Angalia sehem ya Pili kwa kubonyeza hapa • #2 USIPUUZE NDOTO HIZI... Sehemu ya tatu bonyeza • #3 USIPUUZE NDOTO HIZI...
Жүктеу.....
Пікірлер: 122
@rhinakiza2 жыл бұрын
Asante sana Pastor nampenda sana huu Mungu Baba yangu. the way he does talk to me. I humble myself to my God
@mahindiumakinisa47324 ай бұрын
Ee YESU naona aman moyoni Asante sana
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
Ukidhaminii kidogoo trust me sikuzote mungu anakuongezea zaidi ninao ushuhuda, Ila kutoa ndio Kila kitu
@gideongisabu60852 жыл бұрын
Mchungaji Mungu azidi kukupatia maisha marefu, ninachangamito ya kifamilia Ila kwa Iman ya bwana wetu kristo nitashinda mniombee
@hellenmcharo64952 жыл бұрын
Mshahara ni madawa ya kulevya ninayopewa na mwajiri ili nisahau ndoto zangu 😭😭😭. This hits me so differently, Mungu wangu naomba nisaidie niukomboe wakati
@mauricejuma8487
2 жыл бұрын
Sio wewe tu rafiki Yani hiyo kauli imenipa funzo nafanya kazi lakini nawaza sana kufanya yangu
@hellenmcharo6495
2 жыл бұрын
@@mauricejuma8487 😭😭😭
@aminakabuka8700
8 ай бұрын
How
@hellenmcharo64952 жыл бұрын
AMEN mtumishi wa Mungu. Tabia zangu zimuakisi Kristo ili niwe barua ya wazi inayosomwa na watu wote.
@victaeliud9482 жыл бұрын
Mungu atusaidie baba....natamani sana niachane na mshahara nifanye mambo yangu ila sioni namna yakujinasua...Maombi yako baba ili nipate kutoka hapa....barikiwa sana
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Mungu akufungue macho
@raelsarange6382 жыл бұрын
Amen kabsaa alarm ya Mungu ipo,ila tunaipuuza naomba urejesho wa kimungu in Jesus mighty name Amen 🙏
@maryandrew52042 жыл бұрын
Ameni barikiwa Sana mtumish, hili SoMo naona limenilenga kwa kiasi furan, hasa kumsogelea mtu nisie mjua, pia ndoto nyingi naota nazini Ila Sina ata mpenzi ndoto hizi sielewi
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
Very true ni Kwa neema tuu ya bwana YESU MUNGU atupe nguvu ya kumpenda na kumtafuta Kwa hiiii, utukufu Kwa MUNGU ALIE JUU HALLELUJAH AMEN
@alleoo2732 жыл бұрын
Mungu amenipa kibali leo kufatilia mahubiri na mafundisho ya bibilia kwa muda wa msaa3si kawaida yangu kila nikitaka kuangalia hua napata usiingizi asante Mungu nimebarikiwa sn pia nimejifunza vitu vikubwa barikiwa mtumishi
@marsellah92958 ай бұрын
Mungu nisadie niukombee mda
@salumkalulu-de1md Жыл бұрын
Ni kweli pasta Mungu na atusaidie
@MN-hi8ll2 жыл бұрын
Amina!! Nimwangalie Yesu kwa kila kitu
@theresearcheronlinetv3649 Жыл бұрын
Hapo pa kufasiriwa ndoto! Mwokaji Mimi ningemwambia Yusufu Niombee kwa Mungu wako hukumu ibatilishwe!!!…
@magwewilliam53072 жыл бұрын
fantastic
@dinnakasika63772 жыл бұрын
Napataga Imani sana nikisikiliza mahubiri yako,Mwe/Mungu akuongoze Sana.
@kabuwoorutasi4182 жыл бұрын
Najifunza mengi kupitia hii channel. Mungu akubariki sana pastor 🙏🙏
@stephenkiio26032 жыл бұрын
Funzo nzuri sana
@mutangajohn36892 жыл бұрын
Asante sana mchungaji ubarikiwe sana . MUNGU atulinde katika inchi ya CONGO .
