AHMED ALLY APIGIWA SIMU NA WAZIRI MKUU/ALLY KAMWE AINGILIA/"MHESHIMIWA TUMIA JINA LA ALLY KAMWE"

Спорт

JAMBO LA NCHI Ni zoezi la Uchangiaji Tiketi kwaajili ya kuipa Sapoti Timu ya Taifa Ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwenye Mechi ya Marudiano ya Kufuzu Afcon dhidi ya Uganda Siku ya Jumanne Saa 1:00 Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Cliford Ndimbo Ofisa Habari wa TFF,amewakutanisha Maofisa wengine kutoka Simba Sc Ahmed Ally,Yanga Sc Ally Kamwe na Azam Fc Hasheem Ibwe ili kuendesha Harambee hiyo kwenye Mkutano na Wanahabari uliofanyika Leo Dar es salaam.
Jumla ya Ticket 10500 zimekusanywa kwenye Hatua ya Awali,Zoezi ilo likiwa ni endelevu Mpaka kufikia siku ya Mechi.

Пікірлер: 118

  • @user-dz1me6mt9e
    @user-dz1me6mt9e10 ай бұрын

    Mpira uliharibiwa na manara ona hawa vijana wanafnya kazi kwa weredi mkubwa presconference za kuvutia wanatufundisha mpira ni urafiki wenye utani wa kujenga nmefurahi sana sana hawa vijana ni wanafaa kuigwa❤❤

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Жыл бұрын

    Ukifanya kazi na brand kubwa utakuwa mkubwa tu na utajulikana na utakuwa karibu na wakubwa pia, hongera ahmed ally kwa kuichagua simba kuwa ndio klabu yako ya kuisemea

  • @akwinobenarddy
    @akwinobenarddy Жыл бұрын

    Simba na Yanga tumepata wasemaji wa mpira hii ndo napenda bravo Ahmed bravo Ally kamwe🎉

  • @merckmdamu2942

    @merckmdamu2942

    Жыл бұрын

    Kuhusu manara vip

  • @Elizabeth-fu3ze
    @Elizabeth-fu3ze Жыл бұрын

    Hongereni sana mmenifulahisha sana leo usimba na yanga pembeni,4000, kupitia kwa Ahmed,🤗💕

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Жыл бұрын

    Daaaaah aiseeee nimefurahi SN Hawa. Vijana AA HIZI ALLY KAMWE NA AHMED

  • @noahkajinga7599
    @noahkajinga7599 Жыл бұрын

    Tumepata semaji la Caf Bravo Hamed Ally

  • @kingsulyemani2559
    @kingsulyemani2559 Жыл бұрын

    hawa wasemaji wa simba na yanga ni watu wa michezo sana kazi wanaiweza

  • @rizikijustin4747
    @rizikijustin4747 Жыл бұрын

    Haya ndy mambo tunayataka kwenye mpira wetu siyo waropokaji mpira umepata wasemaji

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Жыл бұрын

    Hongereni sana sana sana wasemaji wetu wa club zetu mmetisha mme vibe hii ni kwa mara ya kwanza kusupport hivi 👏 lkn Ahmed Ally ndio umpigie waziri mkuu kweli 😂 na mguu ukaweka juu eti ukimaanisha kazi umemaliza 🤣 sawa bhaana umeshinda 😂🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪

  • @kennethnyahoza1806

    @kennethnyahoza1806

    Жыл бұрын

    Hongereni sana Wasemaji wa timu zetu Simba, Yanga na Azam kazi nzuri sana. Matumaini yetu makubwa tutapata ushindi kwenye mchezo huo wa tarehe 28/03/2023 Bip Up pia TFF

  • @user-me2mu2ub7y

    @user-me2mu2ub7y

    Жыл бұрын

    Uhakika tumepata wasemaji kweli syo masiala wa ndo wasemaji Sasa utani mwingi d safi sana Aise siyo kina hajiz manala lopopot utani hajui ila sifatu ndomaana wakamufungua asijishilikishe na mpila miaka miwali na faini mana hajielewi

  • @thomaskulwa425
    @thomaskulwa425 Жыл бұрын

    Jeri muro na manara walileta uadui🙆 na Hawa wasasa wameleta utani😋 hongeleni sana vijana wenzangu🙏🤝📌🔨

  • @alisenipeter4307

    @alisenipeter4307

    Жыл бұрын

    Tatizo shule Ahmed na aliy kamwe ni wasomi

  • @ibrahimmsula201
    @ibrahimmsula201 Жыл бұрын

    I like this, hongereni sana Azam Kwa upendo mlioujenga Kwa hao vijana,wanaongeza hamasa na kuvunja uadui, nimefurahi walivyofanya na wanavyotaniana

