Ushuhuda mzuri wa kujenga maisha vizazi Hadi vizazi
@evansmwamba43123 жыл бұрын
Ndugu zangu watanzania Mimi ni mkenya mtumishi chidumule mungu alitangulishiwa ndoto na nyota take AMEN
@johnbernad3990 Жыл бұрын
Nimekuja kuangalia hapa baada Mtumishi mzee chidumule kuja Zanzibar kwa ajili ya injili kwakweli alikuwa ni Baraka sana nafurahi sana kuket pamoja na kushikana mkono naye kumbe anaushuda mkubwa hivi ama kweli Mungu ni mwema
@happinesswilliam29483 жыл бұрын
Nilivyokuwa nasikiliza nyimbo zako nilibarikiwa sana ila nilitaka kujua history yako sasa nimebarikiwa zaidi kuisikia umenigusa sana ubarikiwe sana stay kwa Mungu ni mzuri na MWEMA
@musajonas93972 жыл бұрын
mzee kosmas chidumule unaonekana bado kijana YESU anakutunza kweli kuwa na YESU nifuraha mmmmm ila umekuwa na sauti nzuri na katika uwimbaji nahata viwango vyako ya uuwimbaji viko juu sana sana Sana Sanaaaaaaa ubarikiwe sana Sana Sanaaaaaaa
@happinesswilliam29483 жыл бұрын
Mungu kubariki upoke Neema ya kuandika kitabu wengi wajifunze kumbe we ndio uliimba nyimbo UKIPATA tabu neema wow leo umeokoka kweli Mungu ni mzuri
@helenarhobi12502 жыл бұрын
Kongore sana mzee Cosmas. Umefanya mambo mengi mazuri hata muziki wako una maudhui sana . Na sasa unamwimbia Yesu ,safi sana baba "keep it up"!
@evabwimba80064 жыл бұрын
Imani yangu inakua barikiwa sana mtumishi
@xalummalogy413
4 жыл бұрын
Mungu akuongezee siku hadi siku
@williamuphilipo74472 жыл бұрын
Msambweni shule yangu, wewe ni hazina kubwa sana katika tasnia ya mziki hapa Tanzania, endelea kumtumikia Yesu kwa talanta aliyokupa.
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Hongera sana Mzee chidumule, Historia yako ina mguso wa aina yake.
@lilyabel23204 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Cosmas Chidumule. Yesu kristo anakupenda
@onetoanotherglory20246 ай бұрын
Hapo ulipotaja #radi umenisababisha nicheke sana, Asante sana kwa ushuhuda huu
@zonko04884 жыл бұрын
Cosmas ana historia nzuri sana!!!! Hawa wazee tunahitaji kuandika historia zao
@exaverykalinga14873 жыл бұрын
Mzee cosmas ni hazina upo vizuri sn historia inasisimua big up.
@shau782 жыл бұрын
baba Chidumule endelea kumpenda Yesu na kumtumikia. hutajutia.
@mburujamburuja5484 жыл бұрын
Powerful. Glory to God.
@edwinandrew1674 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na ushuhida huu, Mungu na azidi kukutumia babu....Mungu aibariki chanel hii
@benardmjera12092 жыл бұрын
Ushuhuda mzito. Barikiwa mtumishi
@DrMlelwaLectures3 жыл бұрын
Nyie nguvu inayobadilisha, mwaambieni huyo mzee Chidumule huo ushuhuda atangaze kama kichaa. Siku hizi tuna upentekoste wa kijinga sana hadi inakera yaani. Kwahiyo huyo mzee anahitaji kutangaza sana, nimefurahi kusema alipookoka aliambiwa kuokoka sio uholela bali ni mabadiliko, vijana wa siku hizi ndio kazi yao kusema nimeokoka na nampenda Yesu.
@onetoanotherglory20246 ай бұрын
Lingine step down
@frankdavis96483 жыл бұрын
MUNGU amekuchagua mzee tumtumikie huyu YESU amen🙏
@hulkamgenihulka2645
2 жыл бұрын
Nimecheka eti vielehele wanaokuja kuona Shida ya mtu Bila kutoa msaada walikumbia ahaa Mzee chidumule 😂😂😂😂😂
@epafrangweshemi40142 жыл бұрын
Nipeni namba ya mtumishi COSMAS CHIDUMULE nimeitafuta kwa muda mrefu sana.
@ellyringo30664 жыл бұрын
Nimependa sana hiyo da
@kigomatv15314 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki
@omarsaidy24743 жыл бұрын
Good
@florencemusanabera45442 жыл бұрын
Amen 🙏
@adhiambojessica7404 Жыл бұрын
Awesome. God bless u
@angelalaizer38954 жыл бұрын
HALELUYA!!!!!!!!!!!KAKAANGU BIG UP! AMAZING SAFI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAA
@tobbykahindi92083 жыл бұрын
Hallelujah Mungu akuzidishie Muchungaji.
@jackngota90142 жыл бұрын
Maajabu haya
@frankdavis96483 жыл бұрын
Kumbe tulisomo shule moja magila 💪
@atiliosanga69553 жыл бұрын
Niipenda hii stori balaa imenigusa
@235689823 жыл бұрын
Amen.powerful testimony.napeda Ddc mlimani.