@deboraobey95702 жыл бұрын
Ameen mchungaji uzidi kubarikiwa maana nimebarikiwa na neno
@oliviershadrack16202 жыл бұрын
ubarikiwe muchungaji
@johnhaule78632 жыл бұрын
Amen
@catherinekaliuntu47842 жыл бұрын
Ni kwa neema ya mungu kuwa jinsi nilivyo
@johnmalembo64642 жыл бұрын
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@florencenekesa82432 жыл бұрын
Amen amen🙏🙏🙏
@Briansimiyu2542 жыл бұрын
Amen 😊😊🇰🇪
@msilanganashon53302 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mahubiri mazuri
@hylinemoraa99482 жыл бұрын
Amina am ever blessed na your teachings
@estermwakyeja31952 жыл бұрын
Amina mtumishi naomba maombi yako
@rebekalaurent36652 жыл бұрын
amina nabarkiwa sana na mahubiri
@juharazanzi9972 жыл бұрын
Amina mchungaji Mungu azidi kukubariki
@benedictojakobo44252 жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwa masomo aya ubatikiwe Sanaa
@mukamasongo62092 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji Mbaga. Kazi yako tunaiona
@hellenratemo28132 жыл бұрын
Amen be blessed pastor
@konardariri92662 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu sana
@MN-hi8ll2 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki nakuombea upone mafua
@nahimanamana95322 жыл бұрын
Ameeen
@halimaamuli19782 жыл бұрын
Naomba maombi yako yamponye mama yangu ambae amesumbuliwa na maumivu ya miguu kwa muda mrefu
@salomekemunto8217 Жыл бұрын
Amina
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
I can't wait for part two
@brunomirambi87922 жыл бұрын
POLE SANA MAFUA HAYO YAKASHINDWE KWA JINA LA YESU MUNGU AKUPONYE HARAKA
@idonelameck34432 жыл бұрын
Amen. Nabarkiwa kwakweli
@sifagubandja15892 жыл бұрын
Ameeeeen pasta
@aidaa82532 жыл бұрын
AMEN MTUMISHI UBARIKIWE
@kissanselu85692 жыл бұрын
Amen pr Mmbaga
@t7zkc5tpxgim282 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki sana pastor
@enithanelson84182 жыл бұрын
Aminaaa! Pastor
@rwasamanzikanyindi63192 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa somo zuri.
@gracesamson9242 жыл бұрын
Ameeeen,Ameeen kubwaa
@dokasa91762 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi
@lenatidagabriel83522 жыл бұрын
Pr.ipo ck ntakuona Tuongee. MUNGU akutunze.
@jovinusalex40662 жыл бұрын
Barikiwa san pastor
@marymoses87712 жыл бұрын
Aminaaa. Ubarikiwe
@judithmoturi34022 жыл бұрын
True be blessed pastor 🙏
@hawachriss96752 жыл бұрын
ubarikiwe mchungaji
@jeannekatembe63962 жыл бұрын
Mungu akubariki na barikiwaga sana ivi ninavyo kufatiliya nimerudiya tena kuisikiliza hii kwa mara tena yaani hata ni sivyo sikiliza sina amani. Mimi ni mcristu ila ninavyo kufatiliya naona naelewa neno lamungu. Please naitaji angalau ni pate namba yako ya sim nikaelewe zaidi. Amen 🙏
@zabronjoseph60282 жыл бұрын
God bless you
@philesombongi57932 жыл бұрын
Amen God bless you pastor David am blessed and l learned alot keeped up 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@o.g.6f.m.l2842 жыл бұрын
Nambar ya simu
@khaldn74092 жыл бұрын
Amina mchungaji
@marymaina60032 жыл бұрын
Amen and Amen 🙏
@wemambonge29482 жыл бұрын
Amina baba
@rodenyiandrea44732 жыл бұрын
Pastor ubarikiwe