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Жыл бұрын

    Naam!! Soka sio uadui.Soka hujenga umoja na mshikamano.Kongole kwa Hashim Ibwe,Ahmed Ally na Ally Kamwe.Kinachopendeza zaidi wote watatu ni matunda ya AZAM MEDIA

  • @Football-ze9du
    @Football-ze9du Жыл бұрын

    Good improvement ya football ad wasemaj wanakaa pamoja

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Жыл бұрын

    Semaji la migoli mingi mingi semaji la caf mimi niwaombe wanasimba wenzangu tumuunge mkono semaji letu wachezaji viongozi na bechi la ufundi kwa ujumla wake kwa hakika tutafika mbali kwa umoja wetu

  • @championtv255
    @championtv255 Жыл бұрын

    Napenda sana hali hii nchini kwangu.mpira sio vita jamani

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Жыл бұрын

    Ally Kamwe bhana,ninamkubali sana.Ibwe na Ahmed Ally pia ni wasemaji wazuri.Hongereni vijana kwa kulisogeza mbele soka la Bongo.

  • @sakinasakina1286

    @sakinasakina1286

    Жыл бұрын

    Syo soka la bongo soka la tanzania wew bwege nini

  • @shabanirajabu251
    @shabanirajabu251 Жыл бұрын

    Na hapo tumefany kumshtukiza mwenyekiti 😅😅tungempanga mngefurah😅😅

  • @sniper93999
    @sniper93999 Жыл бұрын

    AZAM TV hapa ilizaa sana

  • @MathiasMatteo-tl8xn
    @MathiasMatteo-tl8xn Жыл бұрын

    Nimecheka sana ally kamwe balaaa

  • @drogbalodrigue9550
    @drogbalodrigue9550 Жыл бұрын

    Kiukweli kama mimi nashukuru sana kutokana mwenye kiti wa simba ❤

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Жыл бұрын

    Mama katoa ahadi waziri mkuu mfuate kwa mawaziri muanze na waziri wa michezo pia ahamed usisahau spiker wa bunge ni Simba yule

  • @elishamatulanya5539
    @elishamatulanya5539 Жыл бұрын

    mmetisha sana wasemaji wetu

  • @laurentbabu153
    @laurentbabu153 Жыл бұрын

    Semaji la CAF umetisha

  • @zakiaabubakar7446
    @zakiaabubakar7446 Жыл бұрын

    Well done Keep it up

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Жыл бұрын

    Hawa ndio wasemaji sasa angekuwepo Ashura cheupe kingenuka jamaa mshari sana uropokaji kwa sasa wangeondonga hapo wamejazana vifua hongereni sana uongozi wa timu zote kwa kuchagua wasemaji wenye kujielewa

  • @alexjohn-ff6kb
    @alexjohn-ff6kb Жыл бұрын

    Matunda ya Azam hao wote nawakubali sana

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 Жыл бұрын

    Naomba Muunganiko huu, muwe nao hata kwa ngazi ya clab hususan vinapo kuja vilabu tuka nje ya nchi ni vizuri kama uzalendo utakuwa mbele kuliko usimba na uyanga.

  • @Elizabeth-fu3ze
    @Elizabeth-fu3ze Жыл бұрын

    Great moment's 🙏

  • @abelmussa5061
    @abelmussa5061 Жыл бұрын

    Huu ndiyo Mpira tunaoutaka Tanzania Nchi yenye Amani furaha iliyoje kuwa na Wasemaji mahiri kama hawa big Up kwenu vijana🤣😂😂💪💪💪

  • @pastormartinshija374
    @pastormartinshija3748 ай бұрын

    Hili jambo zuri sana liendelee tafadhali! Pia ni vema liwe linafanyika kwa ngazi ya vilabu!

  • @ramadhanimtatifikolo7735
    @ramadhanimtatifikolo7735 Жыл бұрын

    Safi sana wasemaji sio manala alikua kaziyake kugombanisha watu,

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Жыл бұрын

    Kiufupi ally kamwe amelowa

  • @francemumba5323
    @francemumba5323 Жыл бұрын

    Eti nahapo tumemshitukiza daah

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 Жыл бұрын

    Hongereni nyote wakuu wa simba,yanga,azam .pia komed kwawingi😅😅😅

  • @massoudaly5154
    @massoudaly5154 Жыл бұрын

    Nimefrah sana hii ndo tunaipenda sana ktk soka nyny mashujaaa wasemaji wetu watatu nawapenda sanaaaaaaaa

  • @Ndalolusulo-yt2ol
    @Ndalolusulo-yt2ol Жыл бұрын

    Safi sana wote hapo mezani

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Жыл бұрын

    Umekuja na silaha nzito kaka kudadadeki🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mengijose17
    @mengijose17 Жыл бұрын

