AHMED ALLY: MSITUKANE WACHEZAJI/ MO ANIPAMBANIA SIMBA/KALETA MAFANIKIO | PART 2

Ойын-сауық

#MoDewji #AhmedAlly #Simba
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 167

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa43612 ай бұрын

    Kuna uwezekano mzur sana na mkubwa wa Ahmed Ally kuwa ndo msemaji Bora ndan ya ligi yetu ya Tz..... 🙏🙏

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba78742 ай бұрын

    Na like sio kwajili ya simba au kwajili ya ahmed ally like kwajili ya crown media

  • @AgripaMwangobola-il3bz

    @AgripaMwangobola-il3bz

    2 ай бұрын

    Pafect

  • @Jay4gNdava

    @Jay4gNdava

    2 ай бұрын

    Utajua ww mchaw

  • @hamisimsosi6237

    @hamisimsosi6237

    2 ай бұрын

    Wanasimba huyu kijana ni rubi ya kujivunia uwezo wake wa uelewa ni mkubwa Sana hongera ahamedy ally ❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏mahuta oyeee tupunguze fitina tufanye kazi

  • @kagenzikanala109
    @kagenzikanala1092 ай бұрын

    Ahmed Ally umeongea kwa ufasaha sanaa ✊✊ #hapaninyumbani

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu39632 ай бұрын

    Crown nawaomba mnipe kipindi cha kuzungumzia masuala ya jinsi na jinsia mana naipenda Crown napenda pia gender issues

  • @athumankasanzu6343
    @athumankasanzu63432 ай бұрын

    hakuna msemaji kama ahmedi🎉🎉

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    2 ай бұрын

    Kwa ukilaza

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 ай бұрын

    Semaji wangu umesema kweli❤❤👍👍🙏

  • @jogayatheboss2224
    @jogayatheboss22242 ай бұрын

    hapa ni home kabisa

  • @DaudomataAmade
    @DaudomataAmade2 ай бұрын

    Crown Média tunaomba kipindi champila live kupitia Crown Média ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅.

  • @hajihalid8096
    @hajihalid809610 күн бұрын

    Hongera sana Ahmed Ali umejaaliwa kipaji kwa hiyo kz yako kwa hapa Tanzania hupaswi kufananishwa na yeyote upo makini huropoki unaongea point

  • @BabaStuwartKatojo
    @BabaStuwartKatojo2 ай бұрын

    Aijawahi kutokea katika nchi hiii ya Tanzania kutokea msemaji mwenye akiki mwenye ufahamu mwenyekipaji mwenye kira kitu cha usemaji kama Ahamerdy Ally mungu akuweke kaka 🙏🙏🙏✍️✍️✍️

  • @HalimaPeter-mb4ei

    @HalimaPeter-mb4ei

    2 ай бұрын

    Unaumwa ww

  • @amonchilongozi1126

    @amonchilongozi1126

    2 ай бұрын

    22qqq222222

  • @TinaEliud

    @TinaEliud

    Ай бұрын

    Wengine hawajui

  • @macheramuhabe5503
    @macheramuhabe55032 ай бұрын

    Kaza kazi bwana mdogo Hemed Ali

  • @mallemaOg
    @mallemaOg2 ай бұрын

    Crown 👑 naomba muwe mnaweka hata beat kwa mbali ya kunogasha mazungumzo

  • @YogweMwakulola

    @YogweMwakulola

    2 ай бұрын

    Hatutaki mikelele Sisi mziki wa nn sasa hapa hakutakikani fujo Kama wataka mziki fungua redio

  • @Sampovoice8088

    @Sampovoice8088

    2 ай бұрын

    Ingia Dm au nenda ofsini kaka

  • @abasilihundu200

    @abasilihundu200

    2 ай бұрын

    😂😂​@@YogweMwakulola

  • @user-xg5se4sy2t

    @user-xg5se4sy2t

    2 ай бұрын

    Hatutaki kelele iwe hivyo hivyo tusikilize tuelewe

  • @yaseer255
    @yaseer2552 ай бұрын

    Ahmed Ally ndio journalist m

  • @user-pr9kq4it5c
    @user-pr9kq4it5cАй бұрын

    Kuna watu wanasema atuachie hata umuambie mnumulie mchezaji mmoja chai yasiku moja hawezi

  • @BellaTuyi-hd7tw
    @BellaTuyi-hd7tw27 күн бұрын

    Kaka wew unajua.. maisha marefu semaji la CAF 👏 ✍️ Mabetu &Co

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477Ай бұрын

    nikweli kabisa kaka ,,,hakuna mwanasimba wenye akili anae weza mzungumzia vibaya Mo dewj , hao ni yanga sio simba hao

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v2 ай бұрын

    Hapa ni nyumbani ndo kauli mbio yetu CROWN 👑❤❤❤❤

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf2 ай бұрын

    Mimi ni arsenal tangu mwaka 1982 bado nipo na mapitio yote nipo na simba ni timu yangu tangu nipo mdogo na bado nipo nitakuwepo tu

  • @ramahassani9477
    @ramahassani94772 ай бұрын

    Jaman Crown Fm ipo sehem gan kwa hapa dar.