@konardariri92662 жыл бұрын
Amen and Amen
@liliannyarinda55282 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@YouMovie42 жыл бұрын
Mchungaji Bwana asifiwe napenda kuuliz kuhusu hapo kwenye kuongeleshwa na Mungu Mimi mara KWA mara naweza mkumbuka mtu fulani na siku hiyo lazima aje nyumbani ama nikutane naye njiani na ninaweza kukaa na mtu na nikasikia kuwa utafanya Jambo fulani na muda huo huo nateuliwa kufanya Hilo Jambo naam hii hali niitambueje au niisimamieje kwa kujua kuwa ni ya Mungu ama
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Hiyo ni nguvu tuliyo umbwa nayo. Ijapokuwa kuna wakati Mungu anaitumia kuongea nasi
@puritychogoro2 жыл бұрын
Hallelujah
@kinsman-mx6qh2 ай бұрын
AMINA MTUMISHI
@simonmahozi7772 жыл бұрын
Ubarikiwe
@vailethkinabo79612 жыл бұрын
Amen Amen
@mzeeniwewe1362 жыл бұрын
Amen 🙏🙌🙏
@janethnyabisi86172 жыл бұрын
Amen 🙏
@isangasamatini2172 жыл бұрын
Anima
@salimahlokoh96992 жыл бұрын
Ameeeen
@menancestephano31992 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@israellaiton46702 жыл бұрын
Be blessed servant of God.
@tirzajoshua95922 жыл бұрын
Amen🙏🙏
@roseiyongolo92242 жыл бұрын
Asante nahitaji namba yako ya simu,,,ni mara ya kwanza nakusikia hata jina sikufahamu,,
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Angalia SEHEMU ya pili kwa kubonyeza hapa kzread.info/dash/bejne/pZWpqdahfpS3Y5c.html
@rhinakiza
2 жыл бұрын
Asante kwa part 2
@margaretwachira68712 жыл бұрын
Be blessed man of God, the message has inspired me
@dfinafriga98632 жыл бұрын
🙏
@ellenmbota12412 жыл бұрын
Amen amen
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Mmeanza utapeli wenu kwa kutumia dini
@jacklineasseri95082 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@LoFi_1202 жыл бұрын
31:08- Mithali 11:29_Ataabishaye nyumba yake mwenyewe ataurithi upepo; mpumbavu atakuwa mtumwa wa mtu mwenye moyo wa akili.
@bostonogoti1460
2 жыл бұрын
Kwa ulevu wake
@bostonogoti1460
2 жыл бұрын
Mjungaji uyu ni wa Nai yaan city ya kenya
@kabaranamaganga66462 жыл бұрын
Pastor Naomba msaada wako nina changamoto ya kiafya!
@morineinziani95472 жыл бұрын
Asante muchungaji kwa mahubiri naacha hii kazi naenda kumtumikoa mungu
@agneskilindu5927
2 жыл бұрын
mungu afungue njia kwa kuamua kumtumikia mungu wa mbingun
@morineinziani9547
2 жыл бұрын
@@agneskilindu5927 amen
@regulartesha29872 жыл бұрын
Natamani kupiga simu,namba sijui naipataje
@victoriajames61902 жыл бұрын
Ahsant
@loisagracesamuelmpangala54292 жыл бұрын
Tunatokaje hapo maana tumeshatumbukia huko
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
Jamani natafuta darect number ya sim ya mchungaji mbaga
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Tuma ujumbe wa Whatspp +255 755 932 283
@divvanajohnson4895
2 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante
@dedanimakaka76452 жыл бұрын
Mmmmh
@kengwabakuka56182 жыл бұрын
Uko tapeli Nani alikuambiaka kama kila siku mtu anaweza toa sadaka ? Ukaangalia bibilia hakuna mtu alitoa kila siku. Nyinyi munaingiya kilasiku kanisani n'a munashurutisha watu watoe kila siku, munasomaka bibilia ya wapi ?
