sita usitu alhamdulilaahi Asante mola wangu karima
2022 We still here Kiba. Be strong and may this song comfort you now that you are going through tough time yourself. "Na mapenzi kwa mola wako, yawe palepale"
@christineogaye830
Жыл бұрын
Yeah Team Ali Kiba still here strong...
Of course king kiba huu wimbo wako unaniguxa xana ila yote ni mipango ya mwenyezi mungu.
@ibrahimissaibrahimissa6134
5 жыл бұрын
Yebaba tisha mbaya
Throw back thursaday #TBT# YA KHALM 2018 nani bado anaicheki??
@mishisaidi8696
6 жыл бұрын
man jaruu jr here
@manjaruujr6504
6 жыл бұрын
Mishi Saidi see you #MISHI#
@mishisaidi8696
6 жыл бұрын
man jaruu jr bado ipo juu
@estonymartiny4397
6 жыл бұрын
man jaruu jr Mimi hapa
@deebrown7908
5 жыл бұрын
Mimi apa sihichoki
Karim 2023 here we go 🔥🔥🔥 love from Kenya 🇰🇪
2021 watoto wa Mama Samia Suluhu Hassan Tupo hapa🇹🇿💞🙏
Lit Alikiba still we salute you
mwenyezi mungu ya ALLAH tabaraka wata'ala ndio mtoa riziki kwa viumbe wote duniani.
@zawadiiddi9664
5 жыл бұрын
big up king
@califoytrcomodor4297
5 жыл бұрын
Its alright god
@califoytrcomodor4297
5 жыл бұрын
Speak of the dead and inshalaah will be upon u
2020 still ngoma iko kwa waves give alike please kama uko 2020 na unamskiza kibaboy
Yani watu tu kujifanya hawaelewi lakin wanaelewa sana. Kwamba alikiba ni king of the music in Tanzania.
2020 naisikiliza ngoma bado mpya kabisa gonga like kama na ww unaisikiliza mwaka huu #KingKiba
@rogathshirima7239
3 жыл бұрын
Karma💫
Leo tarehe 5/12/218 kibao nakukubali Sana
Nimekuja kuicheki tena Leo 26/6/2018
@lawrencesakwa2624
5 жыл бұрын
Today my TBT 22/11/2018
I'm in love with this song...though i couldnt understand the lyrics but the video tells me something i shed tears for. I'm a Nigerian but, this is a video extract i have ever heard...Ali kiba is the best! You make me cry with the song. Big up Man!
@idaani5778
4 жыл бұрын
U ryt,,i love dis song too,,Ali my best Tanzanian artist
31/12/2018 to 2019 nimeikubali tena nineicheki tena Leo na nitarudi kuicheki tena
Nampa hii 👑, King Kiba
Jaman nyimbo haiish utam npen like wadau 8-2019
2023 on 🔥🔥🔥 mung ndo mtoa riziki anakupa wakat ambao hutegemei
Nimekuja tn 20 19 kama ww umerdi kuangalia hii nyimbo fny km una like kimtindo
@timotheoonesfory9829
5 жыл бұрын
Hamic Monga nipo
21 november 2018 nimeisikia tena aisee mzik mzur haufi me hata usipotoaga nyimbo nasikilza hata dushelele,mac muga hadithi yaan nimejaza kwa simu ww ni noma kiba mzik wako utadumu milele mzik mzur bila matus upo tofaut sana kiba
@shabaniramadhani3235
4 жыл бұрын
kayumba maumivu
@idaani5778
4 жыл бұрын
Ali k,,I love so much,,ur song drive me mad,,have been on ur songs many years back,,from Nigeria
@derrajones6079
3 жыл бұрын
Omg nyimbo nzuri munno yarabi, niko hapa yugoslavia naenjoy 🤟🏾
Bado ninayo tu 2019
@zenachowo544
5 жыл бұрын
Aiiiiseee noma kweli 17 mwenzi 7 mwaka 2019
Hiingoma naipenda sana king ndo muongozo wangu kimuziki nikipata wazifa naimbia cover
Nimekuja tena 2019
Who else is watching this in 2023...nipe like
2024 GONGA LIKE HAPA
nimeimic tena nimeamua kuicheki tena leo tarehe 02/02/2019
maskini abdul kiba anavo fanana
Ali k for real...... Who is listening to this in 2019?