    Nimecheka huo mguu hapo mezani siyo powa

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha Жыл бұрын

    Hahahaha hawa jamaa wehu sana Ila kicheko cha ally kamwe cha kikuda

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 Жыл бұрын

    So funny...mmetisha sana

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 Жыл бұрын

    Ally kamwe ni comedian san an!!!🤣🤣🤣🤣

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Жыл бұрын

    PM wetu ni simba fan,anajulikana

  • @segeospatialtechnology7482

    @segeospatialtechnology7482

    Жыл бұрын

    Namungooo😂😂

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    @@segeospatialtechnology7482 ni mlezi wa namungo, anayo mapenzi na simba toka ujana wake

  • @mwajumaseifu216

    @mwajumaseifu216

    8 ай бұрын

    ​@@segeospatialtechnology7482Namungo na Simba hipi ya kwanza kuzaliwa

  • @SalumMballa-tu8lk
    @SalumMballa-tu8lk Жыл бұрын

    Thank you

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 Жыл бұрын

    Naskia wivu kabisa Tanzania muko mbeleee kwaani nchi zingine za Eac usingizini tuuu

  • @oscarniyoguahima1781

    @oscarniyoguahima1781

    Жыл бұрын

    Warifika wapi?

  • @josephstephen1079

    @josephstephen1079

    Жыл бұрын

    We unatokea nchi gani kaka?

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 Жыл бұрын

    Good moments

  • @dannyjacob4618
    @dannyjacob4618 Жыл бұрын

    Yeah,I appreciate

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Жыл бұрын

    Ali kamwe ndo kanogesha press 🔋

  • @francemumba5323
    @francemumba5323 Жыл бұрын

    Simba mfumo wake mgumu sana yanga hers akisema imeisha

  • @Emedroadtocanada

    @Emedroadtocanada

    Жыл бұрын

    Tulia mwana utopolo

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Жыл бұрын

    Shiikamoo Ahmed Aly

  • @yakobontigwambukwa
    @yakobontigwambukwa Жыл бұрын

    Ali kamwe anakalibia levo ya ahmed ko akazane😃😂

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Жыл бұрын

    ahmed ndiye aliyempigia majaliwa rudia tena uangalie

  • @jafarsalum6891

    @jafarsalum6891

    Жыл бұрын

    Ni kweli

  • @sanityonline4512
    @sanityonline4512 Жыл бұрын

    Ahmed anapigia majalia apo 😂😂

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Жыл бұрын

    Ahmed alicheza faulo mwanzo...alipiga mwenyewe ahmed

  • @mariamchiga846
    @mariamchiga846 Жыл бұрын

    Kama ndo mm Ahmed Ally ningempiga kwel kbao

  • @FaridiMohamed-ou9eq
    @FaridiMohamed-ou9eq Жыл бұрын

    Hapa angekuwepo kenge mmoja ivi angejifanya msemaji peke yake

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    Жыл бұрын

    Yule Loooooooooooooser!!!

  • @doktmtanga7303
    @doktmtanga7303 Жыл бұрын

    Kasimu majaliwa nimnyama piwa na nikocha na nimtu wasoka anaujuwa mpila

  • @erickjohnglobal1536
    @erickjohnglobal15363 күн бұрын

    🔥💎

  • @livinuskamugisha5296
    @livinuskamugisha5296 Жыл бұрын

    Huu ndo upendo unaotakiwa kwetu watanzania.

  • @mckombe7200
    @mckombe7200 Жыл бұрын

    Mpira siyoo uwadui tutoee izoo zana ongereni wa semaji wote kazi yenu njema utani usiyoo umiza ongera shirikisho la mpira pia, @mc kombe

  • @zainabmikidad791
    @zainabmikidad791 Жыл бұрын

    Ila Ahmed jamani mpole

  • @francemumba5323
    @francemumba5323 Жыл бұрын

    Muheshimiwa kupitia kupga kwa ahmedi imetia nguvu kwake

  • @egbartjosephat-gf4oc
    @egbartjosephat-gf4oc Жыл бұрын

    Mamb Tanzania Kwa ushind!