Пікірлер: 122
Asante sana Pastor nampenda sana huu Mungu Baba yangu. the way he does talk to me. I humble myself to my God
Ee YESU naona aman moyoni Asante sana
Ukidhaminii kidogoo trust me sikuzote mungu anakuongezea zaidi ninao ushuhuda, Ila kutoa ndio Kila kitu
Mchungaji Mungu azidi kukupatia maisha marefu, ninachangamito ya kifamilia Ila kwa Iman ya bwana wetu kristo nitashinda mniombee
Mshahara ni madawa ya kulevya ninayopewa na mwajiri ili nisahau ndoto zangu 😭😭😭. This hits me so differently, Mungu wangu naomba nisaidie niukomboe wakati
@mauricejuma8487
2 жыл бұрын
Sio wewe tu rafiki Yani hiyo kauli imenipa funzo nafanya kazi lakini nawaza sana kufanya yangu
@hellenmcharo6495
2 жыл бұрын
@@mauricejuma8487 😭😭😭
@aminakabuka8700
8 ай бұрын
How
AMEN mtumishi wa Mungu. Tabia zangu zimuakisi Kristo ili niwe barua ya wazi inayosomwa na watu wote.
Mungu atusaidie baba....natamani sana niachane na mshahara nifanye mambo yangu ila sioni namna yakujinasua...Maombi yako baba ili nipate kutoka hapa....barikiwa sana
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Mungu akufungue macho
Amen kabsaa alarm ya Mungu ipo,ila tunaipuuza naomba urejesho wa kimungu in Jesus mighty name Amen 🙏
Ameni barikiwa Sana mtumish, hili SoMo naona limenilenga kwa kiasi furan, hasa kumsogelea mtu nisie mjua, pia ndoto nyingi naota nazini Ila Sina ata mpenzi ndoto hizi sielewi
Very true ni Kwa neema tuu ya bwana YESU MUNGU atupe nguvu ya kumpenda na kumtafuta Kwa hiiii, utukufu Kwa MUNGU ALIE JUU HALLELUJAH AMEN
Mungu amenipa kibali leo kufatilia mahubiri na mafundisho ya bibilia kwa muda wa msaa3si kawaida yangu kila nikitaka kuangalia hua napata usiingizi asante Mungu nimebarikiwa sn pia nimejifunza vitu vikubwa barikiwa mtumishi
Mungu nisadie niukombee mda
Ni kweli pasta Mungu na atusaidie
Amina!! Nimwangalie Yesu kwa kila kitu
Hapo pa kufasiriwa ndoto! Mwokaji Mimi ningemwambia Yusufu Niombee kwa Mungu wako hukumu ibatilishwe!!!…
fantastic
Napataga Imani sana nikisikiliza mahubiri yako,Mwe/Mungu akuongoze Sana.
Najifunza mengi kupitia hii channel. Mungu akubariki sana pastor 🙏🙏
Funzo nzuri sana
Asante sana mchungaji ubarikiwe sana . MUNGU atulinde katika inchi ya CONGO .
Ameen mchungaji uzidi kubarikiwa maana nimebarikiwa na neno
ubarikiwe muchungaji
Amen
Ni kwa neema ya mungu kuwa jinsi nilivyo
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Amen amen🙏🙏🙏
Amen 😊😊🇰🇪
Bwana yesu asifiwe mahubiri mazuri
Amina am ever blessed na your teachings
Amina mtumishi naomba maombi yako
amina nabarkiwa sana na mahubiri
Amina mchungaji Mungu azidi kukubariki
Asante sana mchungaji kwa masomo aya ubatikiwe Sanaa
Barikiwa mchungaji Mbaga. Kazi yako tunaiona
Amen be blessed pastor
MUNGU akutie nguvu sana
Mchungaji Mungu akubariki nakuombea upone mafua
Ameeen
Naomba maombi yako yamponye mama yangu ambae amesumbuliwa na maumivu ya miguu kwa muda mrefu
Amina
I can't wait for part two
POLE SANA MAFUA HAYO YAKASHINDWE KWA JINA LA YESU MUNGU AKUPONYE HARAKA
Amen. Nabarkiwa kwakweli
Ameeeeen pasta
AMEN MTUMISHI UBARIKIWE
Amen pr Mmbaga
Amen, Mungu akubariki sana pastor
Aminaaa! Pastor
Barikiwa sana kwa somo zuri.
