AIC Shinyanga Choir - Sheria/Mahakama (Official Video)
Kwa neema ya Mungu, AIC Shinyanga kwaya ilipata nafasi ya kuhudumu katika maadhimisho ya wiki ya sheria/mahakama ya mwaka 2020 kwa ngazi ya mkoa, mkoa wa Shinyanga tarehe 06.02.2020, kauli mbiu ikiwa "UWEKEZAJI NA BIASHARA, WAJIBU WA MAHAKAMA NA WADAU KATIKA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI YA UWEKEZAJI"
Audio production; Edema's Digital Studio
#specialproject
#mahakama2020
Пікірлер: 165
God bless AIC shinyanga nawapenda wote jamani wapi like za Magireth Magenda
Aisee nimefurahi kumuona tena Mage yupo hapa dah maana niliumia nilipomuona chang'ombe neema choir
Wow. The vocals are heaven sent. Heshima na utukufu zimurudie Mungu. Much love from +254🇰🇪
Hongera Sana mmeimba vizur kumbe mkiruhusu wengine wanaweza bonge Ana bonge la saut good
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Barikiwa
Barikiweni Sana ndugu kutoka Tanzania, kutoka Nairobi hapa AIC JERICHO.
Dah shinyanga mpo vizuri sana mungu awabariki saaaana
Aic shinyanga mziki. Mzuri hiyo inaitwa sebene au nn dah kionjo tofauti
Ni wimbo mzuri sana, hongereni kwa mtunzi na waimbaji. Kwa maoni yangu haikuwapo haja ya kuweka picha ya rais kwa sababu siyo mkuu wa mhimili wa mahakama. Mkuu wa mhilimili wa Mahakama ni Jaji Mkuu. Ikumbukwe kuna mihimili mitatu ya dola ambayo ni Serikali (Rais), Bunge (Spika) na Mahakama (Jaji) kila mhimili unajitegemea wenyewe.
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Asante kwa ufafanuzi mzuri
Nawapenda shinyanga,,,Magreth Magenda Nkupenda xana
utunzi ya hali ya juu. good performance wana wa shinyanga.[2020]
Shomaaa 🙌
Hongereni AICT shy choir kwa wimbo mzuri ....Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi
Hongerei sana wimbo mzuri sana. Ila aliefanya video amewaaribia sana kwa kweli.
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Ilikua life recorded, kwa ajili ya kumbukumbu tu. Barikiwa
@paschalndoshi354
4 жыл бұрын
Eee! Hongeren wana shinyanga kwa nyimbo zen nzr,
muzik arrangements awesome..... this guys rock av bn following ur muzik for the last 10yrs..... u r the best
Hongereni sana,ujumbe mzuri,Mungu azidi kuwaimarisha
Wimbo✓ Ujumbe✓ Waimbaji✓ Mavazi✓ Kazi nzuri sana.
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Asante sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Asante. Barikiwa
Daaaah hongeren sana sana
Mliimba vizur san wana Shinyanga, mbarikiwe na Mungu🙏🙏. Especially the vocals 😚🥰
Bonge la chupaaa nyimbo kali vocal balaaa nzuriii Mungu awabariki sana na aendelee kuwatumia vyema
Lesa amipale nokwimbokusuma Amen
Kazi nzuri wana shinyaga
Mbarikiwe na nyimbo nzuri .
Na barikiwa sana na nyimbo zenu🤝🤝 Magrethi badao hajatoa Album
Aic mpanda
Very nice neema ya mungu iwatoshe
Ninawapenda sanaaaaaaa, barikiweni watumishi wa Mungu
Wimbo mrefu sana aise
Aminaaaa
Sweet music, good singing, very well dressed ladies and of course also the gentlemen of the group. Shine, shine for God and the public. Wow!
naomba kuunganishwa na mwalimu wenu nina kazi naye tafathali...
Hizo sauti Jamani daaaaaa mko vizuri sana..Mungu awabariki
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Kazi nzuri Sana Mungu awabariki sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
@jaredkarani9878
4 жыл бұрын
Hivi huu wimbo “Katika shida zangu” Mshaurekodi?