  • @jameszengwe7889
    @jameszengwe78892 ай бұрын

    Hapa n nyumbaniii

  • @rojasimbamooooootoroja8309
    @rojasimbamooooootoroja83092 ай бұрын

    Kweli uyu ahamed ni mtu mzur sana wa wa kuongea point

  • @HalfaniHassani
    @HalfaniHassaniАй бұрын

    Tupo pamoja Wana simba❤❤❤❤❤

  • @TanaMidundo
    @TanaMidundo2 ай бұрын

    Ya kwangu kwaajili ya ahmedy na mo

  • @brownkihanga688
    @brownkihanga6882 ай бұрын

    Siyo kumfagilia tuu ,msemaji Kama mnamuogopa,,lah hasha,,palipo na ukweli lazima watu waseme,,viongoji mmeliwa mamruki mnaiharibu Simba,,watu mtaani tunateseaka Sana kwaajiri ya ujinga wa watu wachsche,,hasajiri watu wampira mnatuletea wacheza dance uwanjani,,Kama nikweli tajiri Ana toa pesa,,ninyi mpiga mgao,,alafu mnatuletea magalasa

  • @freddiemwela708
    @freddiemwela7082 ай бұрын

    Maturity ya hali ya juu kwa ongea yake congrats...

  • @kheirahmad4064
    @kheirahmad40642 ай бұрын

    Point tupu za msingi, Hapana ni Nyumbani imefaana vema.

  • @mohamedyally816
    @mohamedyally8162 ай бұрын

    I love @CROWN MEDIA

  • @allykalumba3414
    @allykalumba34142 ай бұрын

    Hapa ni nyumbani....

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabileАй бұрын

    Wanaomtukana mo sio simba watuachie mo wetu na simba yetu ila mangungu atoke hao utopolo wanawafaranakisha wanasimba ili simba yetu ipoteane pia wako mashabiki wanafiki wakijifanya wanasimba na kuitukana simba yetu wasiikatishe tamaa

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh2 ай бұрын

    Nikweli mhamed Aly Mo ndio kilakitu katika mafanikio ya Simba, hao watu wanaompinga mo hawaujui mpira na hata kama walicheza mpira Kwan sio Kila mwanafunz anaesoma anahakiri kunawengine wanasoma lakin hawaelewi. Ndio sawa na hao wanaompinga mo Kwan ukiujua mpira hua unamatokeo ya kikatiri sana hakuna timu itafanya vizur milele mafanikio ni zamu huwez kulazimisha zamu ya mwingine iwe yako bac huo ni ujinga watu wakulaumiwa hapo ni viongoz na usajili wanaotufanyia kua ni mbovu sana wanasfata majina makubwa na sio watu wenye hamu na mafanikio

  • @officialdana5114
    @officialdana51142 ай бұрын

    Naenda kuku follow bro ally uk vzr

  • @user-cz9me7mq9r
    @user-cz9me7mq9r2 ай бұрын

    CROWN media❤❤❤

  • @FarajiDetz
    @FarajiDetzАй бұрын

    Uko sahihi ila muda mwingine ujuwe uongozi ni mbovu mwenyekiti na c o na wengine wanaoiongoza timu hawana mpiganaji wapo kimaslahi yao mo hana tatizo ila tatizo lipo kwa uongozi tumeelewana sijuw

  • @arrickofficial
    @arrickofficial2 ай бұрын

    Nice #Crown media

  • @WivinaFrance-xn3mk
    @WivinaFrance-xn3mk2 ай бұрын

    Huyu mwamba kweli👍💯

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v2 ай бұрын

    Tuko pamoja na CROWN Media 💪

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4jАй бұрын

    Hongera semaj la caf

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa36182 ай бұрын

    Kazi kazi

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss93512 ай бұрын

    Mwamba kaongea ukweli mtupu 🙏🙏🙏

  • @abdulrazaqkatoma5648
    @abdulrazaqkatoma56482 ай бұрын

    Hapa ni nyumban

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj64742 ай бұрын

    Pablo umemkimbia manara basi sasa hivi ataanza vita na crown media

  • @RamadhanMajebele
    @RamadhanMajebele2 ай бұрын

    Ushind razima wanasimba

  • @kassimntara6901

    @kassimntara6901

    2 ай бұрын

    Ahmed acha kutukana mashabiki kumbuka hao ni wengi na wanamchango mkubwa kwa timu ndio maana huwa unaungua jua kuwafuata hao washambq wajae uwanjani kama hawana mchango unawatafuta wanini kuja uwanjani,kununnua jezi nk,kazi ya shabiki ni kupongeza na kukosa ama kushangilia na kuzomea,kumtukana mo si sahihi lkn hayo yanatokea kwa ukimya wake malalamiko yoyote yasipo PATA ufafanizi huzua taflani Alisha wahi kusema atawataja viongozi wanamkwamisha aliwasema? Ama alichukua hatua,na wewe umevimba umaarufu ndio maana unatutukana sana