Ameeeen,Ameeen kubwaa
Mungu akubariki Mtumishi
Pr.ipo ck ntakuona Tuongee. MUNGU akutunze.
Barikiwa san pastor
Aminaaa. Ubarikiwe
True be blessed pastor 🙏
ubarikiwe mchungaji
Mungu akubariki na barikiwaga sana ivi ninavyo kufatiliya nimerudiya tena kuisikiliza hii kwa mara tena yaani hata ni sivyo sikiliza sina amani. Mimi ni mcristu ila ninavyo kufatiliya naona naelewa neno lamungu. Please naitaji angalau ni pate namba yako ya sim nikaelewe zaidi. Amen 🙏
God bless you
Amen God bless you pastor David am blessed and l learned alot keeped up 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nambar ya simu
Amina mchungaji
Amen and Amen 🙏
Amina baba
Pastor ubarikiwe
Amen and Amen
Amen 🙏🙏
Mchungaji Bwana asifiwe napenda kuuliz kuhusu hapo kwenye kuongeleshwa na Mungu Mimi mara KWA mara naweza mkumbuka mtu fulani na siku hiyo lazima aje nyumbani ama nikutane naye njiani na ninaweza kukaa na mtu na nikasikia kuwa utafanya Jambo fulani na muda huo huo nateuliwa kufanya Hilo Jambo naam hii hali niitambueje au niisimamieje kwa kujua kuwa ni ya Mungu ama
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Hiyo ni nguvu tuliyo umbwa nayo. Ijapokuwa kuna wakati Mungu anaitumia kuongea nasi
Hallelujah
AMINA MTUMISHI
Ubarikiwe
Amen Amen
Amen 🙏🙌🙏
Amen 🙏
Anima
Ameeeen
Amen 🙏 🙏 🙏
Be blessed servant of God.
Amen🙏🙏
Asante nahitaji namba yako ya simu,,,ni mara ya kwanza nakusikia hata jina sikufahamu,,
Angalia SEHEMU ya pili kwa kubonyeza hapa kzread.info/dash/bejne/pZWpqdahfpS3Y5c.html
@rhinakiza
2 жыл бұрын
Asante kwa part 2
Be blessed man of God, the message has inspired me
🙏
Amen amen
Mmeanza utapeli wenu kwa kutumia dini
🙏🙏🙏
31:08- Mithali 11:29_Ataabishaye nyumba yake mwenyewe ataurithi upepo; mpumbavu atakuwa mtumwa wa mtu mwenye moyo wa akili.
@bostonogoti1460
2 жыл бұрын
Kwa ulevu wake
@bostonogoti1460
2 жыл бұрын
Mjungaji uyu ni wa Nai yaan city ya kenya
Pastor Naomba msaada wako nina changamoto ya kiafya!
Asante muchungaji kwa mahubiri naacha hii kazi naenda kumtumikoa mungu
@agneskilindu5927
2 жыл бұрын
mungu afungue njia kwa kuamua kumtumikia mungu wa mbingun
@morineinziani9547
2 жыл бұрын
@@agneskilindu5927 amen
Natamani kupiga simu,namba sijui naipataje
Ahsant
Tunatokaje hapo maana tumeshatumbukia huko
Jamani natafuta darect number ya sim ya mchungaji mbaga
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Tuma ujumbe wa Whatspp +255 755 932 283
@divvanajohnson4895
2 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante
Mmmmh
Uko tapeli Nani alikuambiaka kama kila siku mtu anaweza toa sadaka ? Ukaangalia bibilia hakuna mtu alitoa kila siku. Nyinyi munaingiya kilasiku kanisani n'a munashurutisha watu watoe kila siku, munasomaka bibilia ya wapi ?
Amen
Amina
Amen 🙏 🙏 🙏
Amen
Amen
Amen