1. MJADALA JE KUOMBA DUA BAADAY YASALA YA FARADHI INAFAA ? SHEKH UOMAR / AL AKH HASNOU

Пікірлер: 7

  • @abuumuhammad3382
    @abuumuhammad3382Ай бұрын

    ENYI MLIYOWEKA HUU MJADALA FANYENI UADILIFU

  • @Alwasatwiya_5

    @Alwasatwiya_5

    Ай бұрын

    Ktk lipi

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Waongo ninyi hamna lollote

  • @user-qy9qx5hd2u

    @user-qy9qx5hd2u

    8 күн бұрын

    Kuwaimbia waislam wenzako waongo hawana lolote hayo maneno mwanamke ndio anamwambia mwanamme anaemdharau huna lolote..hebu dini msiitie chuki na dharau za kikekike..muogopeni mungu..pokea ukweli na nasaha hata kwa unaemchukia unaweza kimchukia kipenzi cha mungu

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    8 күн бұрын

    @@user-qy9qx5hd2u mzushi hana. Dhamana hatta kwa Allah ufungiwa milango ya touba mpk awache kuzusha katika dinni Allah amewaweka mbali na rehma zake sabu wazushi wamemkosoa alllah na mtume wake kuongeza dini ilowekewa sheria acha kuwfata wazushi nugu yangu kiama siku ngumu adhabu za Allah akuna anaeweza

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    8 күн бұрын

    @@user-qy9qx5hd2umzushi hana dhamana hata kwa allh wamewwkwa mbali na rehma zake kwakuwa wamemkosoa Allah na mtume wake na kuongeza jambo katika sheriah ya Allah hivyo hufugiwa milango ya touba mpk aache uzushi

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    8 күн бұрын

    @@user-qy9qx5hd2u mzushi hana dha