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias4812 ай бұрын

    Semaji, shida ya Simba ni kufanya uzembe kwenye usajili na mnakuwa wasiri sana làkn mwisho wa siku mnaleta wachezaji wa kawaida sana, kwani Phir alikuwa na shida gani

  • @IbrahimsolicitorIbrahimsolicit
    @IbrahimsolicitorIbrahimsolicit2 ай бұрын

    Fact

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848Ай бұрын

    Safi sana ahmed alli umeongea point sana

  • @Muswaddiq
    @Muswaddiq2 ай бұрын

    huna baya ahmed alliy

  • @donatusnicolaus6403
    @donatusnicolaus64032 ай бұрын

    Siku zote Hutu tu kichaa anaropokaga Sanaa ila Leo kaongea kiutu uzima sanaaaa

  • @townkidallnight
    @townkidallnight2 ай бұрын

    #winning_team

  • @rashidkopa
    @rashidkopa2 ай бұрын

    Safi sana

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t2 ай бұрын

    Wewe leo kwenye hao viongozi hapo naomba nikutukane kidogo kuma yako ya nyuma viongozi wabovu

  • @kichenjewillian5720
    @kichenjewillian5720Ай бұрын

    Ahmed ni Simba .

  • @IvanJaphes-qt5tg
    @IvanJaphes-qt5tg2 ай бұрын

    Kila kitu kitakaa sawa sisi tunaimani na tim yetu huu ni mpito

  • @RaphaelKapinga-zr5hz
    @RaphaelKapinga-zr5hzАй бұрын

    Hapo ni hm 2

  • @selemanimusa7649
    @selemanimusa7649Ай бұрын

    Semaji nguli

  • @ArafaMoreno
    @ArafaMoreno2 ай бұрын

    Hapa ni home

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi96402 ай бұрын

    Izo camera ni humu tu humu tu kubababake 😂😂😂😂

  • @mdbosco1640
    @mdbosco16402 ай бұрын

  • @FredrickRamadhani
    @FredrickRamadhaniАй бұрын

    Crown media

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni50332 ай бұрын

    Moo ana moyo Sanaa kutege eza,Hadi kiwanja hawa maruki wametoka wapi

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp2 ай бұрын

    Simba nguvu. Moja

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke6952 ай бұрын

    Nani kaona huu jama mwalikwa ame fanana na Ali Kiba

  • @user-cz9me7mq9r
    @user-cz9me7mq9r2 ай бұрын

    Semajiiii umesema kwl nakuonga mkono

  • @officialdana5114
    @officialdana51142 ай бұрын

    Bro sijui pabro fanya mazoezi ya sautu ni nzito haisikirizik

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans14162 ай бұрын

    🔥🔥

  • @RamadhanMajebele
    @RamadhanMajebele2 ай бұрын

    Point tatu muimu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    Huyu kweli msemaji mchambuzi sana❤❤❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    Mabadiliko yawepo kwenye wàchezaji hadi viongozi. Ndipo timu itakuwa tamu sana. Lakini kama mo atatoa fedha kutafuta wachezaji na kuacha uongozi ule ule Tutaferi vibaya mno.

  • @modykimaro5480
    @modykimaro54802 ай бұрын

    🎉

  • @user-ut4vs9qo2e
    @user-ut4vs9qo2e2 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @sebastianmbazi2811
    @sebastianmbazi28112 ай бұрын

    👍

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400Ай бұрын

    Muulize Ahmed kwanini Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu sababu ni nini?

  • @jamesjames2368
    @jamesjames23682 ай бұрын

    Semaji sasa umeelewa kinachoendelea. Mercenaries wako wengi, na waandishi wa habari wako humo. Simba Nguvu moja 🎉

  • @yaseer255

    @yaseer255

    2 ай бұрын

    Daima Mimi n shabiki wa Simba sio shabiki wa matokeo Mo dewj ndio alie itunza Simba ad leo Hakuna muwekezaji mwenye moyo wa mapenz ya dhati na Simba #crownmediahapaninyumbani welcome home at crownmedia visit rutalekigoma visitgombenationalpark

  • @ernestkamata2555

    @ernestkamata2555

    2 ай бұрын

    Ni sahihi kabisa, maana hata kama timu haijafanya vizuri baadhi ya michezo, siyo vurugu zinazosemwa mitandaoni, ni mamluki tu.

