Agape Gospel Band - Niseme Nini Baba (Official Music Video)
Hallelujah !!
Wimbo huu ni Wimbo wa Shukurani kwa Mungu wetu , wakati mwingine tunakosa maneno yakusema tunajiuliza " Tuseme Nini kwa wema wa MUNGU katika maisha yetu "??
Tunapofikiria habari ya wale wakoma kumi katika kitabu Cha Luka 17:11-19 neno la Mungu linasema ,
[11]Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemu, alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya.
[12]Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali,
[13]wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!
[14]Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajionyeshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.
[15]Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;
[16]akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Barikiwa sana 🙏🏾
Musicians
Main keys : Innocent Nelson
Aux keys : Michael Lowkeys
Guitarist : Kaz Benjamin
Bassist : JP kazire
Drummer : Hans Lugwisha
Back Ground Vocals
SOPRANO :
Jocelyn Bryson
Neema Mlay
ALTO :
Jonas Moshi
Hannah Joseph
TENOR :
Justin
Pascal Guveti
Lead Singer: Victor Maestro
Mixing and Mastering by Baraka Ngowi
Sound Engineer: MUJWAHUKI
Venue: The Reality of Christ Church
Video Directed by ROC Media /Baraka Adam wapili
#AmefanyaMengiYesu #AgapeGospelBand #LiveMusicVideo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Пікірлер: 228
I'm no longer a slave to childhood trauma, rejection, suicide, divorce, fear, and sexual abuse... I AM A CHILD OF GOD!!!
@steveobwoge3315
2 ай бұрын
Hallelujah, the be set free in Jesus might name, the Name above all names. 👏👏👏👏
What should i say to LORD for what you have done to all i can just say am greatful.......
Me I'm always blessed with his songs I don't know about you reading this comment
3:43 Soloo guitar 🔥 11:29 1st transition 11:38 2nd Inversion soloo Minor🙌😁🍸🍸🍾
@ReyKatta
Ай бұрын
Luxembourg kimbangu solo na les samourai
Solo guitar 🎸 on next level jaman khaaa miziki imelia mnoo utukufu kwa Mungu
@marlynechimanoshihembetsa917
Жыл бұрын
100% in agreement, the lead guitarist did an amazing job, he's blessed
Parabens Deus seja louvado, gosto muito da maneira que você gosta de louvar. Gloria a Deus.
Wow i like the grooves of this church
This was my most favorite music style when i was base guitarist from DR Congo. since two years i stopped because of studying abroad. but very soon i will resume this powerful Gift. you are blessing me a lots people of God, much love to you all
I love the lingala kings when it comes to singing for the King of Kings
😅😅😅 So much joy in right now😂 Anointing dey here
Solo guitarist you have blessed hands🔥🔥
Bassist ❤🎉
Mnanibariki sana Agape bGispel band, nyimbo za Mungu ni kufurahi kuqnziq ndani mpaka nje, Mungu hapendi vitu vinyonge au dhaifu.
Following you from Zambia❤❤..am being blessed by your ministrations
The drummer 💯
When are you guys coming to South Africa 😢😢😢😢
Jamaa wa guitar nakutolea kofia
This is nice song tunawapenda kutola Malawi ❤❤❤❤
Hatareee🔥🔥🔥🙌🙌🙌 sebene moja la nguvu ... Tunaisubilia Tar 20/11/2022 kwa hamu sana
Tuliotoka tiktok kwa sababu ya kuona style tujuane😂😢
@ngayakimercy9645
3 ай бұрын
😂I'm here hallo there😊
@CHESIREMALUEI-ms9ho
19 күн бұрын
Kuja hapa😂😂
🔥🔥🔥🔥hallelujah
A New sound is rising from east africa....glory to God,much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
I want to be greatful, for everything my house my family my husband ❤️ and everyone watching this thank you Lord for everything 💖
Yesu aza mobikisi nanga
When are you coming to Zimbabwe guys your music is blessing us
@ReyKatta
Ай бұрын
Manje manje
Sijawahi kosa Raha kwa Kila wimbo wenu Bali nashukuru tu na utukufu kwa Mungu Alie juu
Uganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🙌🙌🙌🙌Asante Bwana🙌🙌🙌🙏🙏🙏
brother Jonas namuona hapo,from Agape lutheran junior seminary praise hadi Agape gospel band,Hakika Mungu ni mwema
@massatujeli3158
Жыл бұрын
hawa ni wa kongo?
The best gospel band in town..Mungu azidi kuwainua.