Ujumbe mzuri Amina
Kinu hicho dah. Very nice
AICC zote kiboko bigup
Barikiwa sana wapendwa, wimbo mzuri
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Wonderful message in the content of the song
Safi sana. Naipenda.
I 💘 this song i want to support!!
Barikiwa sana
Mkovizuri sana songa mbele
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Mko vizuri Mungu azidi kuwabariki na kuwainua
@deusnkondo8215
4 жыл бұрын
Mungu awabariki
Mungu awabariki mnaendelea vizuri, Mungu ni mwema.
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Barikiwa Sana ndugu zangu
Amen
Special message 🙏🙏🙏
Vizuri sana
The Lord is good all the time
Hongeren sana
Kwaya
Mwili wangu unasisimka sana.
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Barikiwa
Nawapendaa
hamjawah kukosea mbarikiwe
Mage ana kipaji hasa hongera kwake
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Nawapenda Sana
Nawapenda sana
Wow!!!!!! Total love MIMI NI AIC from Kenya
@joanlumenyera9039
4 жыл бұрын
Hi albamu inaitwaje nahitaji CD yake
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Thank you
Congratulations
Like preachings of Reinhardt Bonke
Nawakubali sana,Mungu awabariki
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina. Barikiwa
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Jamani mko vizuri album nyingine lini
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Mwaka huu.. endelea kutufatilia. Barikiwa
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Hivi karibuni
Mbarikiwe
Safi sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Mama Lukaaa.. Kipenzi cha Wakamba Kenya.. Bonge La wimbo
@shujaazfilmsproduction7115
3 жыл бұрын
Ni yupi hapo
@AggiesVine
3 жыл бұрын
@@shujaazfilmsproduction7115 soloist
@boazkitela6960
3 жыл бұрын
@@AggiesVine Ni mkamba
@AggiesVine
3 жыл бұрын
@@boazkitela6960 Kabisa . Tena kivindyo...😂😂
@boazkitela6960
3 жыл бұрын
@@AggiesVine wa side gani kitui macha ama makueni
WEKENI NYIMBO ZENU KWA WINGI HUKU, SOKO LIMEHAMIA HUKU WAPENDWA
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Tumeanza kuziweka. Asante
@macdonamasali
4 жыл бұрын
@@aicshinyangachoirofficialp3482 Hata mkiweka zile za zamani pia itakuwa baraka kubwa zaidi.
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Ce n'est pas mauvais vraiment appréciable
@heriethmaximilian8953
3 жыл бұрын
Shinyanga mungu awabariki sana atunze huduma yenu
We isaya za masiku uko wap
That lady with small voice God bless her this team has really transformed
Mziki mzuri 🙏🙏
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Asante
@danieldenis8546
2 жыл бұрын
Napenda ckumoja niwaone hataniimbe wmbomoja naninyi
Magreti kashatoka neema gospel jmniii
@veronicaeliya8291
4 жыл бұрын
may be yupo kote maana huku ndo alianza kabla ya neema choir
@fidelismasaku6317
4 жыл бұрын
veronica eliya
@elijahaywago7274
4 жыл бұрын
huku ndo alikuwa kitambo
@winfridaangomwile9529
4 жыл бұрын
Wimbo tumeupoke vizuri na ujumbe
Kwan huyo Dada solo mwenye nyewele fupi mweupe anaimba kwaya ngap jaman au nachanganya 😀😀😀 ..... Ila nampenda sana Mungu ambariki mno
@priscadanny7805
4 жыл бұрын
😀😀alikua huku akahama akaenda dar akawa anaimba neema gospel ss naona karudi nyumbani
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Nice
Mubariki sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Amina
Nawapenda mnoo nyie watu,dada unaesolo endelea kunyenyekea
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Barikiwa sana
@isayamelamiofficial6468
4 жыл бұрын
@@aicshinyangachoirofficialp3482 jamani manajuaga nyieee hatari sanah mapka sasa hatuoni daliliza allbam ingine
Pigo la fainalli album iko wapi wenzetu??
Dada mage upo
Yeah ni vizuri. Ila ni kutokana na sababu za kifundi tu hata mm huwa nafanya live recording pia. So labda iwe ilikua haijaplaniwa kabsa kufanyika.
