AHMED ALLY: MSITUKANE WACHEZAJI/ MO ANIPAMBANIA SIMBA/KALETA MAFANIKIO | PART 2
Ойын-сауық
#MoDewji #AhmedAlly #Simba
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 167
Kuna uwezekano mzur sana na mkubwa wa Ahmed Ally kuwa ndo msemaji Bora ndan ya ligi yetu ya Tz..... 🙏🙏
Na like sio kwajili ya simba au kwajili ya ahmed ally like kwajili ya crown media
@AgripaMwangobola-il3bz
2 ай бұрын
Pafect
@Jay4gNdava
2 ай бұрын
Utajua ww mchaw
@hamisimsosi6237
2 ай бұрын
Wanasimba huyu kijana ni rubi ya kujivunia uwezo wake wa uelewa ni mkubwa Sana hongera ahamedy ally ❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏mahuta oyeee tupunguze fitina tufanye kazi
Ahmed Ally umeongea kwa ufasaha sanaa ✊✊ #hapaninyumbani
Crown nawaomba mnipe kipindi cha kuzungumzia masuala ya jinsi na jinsia mana naipenda Crown napenda pia gender issues
hakuna msemaji kama ahmedi🎉🎉
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
2 ай бұрын
Kwa ukilaza
Semaji wangu umesema kweli❤❤👍👍🙏
hapa ni home kabisa
Crown Média tunaomba kipindi champila live kupitia Crown Média ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅.
Hongera sana Ahmed Ali umejaaliwa kipaji kwa hiyo kz yako kwa hapa Tanzania hupaswi kufananishwa na yeyote upo makini huropoki unaongea point
Aijawahi kutokea katika nchi hiii ya Tanzania kutokea msemaji mwenye akiki mwenye ufahamu mwenyekipaji mwenye kira kitu cha usemaji kama Ahamerdy Ally mungu akuweke kaka 🙏🙏🙏✍️✍️✍️
@HalimaPeter-mb4ei
2 ай бұрын
Unaumwa ww
@amonchilongozi1126
2 ай бұрын
22qqq222222
@TinaEliud
Ай бұрын
Wengine hawajui
Kaza kazi bwana mdogo Hemed Ali
Crown 👑 naomba muwe mnaweka hata beat kwa mbali ya kunogasha mazungumzo
@YogweMwakulola
2 ай бұрын
Hatutaki mikelele Sisi mziki wa nn sasa hapa hakutakikani fujo Kama wataka mziki fungua redio
@Sampovoice8088
2 ай бұрын
Ingia Dm au nenda ofsini kaka
@abasilihundu200
2 ай бұрын
😂😂@@YogweMwakulola
@user-xg5se4sy2t
2 ай бұрын
Hatutaki kelele iwe hivyo hivyo tusikilize tuelewe
Ahmed Ally ndio journalist m
Kuna watu wanasema atuachie hata umuambie mnumulie mchezaji mmoja chai yasiku moja hawezi
Kaka wew unajua.. maisha marefu semaji la CAF 👏 ✍️ Mabetu &Co
nikweli kabisa kaka ,,,hakuna mwanasimba wenye akili anae weza mzungumzia vibaya Mo dewj , hao ni yanga sio simba hao
Hapa ni nyumbani ndo kauli mbio yetu CROWN 👑❤❤❤❤
Mimi ni arsenal tangu mwaka 1982 bado nipo na mapitio yote nipo na simba ni timu yangu tangu nipo mdogo na bado nipo nitakuwepo tu
Jaman Crown Fm ipo sehem gan kwa hapa dar.
Hapa n nyumbaniii
Kweli uyu ahamed ni mtu mzur sana wa wa kuongea point
Tupo pamoja Wana simba❤❤❤❤❤
Ya kwangu kwaajili ya ahmedy na mo
Siyo kumfagilia tuu ,msemaji Kama mnamuogopa,,lah hasha,,palipo na ukweli lazima watu waseme,,viongoji mmeliwa mamruki mnaiharibu Simba,,watu mtaani tunateseaka Sana kwaajiri ya ujinga wa watu wachsche,,hasajiri watu wampira mnatuletea wacheza dance uwanjani,,Kama nikweli tajiri Ana toa pesa,,ninyi mpiga mgao,,alafu mnatuletea magalasa
Maturity ya hali ya juu kwa ongea yake congrats...