2024 hii nyimbo ni kama ya din iv nzuurii sana, umemuona Bob junior alikuwa anamkubali kiba sana
enzi izo nipo zangu morogoro msamvu nauza maji ya kufunga kwenye vimfuko ali maarufu kama maji ya kandoro saiv mungu kanisaidia maisha yaenda kasi sana bhana
Aisee Leo 19/08/2019 ndo nagundua kua huyu Karim ni Abdu Kiba aiseee watu hutokha mbali sana...
Naipenda sana karim ya king kiba
@erickkimario6180
7 жыл бұрын
Koku Kamugisha u gud...
@saidyhassain2395
6 жыл бұрын
inankumbusha mbli xana music ya wakubwa promota bonga
@dottoyohana6304
5 жыл бұрын
Karim naipenda sana inanikumbushaga mengi sana
@barickmkongwa3244
5 жыл бұрын
Gooooooooooooood
@barickmkongwa3244
5 жыл бұрын
Ngomaa kali ya usingzn kibaa
Superstar toka mmi dogo,... alafu mnasemaje nyinyi generation ya sasa😃 hamna nyimbo mnaimba nyimbo mbovu wallhy ile kusema ukweli.. 2022 sai zee
...Dah Mwamba ili goma ni bonge la hit ajabu...Kenya twakupa support kubwa sanaa boy King Kiba...
hapo kaka sina neno
Wanimaliza Ali. Eendelea vivyo hivyo.
Kaka kiba wewe ni fundi
Waliomuona Abdul kiba na zabibu kiba like tafathali
alikiba ! man, unatisha big up our boy we r so proud of u atleast tanzania we hav a singer like u.
@DE_CHERRY_KE6609
Ай бұрын
15 years. Nimerudi kwa hii comment 🎉ulimuombea vizuri
I'm here in 2021. Kiba is the undisputed king. 💪🏿💪🏿💪🏿
Aiseeee Nakuona MTU wangu Abdukiba🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mei 15 naingia KZread kumuangalia king wang daa nakupenda mpka nalia nikiangalia hii nyimbo 😘 fundi wang miaka mia kwako amna kam wew bongo
Anaye angaliya hii song 2023 abonyeze like
Wale 2020 kama mimi gonga like hapa twende sawa..
Dahaa kweli Alikiba ni king wa bongofleva
zamani ndo ilikuwa bongo flava
27 March 2019 still watching, old is gold, ngoma kali kutoka kwa kiba
King Kiba From Kenya We Love You Soooooooo Much
If you're in 2090 this song is heart itself 😥❣️❣️❣️
I'm in love with this song...though i couldnt understand the lyrics but the video tells me something i shed tears for. I'm a Nigerian but, this is a video extract i have ever heard...Ali kiba is the best! You make me cry with the song. Big up Man! You me, Nigeria, Tanzania and Africa proud!
@neematemu9758
4 жыл бұрын
Same here
yes kiba yes,very meaningful. ur such a talent mungu akuzidishiye akili yaku'imba mziki wa ma'ana...
@raymond4545
Жыл бұрын
You commented here 14years ago are you alive???
Huuu wimbo MI saut tuuu ya Ali ndio alionipagawasha
Abdu kiba kitambo sana hii kuusika ktk hii video nan kamuona abdu kiba like apa kama umemuona abdu kiba
This song never fades, the message is Superb.
Mashaallah naipenda sana yakarim
Ii wimbo nitaiyacha kuisikiza mpaka 2090 nikiwa nko. hongela alikiba
Alkiba umejaliwa sauti kweli kweli
king kk unajua xanaaa the best
I cry this is very important message..and very true
@bakarimwakabebe9649
3 жыл бұрын
True African life..maisha halisi kabisa bro ..Mungu atusimamie soteni
Akakuta chakula kimemwagwa chini 😢😢hii line yanitoa machoz sana
KAMa abdulKiba Umemuona HApa Gonga Like
this is my favourite song from Ali kiba.he sings about reality here
2023 gonga like yako hapa
Duh abdu kiba ndo karim
Just awesome 😊
pamoja sana 2019 king kiba