  • @egbartjosephat-gf4oc

    @egbartjosephat-gf4oc

    Жыл бұрын

    B

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Жыл бұрын

    Mbona niwatu wasimba tu wanao changia hatujasikia mmewapigia watu wa azam na yanga nyinyi nikuwapigia wasimba tu

  • @doktmtanga7303
    @doktmtanga7303 Жыл бұрын

    Hongera Sana

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 Жыл бұрын

    kiukweli raha sanaa,

  • @welsonleonad1743
    @welsonleonad1743 Жыл бұрын

    😂😂😂 wajua kabsa kuchekesha

  • @user-xu4cm5wn6k
    @user-xu4cm5wn6k5 ай бұрын

    ❤❤

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava Жыл бұрын

    SILAHA NZITO 😅😅😅

  • @Elizabeth-fu3ze
    @Elizabeth-fu3ze Жыл бұрын

    🤣🤣mpigie amedi ali kamwe vp tulia semaji la kafu lazima lipigiwe kwanza si mkubwa 🤣💕🤗

  • @mohamedsuleiman5356
    @mohamedsuleiman5356 Жыл бұрын

    Kuna io sehem ally anateta na ibwe tangu babra aondoke

  • @zeddymourice4249
    @zeddymourice4249 Жыл бұрын

    Naaa naaahapo tumemshtukiza🤣🤣🤣🤣🤣

  • @samwelkakintwa9702
    @samwelkakintwa97029 ай бұрын

    Nimefurai sana na sprained ya semaji la kafu.

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Жыл бұрын

    Kamwe anasema kaja na slaaa nzito duu

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Жыл бұрын

    Mbona wa azam wanamtenga

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu Жыл бұрын

    Wabongoi badilikeni hiliniswala la TAIFA u SIMBA na uYANGA wekeni pembeni tupambanie inchikwanza msituletee usimba na yanga kwenye comment.

  • @onekisstv8412

    @onekisstv8412

    Жыл бұрын

    Hawa wapo kwa ajili ya uhamasishaji wote wanatetea taifa

  • @DanielIsaack-mx4fc
    @DanielIsaack-mx4fc Жыл бұрын

    So funny😂😂😂

  • @charleschao9809
    @charleschao9809 Жыл бұрын

    Kamwe amekaa kinafki sana 😂

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Жыл бұрын

    Hiii ndio sokaaa sio kelele

  • @kibonamalugu
    @kibonamalugu10 ай бұрын

    💪💪💪💪

  • @charleselasto3067
    @charleselasto3067 Жыл бұрын

    Kwahiyo uwanjani ni bure

  • @denis-km9a3ro6k
    @denis-km9a3ro6k Жыл бұрын

    Yan dah

  • @stephennyangi2403
    @stephennyangi2403 Жыл бұрын

    Hawa majamaaa hapana aisee😂😂😂😂

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Жыл бұрын

    Kaka kaka ameshinda🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdullymaruzuku-uy8rb
    @abdullymaruzuku-uy8rb Жыл бұрын

    Ali kamwe anajipendekeza

  • @rickcash701
    @rickcash701 Жыл бұрын

    Ndo ile mechi tuliokanyangwa

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 Жыл бұрын

    Watoto utawajua na wakubwa utawajua mwisho wametahayari

  • @albertmullah2377
    @albertmullah2377 Жыл бұрын

    Yaani SIMBA tulishazoea kuonea onea tu madunduka Loosers haya 😂😂😂😂... THIS IS SIMBAAAA ❤❤❤💪💪💪🦁🦁🦁🦁

  • @michaelbulyalism3553
    @michaelbulyalism3553 Жыл бұрын

    @Ahmedally

  • @josephmgimwa3141
    @josephmgimwa3141 Жыл бұрын

    Aly kamwe, 🤣🤣🤣ananifahamu

  • @bosscomedy1534
    @bosscomedy1534 Жыл бұрын

    Ali kamwe nipenambayako

  • @erasmsreonard4237
    @erasmsreonard4237 Жыл бұрын

    Ally 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr Жыл бұрын

    Ali Kamwe🤣🤣🤣🤣🫶🫶🫶

  • @rehemasaid3083

    @rehemasaid3083

    Жыл бұрын

    8

  • @marthageorge5043
    @marthageorge50438 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Жыл бұрын

    Mbilinge za watani wa jadi katika kuinuaa nchi😂😂😂

  • @fulgencefortunatus6845
    @fulgencefortunatus6845 Жыл бұрын

    Na huo uchachari wenu mmeua, wasemaji wa tim kubwa. Kuanzia leo nimeanza kumuelewa ally kamwe.

  • @DanielIsaack-mx4fc
    @DanielIsaack-mx4fc Жыл бұрын

    So funny😂😂😂

  • @hanceraphael5455
    @hanceraphael5455 Жыл бұрын

    Huu ndio uzalendo sasa

  • @sarahjoseph5411
    @sarahjoseph5411 Жыл бұрын

    alikamwe 🤣🤣🤣 akicheka lazima ucheke

  • @pauloloningo117
    @pauloloningo117 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @nishimwejames83
    @nishimwejames83 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

Келесі