Afya Bora E2: Kusafisha Damu

Dada Hesperance Deodate afunza kuhusu kusafisha damu

Пікірлер: 27

  • @user-yp8jg7ju7h
    @user-yp8jg7ju7h2 ай бұрын

    Wengine hatujasoma kingereza kingi Sana dada hatukuelewii

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k2 ай бұрын

    Shukran

  • @venancemsima3683
    @venancemsima3683 Жыл бұрын

    Hongera Sana unaokoa maisha ya maelfu ya watu

  • @rodgersmaganga2548
    @rodgersmaganga25482 жыл бұрын

    Asante kwa somo zuri , Ila ninaomba Maneno ya kingereza uwe unayataja kiswahili ili nisiishie .... Kwenye matamshi hayo 👍🙏🖐️

  • @mariamkamau7301
    @mariamkamau7301 Жыл бұрын

    Somo zuri sana Shukrani

  • @omikajanja1134
    @omikajanja11345 жыл бұрын

    Amen ubarikiwe sana kwa somo zuri kwa ajili ya afya yetu

  • @jescahogaye3469
    @jescahogaye34694 жыл бұрын

    Asante sana kwa somo

  • @lydiaseventy5509
    @lydiaseventy5509 Жыл бұрын

    Asante uko vizuri sana Ubarikiwe

  • @rosemlay8010

    @rosemlay8010

    2 ай бұрын

    Dada hongera we ni mwl mzuri

  • @emmanuelmalema2528
    @emmanuelmalema25285 жыл бұрын

    nimelipenda sana somo dada

  • @goldsilver5550
    @goldsilver55504 жыл бұрын

    somo nimelipenda sana ubarikiwe

  • @DianaMukeragabiloo-is3lu
    @DianaMukeragabiloo-is3lu Жыл бұрын

    Twambie njyinsi yakuondowa mafuta mwilini

  • @puritywangeci4387
    @puritywangeci43875 жыл бұрын

    Asante sasa dartari kwa somo nzuri

  • @mercelineokoth
    @mercelineokoth3 жыл бұрын

    Such studies are nice but don't you think they are to reach everyone even outside Kenya who doesn't understand our language. Otherwise am always blessed

  • @allychavala9979
    @allychavala99793 жыл бұрын

    Ni somo zuri sana hongera , but kama kuna mawasiliano yoyote ya ya whatsup for more conversation naomba

  • @alicenyakora7080
    @alicenyakora7080 Жыл бұрын

    Much appreciated for the teachings. I have a question, how can I do the process when on medication(blood pressure or any other). Greatly in need of you help.

  • @Dr.manyaunyau
    @Dr.manyaunyau5 жыл бұрын

    Amen

  • @lordreuben5787
    @lordreuben57874 жыл бұрын

    Mbadala wa chai ninywe nn sister?

  • @lordreuben5787
    @lordreuben57874 жыл бұрын

    Na kama maji ni ya bomba ninaweza nkaweka lemon or?

  • @annahrichard38
    @annahrichard386 жыл бұрын

    thanks

  • @jasminjamali9518
    @jasminjamali95183 жыл бұрын

    Asanteh Nina shida ya ngoz lakin shida hii uwenda damu chafu ntajitaid nifanye ivyo inshallah

  • @EsdrasKabunga
    @EsdrasKabunga4 жыл бұрын

    Somo nzuri kabisa. Ubarikiwe mwalimu.

  • @adorofinarutaya4538

    @adorofinarutaya4538

    3 жыл бұрын

    Umependeza sana

  • @lilymmbaga314

    @lilymmbaga314

    Жыл бұрын

    Nitajuaje kuwa kama haya ni maji hai

  • @lilymmbaga314

    @lilymmbaga314

    Жыл бұрын

    Hayo matunda unayawekwa kwa muda gani

  • @febroniakimaro8119
    @febroniakimaro81194 жыл бұрын

    dokta nimepata tatizo la figo renal desease stage 5 naomba msaada wako pls

  • @patiencemwende4451
    @patiencemwende44514 жыл бұрын

    wow amazing