ACHENI UNAFIQ: MASHIA SIO WAISLAMU | MSITULAZIMISHE TUWE KITU KIMOJA KWA MASLAHI YENU | SH: MOHAMMED

Пікірлер: 34

  • @abuuzahrani401
    @abuuzahrani401 Жыл бұрын

    نعم

  • @aminaupindo7624
    @aminaupindo7624 Жыл бұрын

    Amiin rabill l aaalamin ujumbe nzuri nimepata ufafanuzi vizuri Sana Allah akuhifadh

  • @Abun70242
    @Abun70242 Жыл бұрын

    Mashekhe wa kisunni wawe na msimamo dhidi ya sumu ya mashia.

  • @yaziduhamisi4096
    @yaziduhamisi4096 Жыл бұрын

    Nyie ndo mmushauri mufti wetu ana pokosea na huyo abuu iddi anaejidai kuwa yy ni mtu waamani Kube bahasha imepita

  • @zainabonlinetv2210
    @zainabonlinetv2210 Жыл бұрын

    Hili mbona lapiga kelele wala Halina hojja we umekwisha unadhani zamani

  • @abuuruwaydatvTz

    @abuuruwaydatvTz

    Жыл бұрын

    Anacho usicho kua nacho wewe nacho ni ufahamu wa Haq

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Huyo Idi awapeleke nyumbanikwake akaishi nao . Hawaviongoziwa bakwata ni mtihani mtupu ingewezekana kuwatoatu kwenye uwongoxi wa unafiki

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Жыл бұрын

    Msituletee matatizo katika nchi ya AMANI TANGANYIKA, mnataka kuleta machafuko ya madhehebu iwe kama Yemen,Iraq na Syria.

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Ukweri laszima usemwe. Lakum Dinukum wariayadiin

  • @hamzayusuf1894

    @hamzayusuf1894

    Жыл бұрын

    Afadhali wewe sikuamini vile unavo zungumza ukweli mungu akuzidishiye ufahamu kumbe m.idi a.idi ni munafiqi mkubwa zamani nikimsikiya nilidhani ni shekhi mkweli ampewa bahasha leo atukanwa mtume na masahaba anawateteya mashia lahawlaa wala khuwata sitamsikiya tena kilip zake nipesa tu unabadilisha ayaa

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Hatuwataki Mashia mpaka kiyama kinasimama hatunauwezotu tungewafukuza watafute pakwenda mashia na diniyao mpywa waliyojitungia

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Жыл бұрын

    Kwa maana hiyo mnahimiza kuwe navita na mashia? Kama huo siuvunjaji wa amani ni nini. Naombasana watanzania tuwe macho na watu majahili na magaidi wakiwahabi. Hawa wakiingia mjini hawajali maafa Tamayo wapata wanawake,watoto au wazee.Hawa ndiyo waliyo uwa maelfu ya waislam wote suni na shia kule Iraq Lebanon na Syria. Hawa wamelipua misikiti na makanisa chungu nzima. Kwahiyo watanzania tujitahadhari.tutumie vipawa vyetu vya akili alivyo turuzuku Allah.

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    @@abiabi9353 hatukuelewi hao mashia ndiyo majahili. Laanaziwashukie nakufuru zao tupo tayali kwachochote hatutaki ushilikiano nao. Lakum dinukum wariyadiin

  • @dauddavid6837

    @dauddavid6837

    26 күн бұрын

    ​@@hanifatanzania7258kwani haomashia wamemiomba ushirikiano. Alafu nyie mawahabi ndo mnapenda choko choko sana lini umeona shia yuko namuwahabi Lakini shia utawaona wakiwa na ahalisunnat walijamaa na mawahabi siahalisunna waljamaa

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Жыл бұрын

    Kikubwa kinacho wasumbua mawahabi ni ujahili. Sasa wao wanadai mashia makafiri kwa kutukana maswahaba je yupo tayari kuwakufurisha maswahaba waliotukanana na kuuwana wenyewe kwa wenyewe? Pili kumtukana swahaba na kumtukana mungu na mtume wake lipi kubwa? Ukweli nikwamba mawahabi wanamtukana mungu na mtume kila Leo. Kwamfano unapotafsiri abasawatawala kuwa mtume kamkunjia uso kipofu maanake unasema mtume anatabia mbaya astaghfirullah. Je hayo si matusi kwa mtume? Pia mawahabi wanaposema mungu ana viungo kama binadamu.pia wanashusha na kumpandisha mungu kama ndege.yani wanamuweka mungu pahala maalum Je hayo si matusi kwa Allah? Je huwo siukafiri? Naomba majibu

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Subuhanallah inalillahi wainailahi rajuun. Mashia kwakufuru. Hamfai kuwepo Duniani

  • @hamzayusuf1894

    @hamzayusuf1894

    Жыл бұрын

    Mufti na mdogo wake wana mshahara kwa mashiaa

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Жыл бұрын

    @@hanifatanzania7258 angalia majahili hawa.hawajui kuwa hii ndiyo itikadi yenu na yapo kwenye vitabu vyenu.mkitaka nitawaonyesha

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Жыл бұрын

    @@hamzayusuf1894 msiropokwe mawahabi kama mnajiamini jibuni hoja kielimu.msitegemee propaganda hazitowasaidia. Vijana sikuhizi wameamka wanataka maelezo yanoingia akili siyo maneno yasiyo na evidence yoyote

  • @ibrahimsaid5538

    @ibrahimsaid5538

    Жыл бұрын

    Hiyo nitafsr ya waislam sio wahab

  • @assadshaaban8163
    @assadshaaban8163 Жыл бұрын

    Kama pesa sheikh hata wewe naona kama unazipata kutoka Saudia, na ni nani hasa nyinyi masheikh alokuwa hapendi hizo pesa,ALLAH atunusuru kasema kweli RASULLU SAW dajjal atapata watu wengi kwa hizi pesa, tulinganie QURAN NA SUNNA tuache malumbano ya kijinga INSHAALLAH MOLA UTUONGOZE KTK SIRATHA MUSTAQIM,AMIN, ALLAHUMMA AMIN

  • @assadshaaban8163
    @assadshaaban8163 Жыл бұрын

    Sina hakika lakini nahisi hao wanaojiita ahlu sunna sasa wanaona ushia unapata wafuasi zaidi,masheikh hii ni dini ya Islam na sio simba na yanga wala ccm na chadema, Mtume, MUHAMMAD SAW,ameleta umoja, sasa we sheikh ndio uko sahihi na tayari umeshapata pepo,chunga sana kauli zako usije ukazua,shia ni waislamu kama unavyojinasibu wewe,au ndio nyie mawahabi?

  • @HamadHamduni

    @HamadHamduni

    3 ай бұрын

    Shia haiwezekani wakawa waislaamu.

Келесі