Point tupu za msingi, Hapana ni Nyumbani imefaana vema.
I love @CROWN MEDIA
Hapa ni nyumbani....
Wanaomtukana mo sio simba watuachie mo wetu na simba yetu ila mangungu atoke hao utopolo wanawafaranakisha wanasimba ili simba yetu ipoteane pia wako mashabiki wanafiki wakijifanya wanasimba na kuitukana simba yetu wasiikatishe tamaa
Nikweli mhamed Aly Mo ndio kilakitu katika mafanikio ya Simba, hao watu wanaompinga mo hawaujui mpira na hata kama walicheza mpira Kwan sio Kila mwanafunz anaesoma anahakiri kunawengine wanasoma lakin hawaelewi. Ndio sawa na hao wanaompinga mo Kwan ukiujua mpira hua unamatokeo ya kikatiri sana hakuna timu itafanya vizur milele mafanikio ni zamu huwez kulazimisha zamu ya mwingine iwe yako bac huo ni ujinga watu wakulaumiwa hapo ni viongoz na usajili wanaotufanyia kua ni mbovu sana wanasfata majina makubwa na sio watu wenye hamu na mafanikio
Naenda kuku follow bro ally uk vzr
CROWN media❤❤❤
Uko sahihi ila muda mwingine ujuwe uongozi ni mbovu mwenyekiti na c o na wengine wanaoiongoza timu hawana mpiganaji wapo kimaslahi yao mo hana tatizo ila tatizo lipo kwa uongozi tumeelewana sijuw
Nice #Crown media
Huyu mwamba kweli👍💯
Tuko pamoja na CROWN Media 💪
Hongera semaj la caf
Kazi kazi
Mwamba kaongea ukweli mtupu 🙏🙏🙏
Hapa ni nyumban
Pablo umemkimbia manara basi sasa hivi ataanza vita na crown media
Ushind razima wanasimba
@kassimntara6901
2 ай бұрын
Ahmed acha kutukana mashabiki kumbuka hao ni wengi na wanamchango mkubwa kwa timu ndio maana huwa unaungua jua kuwafuata hao washambq wajae uwanjani kama hawana mchango unawatafuta wanini kuja uwanjani,kununnua jezi nk,kazi ya shabiki ni kupongeza na kukosa ama kushangilia na kuzomea,kumtukana mo si sahihi lkn hayo yanatokea kwa ukimya wake malalamiko yoyote yasipo PATA ufafanizi huzua taflani Alisha wahi kusema atawataja viongozi wanamkwamisha aliwasema? Ama alichukua hatua,na wewe umevimba umaarufu ndio maana unatutukana sana
Semaji, shida ya Simba ni kufanya uzembe kwenye usajili na mnakuwa wasiri sana làkn mwisho wa siku mnaleta wachezaji wa kawaida sana, kwani Phir alikuwa na shida gani
Fact
Safi sana ahmed alli umeongea point sana
huna baya ahmed alliy
Siku zote Hutu tu kichaa anaropokaga Sanaa ila Leo kaongea kiutu uzima sanaaaa
#winning_team
Safi sana
Wewe leo kwenye hao viongozi hapo naomba nikutukane kidogo kuma yako ya nyuma viongozi wabovu
Ahmed ni Simba .