NI WIMBO MZURI
Bado mpo vzr
Simuoni mama Pima hapo yule kiongozi wa sifa yuko wapi???
Balikiweni
Do u guys mind if u give us the lyrics of this song?? Thanks 🙏
@kilangiofficial283
3 жыл бұрын
They encourage Human rights on time in all institutions
Great song 🎵 I need the cellphone number of a person who composed this song
Dada mage wewe hamia tu neema gosple hapo tayari pasha kupita uwezo japo umeitoa mbali aic
@frankrashd1056
4 жыл бұрын
Hahaha Mage kiumbe kingine ww acha br
@joycechaz2840
3 жыл бұрын
Hapana asihame bhana tumemzoea huku, nampenda sana Mage
Tunaomba uploads za albums zenu zilizopita maana kuna baadhi ya nyimbo zenu ni nzuri sana ila hatuwezi kuzipata kwenye hizi digital platform
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Asante. Tunaendelea ku upload. Barikiwa
Songs are good but poor video quality.Improve on this.Take full HD VIDEOS.Meanwhile nauliza ile wimbo inasema nina furaha sababu bwna yesu ameniokoa
Ukija mkoan magreti tuanamwita mwimbaji 🌟 magreti nakukubali sana
@m.mmarckus6298
4 жыл бұрын
Huyu dada simchezo,nimotoooo
301 like
Mage amerudi kumbe au anaimba neema gospel chang'ombe na huku?
@tajaelmichael227
4 жыл бұрын
Hata mm nilimwona dah hongera take Dada Mage
Mungu aendelee kuwainua simuoni da martha vp amehama?
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Yupo. Barikiwa
@annastaziajohn9930
4 жыл бұрын
Matha yupo jaman hujamuona yaan mi hii kwaya matha ndo huwa wa kwanza kumtafuta
@priscadanny7805
4 жыл бұрын
@@annastaziajohn9930 ndugu tuko wengi ila kwenye hii video sijamuona
Sasa sio kila mda mage wakati kumbe kuna waimbaji wazur kupita yy wakiwezeshwa
@isayamelamiofficial6468
4 жыл бұрын
Umeonaeee huyooo niwastudioo tu
@frankrashd1056
4 жыл бұрын
Mage bado anaheshimiwa coz kuna mtu anaitwa experience 😂 halaf Isaya Mage anaimba live sana we angalia Neema gospel choir
@tricykalukwa5697
4 жыл бұрын
@@frankrashd1056 Sijamdharau na si kwamba hajui kuimba NO anajua sana, Na nampenda pia.. Hiyo ni kwaya kama wapo wanaojua wapewe na si kila mtu tu apewe NO.. Mbona Eliza ni muimbaji mzuri sana na ni born not made lakini sijamtaja.. Raha ya kwaya unapoona kuna vinara zaid ya watatu....... Lakini hatuwezi jua pengine hao wengine wanajivuta na yeye anajuhudi.. lla katika uimbaji kuna watu hawapendi kuwa mbele, na wakipewa nafasi wanaitumia ipasavyo.. Nawapenda sana AIC shinyanga kutoka moyoni..
@tricykalukwa5697
4 жыл бұрын
@@frankrashd1056 Na suala la experience frank haliji tu from no where.. Kila mtu anapopewa kazi ya kusoma ndo anapata experience.. ... Experience sijahai kusikia kuwa ni taaluma kwamba utasomea.... Labda
@frankrashd1056
4 жыл бұрын
Beatrice Mwakalukwa 😂 refer your statment bhna "kumbe kuna waimbaji wazur kupita yy" no matter how they sing lkni yule anaimba vzur lkni bdo anahuyo mtu anaitwa uzoefu in such different kinds Ila all in all ni kwa ajili ya utukufu wa bwana hatuna neno juu ya haya
Na barikiwa sana na nyimbo zenu🤝🤝 Magrethi badao hajatoa Album
Sere ongera sana kaka nakubari kila ufanyacho brother
NIWIMBO MZURI SANA
Nice
Vizuri sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
4 жыл бұрын
Asante
@danielmutua9566
Жыл бұрын
Barikiweni sana na mungu aendelee na kuwainua sana