@evanschegerokonzolo7991
2 жыл бұрын
Amen
@mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын
Maridhawa kabisa... lugha ya staha hekima bila mzaha. Kiswahili cha aina yake
@emmanueljudas45223 жыл бұрын
Handsome babu
@TechAfrica4 жыл бұрын
Bwana yesu Asifiwe, naweza kupata Albamu ya chidumule ya Yesu ni Bwana? nimeitafuta sana sana, naomba unichek kwa namba 0785012531. Asante sana
@harunigaitani3382 жыл бұрын
Hakika wokovu halisi
@stephenndagalla81833 ай бұрын
Kuna njia ngapi za kuufikia wokovu wa dhati?? Je, C. Chidumule alipenda na kuchagua kuokoka?? Je wengine wanao jiita "Wameokoka", waliipitia njia za kutojitambua km Chidumule??
Пікірлер: 42
Ushuhuda mzuri wa kujenga maisha vizazi Hadi vizazi
Ndugu zangu watanzania Mimi ni mkenya mtumishi chidumule mungu alitangulishiwa ndoto na nyota take AMEN
Nimekuja kuangalia hapa baada Mtumishi mzee chidumule kuja Zanzibar kwa ajili ya injili kwakweli alikuwa ni Baraka sana nafurahi sana kuket pamoja na kushikana mkono naye kumbe anaushuda mkubwa hivi ama kweli Mungu ni mwema
Nilivyokuwa nasikiliza nyimbo zako nilibarikiwa sana ila nilitaka kujua history yako sasa nimebarikiwa zaidi kuisikia umenigusa sana ubarikiwe sana stay kwa Mungu ni mzuri na MWEMA
mzee kosmas chidumule unaonekana bado kijana YESU anakutunza kweli kuwa na YESU nifuraha mmmmm ila umekuwa na sauti nzuri na katika uwimbaji nahata viwango vyako ya uuwimbaji viko juu sana sana Sana Sanaaaaaaa ubarikiwe sana Sana Sanaaaaaaa
Mungu kubariki upoke Neema ya kuandika kitabu wengi wajifunze kumbe we ndio uliimba nyimbo UKIPATA tabu neema wow leo umeokoka kweli Mungu ni mzuri
Kongore sana mzee Cosmas. Umefanya mambo mengi mazuri hata muziki wako una maudhui sana . Na sasa unamwimbia Yesu ,safi sana baba "keep it up"!
Imani yangu inakua barikiwa sana mtumishi
@xalummalogy413
4 жыл бұрын
Mungu akuongezee siku hadi siku
Msambweni shule yangu, wewe ni hazina kubwa sana katika tasnia ya mziki hapa Tanzania, endelea kumtumikia Yesu kwa talanta aliyokupa.
Hongera sana Mzee chidumule, Historia yako ina mguso wa aina yake.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Cosmas Chidumule. Yesu kristo anakupenda
Hapo ulipotaja #radi umenisababisha nicheke sana, Asante sana kwa ushuhuda huu
Cosmas ana historia nzuri sana!!!! Hawa wazee tunahitaji kuandika historia zao
Mzee cosmas ni hazina upo vizuri sn historia inasisimua big up.
baba Chidumule endelea kumpenda Yesu na kumtumikia. hutajutia.
Powerful. Glory to God.
Nimebarikiwa na ushuhida huu, Mungu na azidi kukutumia babu....Mungu aibariki chanel hii
Ushuhuda mzito. Barikiwa mtumishi
Nyie nguvu inayobadilisha, mwaambieni huyo mzee Chidumule huo ushuhuda atangaze kama kichaa. Siku hizi tuna upentekoste wa kijinga sana hadi inakera yaani. Kwahiyo huyo mzee anahitaji kutangaza sana, nimefurahi kusema alipookoka aliambiwa kuokoka sio uholela bali ni mabadiliko, vijana wa siku hizi ndio kazi yao kusema nimeokoka na nampenda Yesu.
Lingine step down
MUNGU amekuchagua mzee tumtumikie huyu YESU amen🙏
@hulkamgenihulka2645
2 жыл бұрын
Nimecheka eti vielehele wanaokuja kuona Shida ya mtu Bila kutoa msaada walikumbia ahaa Mzee chidumule 😂😂😂😂😂
Nipeni namba ya mtumishi COSMAS CHIDUMULE nimeitafuta kwa muda mrefu sana.
Nimependa sana hiyo da
Mtumishi Mungu akubariki
Good
Amen 🙏
Awesome. God bless u
HALELUYA!!!!!!!!!!!KAKAANGU BIG UP! AMAZING SAFI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Hallelujah Mungu akuzidishie Muchungaji.
Maajabu haya
Kumbe tulisomo shule moja magila 💪
Niipenda hii stori balaa imenigusa
Amen.powerful testimony.napeda Ddc mlimani.
@evanschegerokonzolo7991
2 жыл бұрын
Amen
Maridhawa kabisa... lugha ya staha hekima bila mzaha. Kiswahili cha aina yake
Handsome babu
Bwana yesu Asifiwe, naweza kupata Albamu ya chidumule ya Yesu ni Bwana? nimeitafuta sana sana, naomba unichek kwa namba 0785012531. Asante sana
Hakika wokovu halisi
Kuna njia ngapi za kuufikia wokovu wa dhati?? Je, C. Chidumule alipenda na kuchagua kuokoka?? Je wengine wanao jiita "Wameokoka", waliipitia njia za kutojitambua km Chidumule??
Safari bado