Alhamis ndio siku Bora ya Kusafiri - Sheikh Othman Maalim
Wanadamu hapa Duniani tuna safari mbili,Moja: ni Safari fupi za hapa Duniani ambazo huwa tunazifanya kila uchao na Pili ni Safari ndefu ambayo tukienda huwa haturudi(Kifo) Safari zote hizi zina miongozo yake kutoka kwa Mtume Muhammad (s.w). Sheikh Othman Maalim anaeleza miongozo ya Mtume (s.w) juu ya safari hizi mbili.
Пікірлер: 34
Allau akbar allah akupe pepo shekhe kwa kutuelimisha vyema yarabi❤
Shukran sana kipenzi chetu, shekhe Othman Maalim Allah akulipe Jannah firdausi Allahumma Ameen Yarabb 🙏
Mashallah Allah azidi kukupa subra katika kipindi hiki,maana kufiliwa na mzazi si jambo jepesi, MUNGU ampe kauli thabiti mzee wetu Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏 na Allah akuhifadhi na akulinde sheikhe wetu Othman maalim jazzakum llahu kheri 👏
Masha allah
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh Allah akujalie afia njema nitakuonaje sheikh mpezi yaani kwa ajili ya Allah nimekupenda saaaaaaana ni kijana Haruna toka Congo.
Allahu akbar allah tusamehe na utulinde yarabi
Jazaqallah shekh wetu Allah akupe umri mrefu wenye baraka tele
MashaAllah, mawaidha mazuri
Mashallah mwenhez mungu atujalie atufanyie wepesi Inshaa llah
Allah am rehemu Baba yako na waslamu wengine wote walio tangulia mbele ya haki
Ma Sha Allah
Mashallah Allah akulipe kila la kheri inshallah
Mashallah Sheikh
Mashallah mawaidha yenye mafundisho makubwa sana Allah akujalie siha njema
Sukran
Aaamiiini❤❤❤
Mashallah. Ustadh napenda mawaidha yako .mola akuzidishie amin
MashaAllah sheikh,mola akuoe Kula la kheir
Masha allah masha allah masha allah barraka allahu feek sheikh wetu wajazzak allahu min kully kher yaarab
Ma shaa Allah Allah akulinde na akuongoze uendelee kutuongoza
Mashaa'Allah Jazzakumllah Khery
Aaamiiin
Mungu atuongoee inshallah
Mashaallah shekh othman
Asante kwa mafundisho mazur
Yarabi uongoze waja wako katika fifua vyetu ili tukutaje wewe kila wakati ili tuipate furaka
Mashaallah
Mashaa allah 🥰🥰🥰🤲🤲🤲
Mashallah
Jazaqallah
plz tuandikie hyo dua😢
❤❤❤
Habar za jana
Mashaallah