Kila kitu kitakaa sawa sisi tunaimani na tim yetu huu ni mpito
Hapo ni hm 2
Semaji nguli
Hapa ni home
Izo camera ni humu tu humu tu kubababake 😂😂😂😂
❤
Crown media
Moo ana moyo Sanaa kutege eza,Hadi kiwanja hawa maruki wametoka wapi
Simba nguvu. Moja
Nani kaona huu jama mwalikwa ame fanana na Ali Kiba
Semajiiii umesema kwl nakuonga mkono
Bro sijui pabro fanya mazoezi ya sautu ni nzito haisikirizik
🔥🔥
Point tatu muimu
Huyu kweli msemaji mchambuzi sana❤❤❤❤
Mabadiliko yawepo kwenye wàchezaji hadi viongozi. Ndipo timu itakuwa tamu sana. Lakini kama mo atatoa fedha kutafuta wachezaji na kuacha uongozi ule ule Tutaferi vibaya mno.
🎉
❤❤❤
👍
Muulize Ahmed kwanini Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu sababu ni nini?
Semaji sasa umeelewa kinachoendelea. Mercenaries wako wengi, na waandishi wa habari wako humo. Simba Nguvu moja 🎉
@yaseer255
2 ай бұрын
Daima Mimi n shabiki wa Simba sio shabiki wa matokeo Mo dewj ndio alie itunza Simba ad leo Hakuna muwekezaji mwenye moyo wa mapenz ya dhati na Simba #crownmediahapaninyumbani welcome home at crownmedia visit rutalekigoma visitgombenationalpark
@ernestkamata2555
2 ай бұрын
Ni sahihi kabisa, maana hata kama timu haijafanya vizuri baadhi ya michezo, siyo vurugu zinazosemwa mitandaoni, ni mamluki tu.
Sumba imeshinda mara nyingi kwa viporo tu,Sumba hawana uvumilivu tu eanadahau kama mbio za ubingwa zina muda Mara huyu na miaka mengine huyu.Mo bado no tegemeo na hamuwezi kuwa mabingwa muda wore kama Yanga nae ataacha ubingwa wachukue wengine.
Wakupe tuzo ya msemaji Africa mashariki umeongea vyema ila tengenezeni jobo zuri la usajili
Hamkai vizur nawachezaji Chemalony ameongea tatizo uongoz Ahmerd hapo usitudanganye kaeni vizr nawachezaji mchezaji usipo ishinao vizur lazima wakuonyeshe uwanjani tunaewa uwezo wachezaji Kwann sehemu tu yakushkuma mpira uende golin mtu anaekt amekosea
Upo sahihi sana semaji
❤❤🎉🎉🔥🔥
Identity Identified🎉
Baba wewe ni msemaji
Nakubal
HII Tv Ina Quality Kubwa Ya maudhui
simba nguvu moja naimani itakuwa sw 2 kilakit kinamwaz na mwisho kwahiy naiman haya tunayo pitia itafika mwisho yatapita 2
Semaj
Uko sahh
Kabisa semaji ata sisi tuko shamba tunaipenda simba yetu ila tunapata changamoto kubwa na mashabiki wa upande wa pili ao ndo watukanaji sio wanasimba
Semaj kiukweri umenena ukweri hao wamevaa nguo zayanga yanajidai simba sio simba hao
Tupeni kadi za uwanachama hili ndio tatizo kwenu mkitupa kadi za uwanachama matatizo haya yote yatapotea tunataka kuwa wanachama halali wa Simba
Mo hana ttz shida ni viongozi naww kwakua ndo mabosi zako ila kiukweli hawatufai
Hakika semaji hakuna km MO,wanao mubeza akili ni fupi.
Hao wote ni mamluki tu hawana mapenzi na club ya simba sports club wala asiwe na shaka yeye afanye kazi aachane na mamluki hao
Shida uku nikuchekana. Ni ushamba uliopo
Mimi ni simba damdam miaka yote mbaka siku ya mwisho
Semaji
Simba inahitaji muda tu
semaji bora
Bosss kiba hiki kipindi mpe shavu mziwanda
we una uchawa wakitoto sana uwoni aibu
SIMBA MNAPIGA KELELE SANA
viongozi hampo serious hata mechi Kagera mmetoa draw
Jamaangu upo vinzuri kweli un akipaji