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib43632 ай бұрын

    Sumba imeshinda mara nyingi kwa viporo tu,Sumba hawana uvumilivu tu eanadahau kama mbio za ubingwa zina muda Mara huyu na miaka mengine huyu.Mo bado no tegemeo na hamuwezi kuwa mabingwa muda wore kama Yanga nae ataacha ubingwa wachukue wengine.

  • @AbeidyMashamba
    @AbeidyMashambaАй бұрын

    Wakupe tuzo ya msemaji Africa mashariki umeongea vyema ila tengenezeni jobo zuri la usajili

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7uАй бұрын

    Hamkai vizur nawachezaji Chemalony ameongea tatizo uongoz Ahmerd hapo usitudanganye kaeni vizr nawachezaji mchezaji usipo ishinao vizur lazima wakuonyeshe uwanjani tunaewa uwezo wachezaji Kwann sehemu tu yakushkuma mpira uende golin mtu anaekt amekosea

  • @MathiasJohn-jq1lf
    @MathiasJohn-jq1lfАй бұрын

    Upo sahihi sana semaji

  • @yakobojoshua3213
    @yakobojoshua32132 ай бұрын

    ❤❤🎉🎉🔥🔥

  • @erickjohnglobal1536
    @erickjohnglobal15362 ай бұрын

    Identity Identified🎉

  • @sophialikongolo3746
    @sophialikongolo37462 ай бұрын

    Baba wewe ni msemaji

  • @HassanSeif-up3ly
    @HassanSeif-up3ly2 ай бұрын

    Nakubal

  • @marosproduction01
    @marosproduction012 ай бұрын

    HII Tv Ina Quality Kubwa Ya maudhui

  • @daudishaban-rl7tk
    @daudishaban-rl7tkАй бұрын

    simba nguvu moja naimani itakuwa sw 2 kilakit kinamwaz na mwisho kwahiy naiman haya tunayo pitia itafika mwisho yatapita 2

  • @Ester-vz4xy
    @Ester-vz4xyАй бұрын

    Semaj

  • @YOHANAJOSHUA-mo8vi
    @YOHANAJOSHUA-mo8vi2 ай бұрын

    Uko sahh

  • @MichaelLinda-vd8rx
    @MichaelLinda-vd8rxАй бұрын

    Kabisa semaji ata sisi tuko shamba tunaipenda simba yetu ila tunapata changamoto kubwa na mashabiki wa upande wa pili ao ndo watukanaji sio wanasimba

  • @Anna-ze5no
    @Anna-ze5noАй бұрын

    Semaj kiukweri umenena ukweri hao wamevaa nguo zayanga yanajidai simba sio simba hao

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2uАй бұрын

    Tupeni kadi za uwanachama hili ndio tatizo kwenu mkitupa kadi za uwanachama matatizo haya yote yatapotea tunataka kuwa wanachama halali wa Simba

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t2 ай бұрын

    Mo hana ttz shida ni viongozi naww kwakua ndo mabosi zako ila kiukweli hawatufai

  • @joachimgolola62
    @joachimgolola62Ай бұрын

    Hakika semaji hakuna km MO,wanao mubeza akili ni fupi.

  • @user-wu2yn1lb2e
    @user-wu2yn1lb2eАй бұрын

    Hao wote ni mamluki tu hawana mapenzi na club ya simba sports club wala asiwe na shaka yeye afanye kazi aachane na mamluki hao

  • @allymtunge5530
    @allymtunge55302 ай бұрын

    Shida uku nikuchekana. Ni ushamba uliopo

  • @macheramuhabe5503
    @macheramuhabe55032 ай бұрын

    Mimi ni simba damdam miaka yote mbaka siku ya mwisho

  • @eliud21savage48
    @eliud21savage482 ай бұрын

    Semaji

  • @Ester-vz4xy
    @Ester-vz4xyАй бұрын

    Simba inahitaji muda tu

  • @sakarabukakimwana755
    @sakarabukakimwana7552 ай бұрын

    semaji bora

  • @jakuvuai1428
    @jakuvuai1428Ай бұрын

    Bosss kiba hiki kipindi mpe shavu mziwanda

  • @MchanaLive
    @MchanaLiveАй бұрын

    we una uchawa wakitoto sana uwoni aibu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v2 ай бұрын

    SIMBA MNAPIGA KELELE SANA

  • @drallan6879
    @drallan68792 ай бұрын

    viongozi hampo serious hata mechi Kagera mmetoa draw

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu2 ай бұрын

    Jamaangu upo vinzuri kweli un akipaji

Келесі