@ministerprosperlenge
Жыл бұрын
Amen 🙏🏽 🎉🎉
Ujumbe mzuri,mpangilio mzuri wa sauti na mziki,Mungu awabariki sana nasikiliza huu wimbo zaidi ya mara 10 kwa siku
Vijana wa Mungu awabariki sana
Tunawahitaji kenya🇰🇪
good music a big thank you from namibia listening this band for the first time makes me feel i know this this song already
I LOVE THIS ❤
Wow...its really a blessing...from Kenya we love you great ministers...God bless you
Barikiwa sana🙏 Ufalme wa Mungu usiondoke kwenu mzidi kutumika kwa ajili ya utukufu wa Mungu 🙏
God bless you all from kenya
I don't understand what they are saying but i can feel the Holy Spirit, and as the word of God says, every knee shall bow and every tongue shall confess that you are God. Thank you Agape Gospel Band, please keep blessing us with such great sound.
Huyo jamaa anapiga solo Ni hatari
Hee be blessed bana hii ni moto sanaaa 🔥🔥sasa nasuburi "AMEJIBU MAOMBI"😊😊
Nguvu na mafuta kutoka kwa Bwana Yesu iwe juu yao
Wallahi hii ni more fire 🔥🔥🔥🔥 all the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nzambe na Nguya kita osala💥
name's God be glorified 🙌🙌
Aaaaaaaaaahhhhhh!!!what a blessed ministration from you brothers,Mungu awabiriki much Love from Kenya.
Mungu hawabari mno nyie ni baraka kwa izi nyombo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu awabariki nakuwalinda nakuwatiya ngunvu msonge bele zaidi ya apo
Baba nasema ahsaaaaaante,,,,, Agape band on 🔥
❤i love it bass guitar 🎸 mambo yangu huku Kenya
Mungu awabariki sana nyimbo zenu zimekuwa faraja kwangu
Moto wa kuotea mbali Kwa yesu rah sana I 🔥🔥🔥🔥
Love you guys! The songs, dance,, and smiles are so energy is so powerful! More grace as you spread the gospel through your singing, dancing, and smile. God continues blessings upon you all
Minute 4.04 Bass guy 🙌🙌
Ahsante Sana Wana Agape.....si Jehovah awatunze
Na lola kaka boye. Alingaka nde boye❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
kwa yote( mazuri na mabaya) Baba nashukuru 🙏🙏
Very Blessed, Niseme nini baba
Nitawaambia wajukuu zangu nilikuwepo hapa wakati wa hii live recording
Nawakubali na kuwaombea kabisa mfike kule MUNGU amekusudia mfike
What a powerful Praise moments , Mungu awabariki kwa kazi nzuri
Ahaha 😂🤪😜🙈🙈🙆🙆 once again my guy on the drums killed it; this guys drives me nuts 😂
👊
Petit yangu umekomala Mungu akubariki
Kwa yote nashukuru eeeh Mungu wangu Sina la kusema
Guitar 🎸 Inaraha yake byakweli washaaaaaaaa
Mungu awabariki kwa kazi yenu njema 🙏🙏🙏
Mungu awabariki am edu from kenya
💥💥💥💪💪💌niseme nini Baba yangu nashukuru kwa yote Kabisa
Aiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥 I love this 🔥Josh the drummer 4rm Kenya I love ur ministry 🔥😅
Nyinyi ni wa kimataifaaaa mukooo fayaaaaaaaaaaaaaaa
ninakosa ni mengi sana Bali ninashukuru
This is super 🔥🔥🔥
Combination of Hans and jpkazire is something else, I did miss this combination ooh glory to God. Thank you agape band for this masterpiece
@graceandrew6718
Жыл бұрын
Sebene la Yesu, Mungu awabariki sana, Pia tunawaombea jamani mdumu bendi nyingi zinaanza alafu zinaishia njiani.
@graceandrew6718
Жыл бұрын
Mkipata changamoto mwiteni Yesu.
Mbarikiwe saaaaanaaa kahama tunawapenda pia
Amen
@mosesselemanimkuku2418
11 ай бұрын
Nawakubali sana Mungu awabariki
I love you guys,lingala ya Yesu juu juu zaidi
Bassist sallute daddy
🙏🏻
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazi safi band wow👍🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉❤️❤️❤️❤️
This is what we call gospel music,, I love it wow wow
wow
Wow this God deserves it all....
Seben giants loving them so much.Glory to Jesus
so nice song 🙏🙏🙏🙏 from Kenya 🇰🇪💪
Thank you God bless song 🙏
Chukueni maua yenu 🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 2:44
Good vocals......be blessed guys...tuned from Malindi- Kenya
Mungu aendeleye kuwa inuwa juu sana, I'm blessed indeed
kazi safi benjamin kwakilisha pale kwa sebene
The curret best gospel seben ... In Africa.
Nawakubaliiii sanaa agapee
Nashindwa kunena
May God bless you Wana wa Mungu
Congratulations kwa team yote asee
🔥🔥🔥💪 wazee wa mwendoooooooo kaaaaasiiiiii👮♂️
Mungu ni wa baraka! Vipi mtu anaeza wasiliana nanyi?
Hii ndo miziki yetu
Guys u're amazing U nailed it Glory and honor to Jesus